Michelle Obama; America's Most Photographed 1st Lady!

Michelle Obama; America's Most Photographed 1st Lady!

Michelle+Obama+School+Students+Help+Harvest+kUCPSiPggB5l.jpg
 
Lakini unadhani nguo kama hii angavaa mama wa kwanza wa JMT ingekuwaje? Reaction ya wadau?
 
Ila sasa apumzike kiduchu kwenda gym manake anaanza kukomaa!
 
Injinia umesema kweli mama anaanza kuwa kama Kina Serena Williams
 
Aisee mama anajua kuvaa huyu! namfagilia sana
 
Naenda kushonesha na mimi nguo kama hiyo sijui nitapendeza kama yeye...................😉
 
Huyu mama kapendeza.

Ila kusema ukweli, I hate "wigi". Yaani mimi mwanamke hata kama kapendeza vipi..nikisha muona ameweka wigi kichwani yaani naishiwa kabisa hata hamu ya kumuangalia. Na mimi huo ndo ugomvi wangu na mama Obama. She looks cute and elegant..but when I look at her head..basi naishiwa kabisa hamu ya kumuangalia.......

I really HATE it..sema tuu basi inabidi uheshimu maamuzi ya watu...I wish wanawake mngejua mnavyopendeza na nywele zenu za kawaida.

Masanja,
 
Huyu mama kapendeza.

Ila kusema ukweli, I hate "wigi". Yaani mimi mwanamke hata kama kapendeza vipi..nikisha muona ameweka wigi kichwani yaani naishiwa kabisa hata hamu ya kumuangalia. Na mimi huo ndo ugomvi wangu na mama Obama. She looks cute and elegant..but when I look at her head..basi naishiwa kabisa hamu ya kumuangalia.......

I really HATE it..sema tuu basi inabidi uheshimu maamuzi ya watu...I wish wanawake mngejua mnavyopendeza na nywele zenu za kawaida.

Masanja,
...Hili nalo neno.....
 
Tumewaona ma first lady wengi lakini Michelle anapendeza kila anachovaa. Mpeni haki yake mama Obama, she doesn't need much to make a splash!!!
 
Huyu mama kapendeza.

Ila kusema ukweli, I hate "wigi". Yaani mimi mwanamke hata kama kapendeza vipi..nikisha muona ameweka wigi kichwani yaani naishiwa kabisa hata hamu ya kumuangalia. Na mimi huo ndo ugomvi wangu na mama Obama. She looks cute and elegant..but when I look at her head..basi naishiwa kabisa hamu ya kumuangalia.......

I really HATE it..sema tuu basi inabidi uheshimu maamuzi ya watu...I wish wanawake mngejua mnavyopendeza na nywele zenu za kawaida.

Masanja,

Kwanini unaliogopa Masanja .?
 
amependeza nini wakati dunia nzima inamchungulia hapo hivyo? hauoni anavyopata shida kukaa na kujibana, si avae nguo nzuri tu hadi watoto wanaona mapaja yake ya ndani hivyo...duh anahitaji kitchen party huyo.
 
Kwanini unaliogopa Masanja .?


FL yaani kweli sijui kwa nini, lakini yaani nikishamuona mdada ameweka hii kitu kichwani..hata kama nilikuwa nataka nirushe neno...nakimbia. I simply hate it. Ndo maana nikimuangalia mtu kama mama Tibaijuka..I really feel proud of her. Yaani nyewele zake ni za mama mwafrika kabisa! Kudos to her and others who are like that!

Kwa nini mtu uweke wigi? Labda unieleze wewe!
 
FL yaani kweli sijui kwa nini, lakini yaani nikishamuona mdada ameweka hii kitu kichwani..hata kama nilikuwa nataka nirushe neno...nakimbia. I simply hate it. Ndo maana nikimuangalia mtu kama mama Tibaijuka..I really feel proud of her. Yaani nyewele zake ni za mama mwafrika kabisa! Kudos to her and others who are like that!

Kwa nini mtu uweke wigi? Labda unieleze wewe!

Nimekuelewa masanja naona unadumisha asili safi sana ..(natural hair)
 
Back
Top Bottom