INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

ya pemba ina kimo gani mkuu.. niko interested ... nahitaji minazi mifupi ile ..
mkuu kwasasa tumeacha kuzalisha miche ya muda mfupi sababu kuna changamoto zimejitokeza.Tutazalisha tena pindi changamoto hizo zitakapo tatuliwa.Tunaomba radhi kwa hilo.
 
0719527062/0757056472
karibuni wakuu
 
Vipi vanilq inastawi kweri mikoa ipi haswa tabora na kigoma
vanila inastawai kwenye miko yenye mvua za wastani,na joto la nyuzi joto 21-30
Pia eneo lako liwe na udongo wa tifutifu
Eneo lako liwe na kivuli wa asilimia 60
Mikoa inayostawi vanila ni Kagera,Morogoro,Tanga,Kilimanjaro,Arusha
 
Vipi vanilq inastawi kweri mikoa ipi haswa tabora na kigoma
vanila inastawai kwenye miko yenye mvua za wastani,na joto la nyuzi joto 21-30
Pia eneo lako liwe na udongo wa tifutifu
Eneo lako liwe na kivuli wa asilimia 60
Mikoa inayostawi vanila ni Kagera,Morogoro,Tanga,Kilimanjaro,Arusha
 
vanila inastawai kwenye miko yenye mvua za wastani,na joto la nyuzi joto 21-30
Pia eneo lako liwe na udongo wa tifutifu
Eneo lako liwe na kivuli wa asilimia 60
Mikoa inayostawi vanila ni Kagera,Morogoro,Tanga,Kilimanjaro,Arusha
Nataka anza kilimo cha mapapai kwa ajiri ya biashara. Unanishaurije hapa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…