INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

Ukiwa kwenye early stage ngumu kugundua mkuu.

Ila sikushauri kuuteketeza Kwani unasaidia kwenye uchavushaji wa maua kama tu mipapai jike pia ipo around
asante sana ila na mipapa kama sita apa nje nashindwa kuielewa kabisa nafikiri ni wakati wa mamuzi magumu kabla haija niudhi
 
asante sana ila na mipapa kama sita apa nje nashindwa kuielewa kabisa nafikiri ni wakati wa mamuzi magumu kabla haija niudhi
Utanitumia picha niione mkuu.

Haiwezekani miche 6 itumie rutuba bure bure tu kumbe ni dume(joking)
 
nyie watu wa hortculture ni muhimu sana,kuna jamaa yangu alinitembelea akanambia ile mipapai ulikua unasema ofisini ndio hii? akanishauri eti ni tatekate na panga kama kuipa majeraha itakuwa jike nilimcheki sana sikumpatia jibu
Hiyo Mipapai inapitia wakati mgumu Sana kumbe tayari kuna shambulizi lilishapangwa kufanyika,
 
Kwanza pole Sana kwa changamoto kiongozi,
lakini pili sina hakika kama hiyo miche nilikuhudumia Mimi au vinginevyo.Nina andika hivi,sababu wateja wote ambao nimewahudumia huwa ninafanya follow up kila baada ya muda fulani,either baada ya mwezi 1 au 2 ili kuweza kujua maendeleo na changamoto zao.
To be honest hizo mbegu zenu zimenikwaza, sina lengo la kuwaharibia biashara ila ukweli ni kwamba hizo mbegu zinaonekana kuwa na mapungufu, matunda yake yanaoza kwa ndani na kuwa na wadudu, fuatilieni mfanye utafiti, ningekuwa Moro ningewaletea mapera yangu ambayo miche yake nilichukua SUA
 
To be honest hizo mbegu zenu zimenikwaza, sina lengo la kuwaharibia biashara ila ukweli ni kwamba hizo mbegu zinaonekana kuwa na mapungufu, matunda yake yanaoza kwa ndani na kuwa na wadudu, fuatilieni mfanye utafiti, ningekuwa Moro ningewaletea mapera yangu ambayo miche yake nilichukua SUA
True!
 
To be honest hizo mbegu zenu zimenikwaza, sina lengo la kuwaharibia biashara ila ukweli ni kwamba hizo mbegu zinaonekana kuwa na mapungufu, matunda yake yanaoza kwa ndani na kuwa na wadudu, fuatilieni mfanye utafiti, ningekuwa Moro ningewaletea mapera yangu ambayo miche yake nilichukua SUA
Sawa
 
FB_IMG_1683708194672.jpg
 
Asante kwa wanaoendelea kutuamini,you are blessed

Karibuni
 
Back
Top Bottom