Zanzibar 2020 Michenzani, Zanzibar: Maalim Seif akamatwa kwa kutaka kuongoza maandamano ya kupinga Matokeo ya Uchaguzi

Zanzibar 2020 Michenzani, Zanzibar: Maalim Seif akamatwa kwa kutaka kuongoza maandamano ya kupinga Matokeo ya Uchaguzi

Tanzania imeshaamua.

Hakuna mwenye muda wa kupoteza wa kuandamana.

Waandamane wao na familia zao.

Sio kushawishi watoto wa watu kila siku kuumia kwa manufaa yao.
Wacha ujinga, Magufuli ndio Tanzania?

Akili za kumuunga mkono mwendawazimu wenu pelekeni hukohuko!
 
Wewe utakuwa uliishia QT, maana demokrasia ya kigriki haikuwa hivyo. Demokrasia ya Tanzania ni bora kuliko ya Ugiriki. Ugiriki wanawake hawakuruhusiwa kugombea wala kupiga kura. Huku wewe umepiga kura na Queen Sendiga kagombea.
Ugiriki, maskini hawakuruhusiwa kugombea wala kupiga kura. Huku utajiri au umaskini sio kigezo cha kugombea wala kupiga kula.
Ugiriki Watumwa na wageni hawakuruhusiwa kugombea wala kupiga kura. Huku kwetu wageni hupewa Uraia na kuruhusiwa kugombea na kupiga kura.
Akirudisha hili shuti nitag
 
Kwa mujibu wa ACT Wazalendo Maalim Seif, Juma Duni, Ismail Jussa na viongozi wengine wa chama wakamatwa mchana wa leo wakidaiwa kuhamasisha maandamano.
Sio kudaiwa wamesema live watu waingie road ,maana hakuna namna watapigwa tu.
 
Tanzania imeshaamua.

Hakuna mwenye muda wa kupoteza wa kuandamana.

Waandamane wao na familia zao.

Sio kushawishi watoto wa watu kila siku kuumia kwa manufaa yao.
Umeshawaona wakiandamana ikutoshe kutuliza kishimoshonde...
Tanzania imeshaamua.

Hakuna mwenye muda wa kupoteza wa kuandamana.

Waandamane wao na familia zao.

Sio kushawishi watoto wa watu kila siku kuumia kwa manufaa yao.
 
CCM badala ya kuiba kura wamelawiti uchaguzi!
Ndugu wataiba hizo kura zote kipindi cha majumuisho mawakala wao wasione kabisa yani mfano kwa Mbowe bonge la gepu hata kama wizi hapana yani hata akisema zile 15 anazosema zimekamatwa zikiwekwa kwake ngoma bado analazwa vibaya.
Wololo yayee ...
 
Ndugu wataiba hizo kura zote kipindi cha majumuisho mawakala wao wasione kabisa yani mfano kwa Mbowe bonge la gepu hata kama wizi hapana yani hata akisema zile 15 anazosema zimekamatwa zikiwekwa kwake ngoma bado analazwa vibaya.
Wololo yayee ...
Walichofanya CCM ni kuboresha yale waliyofanya kwenye uchaguzi wa serekali za mitaa mwaka 2019
 
Magu kakuinamisha wewe 🤣🍆
Kuna watu kibao wapo usa lakini huwezi ukajua lakini wewe limbukeni na shoga la kingosha muda wote ni kubana sauti "usa baby" umeshaazeka tafuta biashara nyingine ya kutafuta hela badala ya hiyo ya kudanga kwa wazungu
 
WAMEUA TENA.
Amani mnaichezea hii CCM oohooo
Screenshot_20201029-162210.jpg
 
Back
Top Bottom