Duduvwili
JF-Expert Member
- Jan 31, 2015
- 4,355
- 4,476
Wanachoma nini na ni kina nani mkuu?Inawezekana watu wanachoma mpaka sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanachoma nini na ni kina nani mkuu?Inawezekana watu wanachoma mpaka sasa.
Maisha ndugu,Mbona wenzetu wavuta bangi wao wako smart! Sisi huku ukiona mvuta bangi ujue kweli ni mvuta bangi.
Yupo jamaa havuti lakini maamuzi yake balaaMichelle amesoma na kuhitimu Havard university tena kwa wastani mzuri best kitivo cha sheria lkn alikuwa mvuta bangi
Obama kasoma havard ila naye kakiri alikuwa mvuta bangi mzuri kipindi yupo college
Halafu kuna watu wana criticize bangi inasababisha ukichaa,haifai wakati imezalisha marais.
Maisha ndugu,
Huku watu wanavuta bangi km kituliza machungu,
Majuu wanavuta km starehe,
Unavuta bangi halafu unashindia bisi unategemea nini
Bangi za bei rahisi nuksi tu kwanza zinatia uvivu alafu mwili unakuwa mzito.Kwanza wanaovuta high grade na wanaovuta shabu ni kada mbiki tafauti kabisa.Tatizo la wabongo wanataka kufananisha high class ya bangi wanayovuta Obama, na makushabu ya hapa!....aaah wapi lazima bangi ikubangue!
yule kichaa wetu akivuta haki ya nani ataenda ghalani kunya juu ya korosho[/QUOTE]
😳😳😳😳😳😳
mkuu hio avatar ni wewe?Kwahiyo yule Malia amerithi kwa kuvuta....nimeamini wazazi wana impact kubwa kwa watoto wao!
hahahaaaaaaaa lolWalivuta bangi ndio wakapiga shoo ya kiutu uzima, apandacho mtu ndicho avunacho.
high class bangi ikoje mkuu?Tatizo la wabongo wanataka kufananisha high class ya bangi wanayovuta Obama, na makushabu ya hapa!....aaah wapi lazima bangi ikubangue!
I can see your point 😂Michelle amesoma na kuhitimu Havard university tena kwa wastani mzuri best kitivo cha sheria lkn alikuwa mvuta bangi
Obama kasoma havard ila naye kakiri alikuwa mvuta bangi mzuri kipindi yupo college
Halafu kuna watu wana criticize bangi inasababisha ukichaa,haifai wakati imezalisha marais.
Na wabongo wavuta bangi ni aje?Michelle amesoma na kuhitimu Havard university tena kwa wastani mzuri best kitivo cha sheria lkn alikuwa mvuta bangi
Obama kasoma havard ila naye kakiri alikuwa mvuta bangi mzuri kipindi yupo college
Halafu kuna watu wana criticize bangi inasababisha ukichaa,haifai wakati imezalisha marais.