INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

Nataka anza kilimo cha mapapai kwa ajiri ya biashara. Unanishaurije hapa ?
Ni wazo zuri mkuu
Pia ni muhimu kuzingatia mambo machache muhimu
1.Hakikisha eneo lako lina ardhi yenye rutuba.
2.Hali ya hewa
3.Huduma ya maji ya uhakika
4.Uhakika wa soko
5.Uchaguzi wa mbegu/miche bora
 
Nataka anza kilimo cha mapapai kwa ajiri ya biashara. Unanishaurije hapa ?
Ni wazo zuri mkuu
Pia ni muhimu kuzingatia mambo machache muhimu
1.Hakikisha eneo lako lina ardhi yenye rutuba.
2.Hali ya hewa
3.Huduma ya maji ya uhakika
4.Uhakika wa soko
5.Uchaguzi wa mbegu/miche bora
 
Ni wazo zuri mkuu
Pia ni muhimu kuzingatia mambo machache muhimu
1.Hakikisha eneo lako lina ardhi yenye rutuba.
2.Hali ya hewa
3.Huduma ya maji ya uhakika
4.Uhakika wa soko
5.Uchaguzi wa mbegu/miche bora
Mkuu kwa Morogoro huko huko maeneo ya mtega kule karibia na hifadhi maji mda wote yana tirilika kutoka milimani
 
FB_IMG_1621746552963.jpg
 
0719527062/0757056472
Karibu SUA,Horticulture mkabala na tiba road upate miche ya matunda pamoja na miti ya mbao kwa bei nafuu.
Ushauri na muongozo ni bure kabisa.
 
shukrani kwa wale wanaoendelea kutumia,karibuni sana
 
serving you is my privilage.
You are most welcome at SUA,Horticulture section.
 
Ndimu unazo? Inazaa mda gani? Made in wapi? Kapicha kidogo
ndio boss wangu ndimu tunazo,kwasasa ndimu tulizonazo ni seedless,ndimu za kienyeji zimetuishia kwasasa.
Mavuno ni baada ya mwaka mmoja na nusu.
Bei ya mche ni 2000
 
Back
Top Bottom