Lily Tony
JF-Expert Member
- Feb 6, 2019
- 3,198
- 4,191
- Thread starter
- #721
Ni wazo zuri mkuuNataka anza kilimo cha mapapai kwa ajiri ya biashara. Unanishaurije hapa ?
Pia ni muhimu kuzingatia mambo machache muhimu
1.Hakikisha eneo lako lina ardhi yenye rutuba.
2.Hali ya hewa
3.Huduma ya maji ya uhakika
4.Uhakika wa soko
5.Uchaguzi wa mbegu/miche bora