INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

INAUZWA Miche ya kisasa ya matunda inauzwa

Nahitaji miche 780 ya papai, je nitapata kwa bei gani kwa mche?
Na usafiri utagharimu bei gani hadi kibaha pwani? na ni kwa usafiri aina gani?
Na nikihitaji wataalam wenu wa SUA kuja kuiipanda itagharimu bei gani?

Nashukuru kwa kuleta uzi huu. Tujenge Taifa.
Miche ya papai ipo boss wangu.Na mvua zinaendelea.karibu sana
 
Dah kwakweli nitakaribia namingoni mwa mbegu nitakazozihitaji nihizo zilizonitoa nitahitaji hizo zilizonitoa ushamba..Mbeya zinakubali lkn
boss ,star fruits na giant passion zipo za kutosha.Na hali ya hewa ni rafiki,karibu
 
Screenshot_2020-10-25-06-49-18-1.png
 
Sina lengo la kuingilia biashara yako mkuu..so sorry.
Ila mimi ni muumini saa wa sera na falsafa za JK Nyerere na Comrade Thomas Sankara.
Hope kama umewasoma utajua naongelea nini...
Who feed you....
Una lingine zaidi mkuu?
 
Back
Top Bottom