Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Kwa namna gani naweza kuzuia parasites kwenye miti ya matunda?Lakini pia ni muhimu kupuliza dawa pindi tu miche unapoanza kutoa maua ili kuua wadudu ambao wanatanga mayai kwenye maua na mwisho wadudu wanazaliwa
SUA mnatuangusha miche yenu sijui mmeifanyaje ikianza kuzaa matunda yanaliwa na wadudu kwa ndani hayaliki na mengine yanaota fungi yakiwa yangali kwenye mitiHabari,Natumaini mko salama na poleni na majukumu ya kila siku.Karibu ujipatie miche ya kisasa ya matunda.
Tunapatikana Chuo kikuu cha kilimo (SUA) lakini tunatuma na mikoani kwa uaminifu mkubwa.
Pia ipo huduma ya kufanyiwa layout na kupandiwa miche yako shambani kwako,team ya wataalamu inafika mkoa uliopo.Kwa maswali na maelezo zaidi 0719527062/0757056472.Karibu tukuhudumie.
View attachment 1557232
View attachment 1557234
View attachment 1557237
View attachment 1557239
View attachment 1557240
View attachment 1557242
View attachment 1557243
View attachment 1557244
View attachment 1557246
View attachment 1557247
View attachment 1557248
View attachment 1557249
View attachment 1557250
View attachment 1557251
Miche ya Makadamia mnauzaje hapo kwenu?Makadamia inastawi maeneo yenye Hali ya baridi, maeneo yenye miinuko
Naomba nikufuate pm kwa ruhusa yako dada7000
discount ipo endapo utahitaji miche kuanzia 50 na kuendelea.
Kwanza pole Sana kwa changamoto kiongozi,SUA mnatuangusha miche yenu sijui mmeifanyaje ikianza kuzaa matunda yanaliwa na wadudu kwa ndani hayaliki na mengine yanaota fungi yakiwa yangali kwenye miti
nitajuaje papai dume na jike mkuu
je katika stage bado haujatoa mauwa naweza kuubaini na kuteketeza mapemampapai dume huwa unatoa vimaua lakini maua hayo hayatoi matunda,huwa yanaishia kuanguka
Mpapai jike ni mpapai ambao unatoa maua kisha tunda.
Sijui kama maelezo yangu yamejitosheleza mkuu,Ila nadhani umepata mwanga kidogo
nimeona namba yako nitakutafuta mkuuView attachment 2601827asante mkuu kwa mrejesho,tunajivunia kukuhudumia