Michelle akiri kuvuta bangi na 'boyfriend' wa ujanani kabla ya kukutana na Barack Obama

Michelle akiri kuvuta bangi na 'boyfriend' wa ujanani kabla ya kukutana na Barack Obama

Tatizo la wabongo wanataka kufananisha high class ya bangi wanayovuta Obama, na makushabu ya hapa!....aaah wapi lazima bangi ikubangue!
Obama alivuta bangi akiwa kapuku tu kwenye ujana wake...Hivi bangi huwa ina Class ? Kwani bangi inapitia process zipi mpaka kutumika ? Zaidi ya kuchuma jani na kumoka ?
 
kuna mijitu itaanza kuvuta bangi ikijiona itakuwa kama Michele na Obama
 
Obama alivuta bangi akiwa kapuku tu kwenye ujana wake...Hivi bangi huwa ina Class ? Kwani bangi inapitia process zipi mpaka kutumika ? Zaidi ya kuchuma jani na kumoka ?
Nami hoja yangu ipo hapo kwenye grades za bangi, binafsi najua mmea ukishachumwa shambani, unakaushwa vizuri watu wanaanza kutumia.
 
It's sitting right here
It's absolutely clear that Ganja herb is the healing of the nation
So don't have no fear and always be care
And when we air for nuff generation (yeah)
They want you to feel tipsy turby (tipsy turby)
Puff it up and come ??
They don't want to smoke the sweet lemon collie (sweet collie)
Keep the smile upon the children's face
You pick him up you lick him down you often try to run him down
The Ganja man coming right back
And dis a much di collie bud
You chop it down you burn it down
The Ganja plant coming right back
Usin your science laboratory resource
So many illness the collie herb cure
So why don't you give I and I the permit...oh (to legalize the herb)....by Israel vibration
 
Wanyamwezi wanapenda ukweli, bora mtu akubali kosa tu anasamehewa, kuliko kujifanya mtakatifu, halafu ukaonekana muongo.

Kwanza weed iko legal majimbo mengi sana US. West Coast yote kula msiba legal.

Na Barack Obama kashabwia mpaka cocaine.

Where You Can Legally Smoke Weed in the USA, Mapped

Where You Can Legally Smoke Weed in the USA, Mapped


qy3uljofngg7accmuiku.jpg
 
Wanyamwezi wanapenda ukweli, bora mtu akubali kosa tu anasamehewa, kuliko kujifanya mtakatifu, halafu ukaonekana muongo.

Kwanza weed iko legal majimbo mengi sana US. West Coast yote kula msiba legal.

Na Barack Obama kashabwia mpaka cocaine.

Where You Can Legally Smoke Weed in the USA, Mapped

Where You Can Legally Smoke Weed in the USA, Mapped


qy3uljofngg7accmuiku.jpg

Aisee
Sema kuwa mkweli ni jambo zuri ila huku kibongo bongo mtihani wa kusema ukweli tumeshafeli kitambo
 
Aisee
Sema kuwa mkweli ni jambo zuri ila huku kibongo bongo mtihani wa kusema ukweli tumeshafeli kitambo
Huyo angekuwa First Lady wa kibongo angetakakuonekana malaika hana makosa.

Bongo mtihani wetu mgumu, fisadi aliyeuza nyumba za serikali kinyume na utaratibu eti ndiye rais naye anaongoza vita dhidi ya ufisadi sasa.
 
Skunk, Kush, marijuana msuba nagusa alafu the way nilivyo ukioniona huwezi amini natumia, tatizo machalii kama hawa nlowakuta hapa singida wanagusa aalafu lishe move, hawaogi, wamejizira, day one naenda kwa pusha alihisi me mpelelezi nkamwambia nyonga tuguse ka nyonga fresh ila mpaka 2day ananambiaga sifananii wavutaji.
 
Obama alivuta bangi akiwa kapuku tu kwenye ujana wake...Hivi bangi huwa ina Class ? Kwani bangi inapitia process zipi mpaka kutumika ? Zaidi ya kuchuma jani na kumoka ?
Hii thread wanaochangia wengi siyo masmoker mkuu nawaangalia 2, ni kuchuma kukausha, kuroll, kusmoke
 
Back
Top Bottom