Yamakagashi
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 8,614
- 17,626
Obama alivuta bangi akiwa kapuku tu kwenye ujana wake...Hivi bangi huwa ina Class ? Kwani bangi inapitia process zipi mpaka kutumika ? Zaidi ya kuchuma jani na kumoka ?Tatizo la wabongo wanataka kufananisha high class ya bangi wanayovuta Obama, na makushabu ya hapa!....aaah wapi lazima bangi ikubangue!