Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kama tupo kwenye lockdown... kwenye barabara wamejaa askari tu... Na sehemu nyingi maduka yamefungwa..Kunani
Haki ipi?View attachment 1615407
Mwenyekiti wa ACT Maalim Seif Sharif Hamad, Makamo Mwenyekiti Juma Duni Haji Ismail jussa na Viongozi wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu Wamekamatwa muda huu Michenzani walikuwa wanaongoza maandamano ya kutafuta haki.
Andamana... Ndio utapewa JIBUUlishawahi kujiuliza uyo anakupa wewe order ya kudhulu wengine kwann asifanye iyo dhulma yeye mwenyewe?!! Kwann awape order wewe na wenzako ya kudhulumu maisha ya waafrika wenzako?!! Siku ukipata hayo majibu.. basi utakuwa umejitambua!!
Poleni sanaNi kama tupo kwenye lockdown... kwenye barabara wamejaa askari tu... Na sehemu nyingi maduka yamefungwa..
Tuliwaambia tutawanyoosha sasa nafikiri mmejua watz siyo wa mchezo mchezo Lissu amejificha kijijini kwao na mkewe wanacheza YOPE!Nchi ya Ugiriki katika mji wa Athens mwaka 330BC ilianzisha demokrasia. Mwaka huo kila ni mwanaume aliyeishi Athens alipewa haki ya kumchagua kiongozi wake midhali awe na umri wa miaka 30. Hii ilijumuisha wageni, watumwa na wafanya kazi wa majumbani.
2025 Tanzania bado hatujajua demokrasia na wabunge na madiwani wanapita bila kupingwa.
Nae Mandela aliipigania nchi yake kutoka ujana, mpaka alipoipata alikuwa kibabu. Ila mentality ya wapungufu wa fikra na akili kama nyie ndio mnaojirudisha nyuma. Milele mtamilikiwa kama mabuju maana mnajifanya mabuju!Wa Zanzibar wazalendo wamempuuza Babu madevu. Hivi kweli anadhani anaweza kushinda huo urais leo baada ya kuupigania tangu ujana wake?.
Tuingie barabarani tu. Tukinukishe ili nchi isitawalike halafu tukose wote.
Na haina compoent ya uhuniDhana ya demokrasia I some na uilewe, demokrasia ya kutaka kila upendalo wew ndiyo litimie haipo hiyo , hapo utaona DEMOGHASIA
Ingia barabaraniNchi ya Ugiriki katika mji wa Athens mwaka 330BC ilianzisha demokrasia. Mwaka huo kila ni mwanaume aliyeishi Athens alipewa haki ya kumchagua kiongozi wake midhali awe na umri wa miaka 30. Hii ilijumuisha wageni, watumwa na wafanya kazi wa majumbani.
2025 Tanzania bado hatujajua demokrasia na wabunge na madiwani wanapita bila kupingwa.
Ngoja wawekwe ndani kwanza hata wiki mbili. Nadhani wana hamu ya kula ugali wa bure.