Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
asante sana ila na mipapa kama sita apa nje nashindwa kuielewa kabisa nafikiri ni wakati wa mamuzi magumu kabla haija niudhiUkiwa kwenye early stage ngumu kugundua mkuu.
Ila sikushauri kuuteketeza Kwani unasaidia kwenye uchavushaji wa maua kama tu mipapai jike pia ipo around