Michezo haramu katika mikopo chechefu. Je, Martin Masese anapata wapi taarifa nyeti kama hizi?

Michezo haramu katika mikopo chechefu. Je, Martin Masese anapata wapi taarifa nyeti kama hizi?

Tuangalie checklist ya kudeal na defaulters kwenye mabenki.

1. Kuna proof kuwa mkopo uliombwa na kuchukuliwa na the correct, responsible na accountable kwa kampuni?
2. Disbursements zilifanyika as agreed by the two parties?
3. Was the loan 'appropriately' secured?
4. Has the borrower serviced the loan as required?
5. Does the bank agree on the borrower's current conditions in settling the loan?
6. So what is the issue in court?

Sasa hizi issue za wateja kushinda jesu hata sizielewi. Corruption ya loan officers ni issue kweli, lakini kama mkopo uko secured properly, process ya bank ku attach na kuuza ililegezwa na kuwa straight forward.

Ikiwa customer anataka kushtaki rushwa aliyotoa, hiyo ni separate case. And no customer would come forward na kusema, 'ili kupata huu mkopo, nilimpa Chairman wa Board' rushwa. It could be true, lakini hiyo Ina process yake ngumu, kidogo. Ndiyo maana hizo kesi hatuzisikii sana kesi za namna hii.

Sasa hii ya watu kushinda kesi, ikiwa pesa walichukua na wakatoa collateral za kutosha huo mkopo, sielewi wameshinda nini: kwamba hawakuchukuwa mikopo, au wamekwisha service loan yote?
Exactly mkuu, swali la msingi la kuuliza ni kwamba hizo kesi wanazoshinda wanashinda kwa loopholes gani..? To solve this, its needful knowledge to know wanashindaje hizi kesi kwanza.
 
Vijana kama wewe wana mchango mdogo sana kwa Taifa!
Unakosea mambo mengi kujibu bila kusoma na kuelewa kilicho andikwa na ni nani amekiandika.
Mosi, unaweza kunionyesha takwimu za asili mia sitini alizoweka huyo niliyemjibu? Tuwekee ushahidi huo hapa nasi tuupime usahihi wake.
Pili, katika hayo niliyo andika hapo kuna mahali popote palipoonyesha "ujana" wangu na hapo hapo kukupa mchango wangu kwa Taifa?
Hebu tuwekee mchango wako na wenzako tuone mlivyo changia taifa hili. Ndio mliopo huko CCM sasa hivi mkilididimiza taifa hili, halafu mnajigamba kuchangia?
 
Katafute judgement upate ufahamu!
Kama wewe hiyo 'judgement' unao ufahamu nayo, unashindwa kitu gani kuchangia hapa JF watu waione? Hata kutaja tu mfano, ilfanyika lini na wapi huwezi?
Sasa tutasemaje kwamba wewe ufahamu unao?
 
  • Hiyo yaweza kuwa michezo ya 'wakubwa' na hupangwa, kuchezwa na 'wakubwa' .... Mameneja, maafisa mikopo, wanasheria, wakopaji, n.k.
  • Hata hii mikopo ya kisasa hii yawezekana tungekuwa na whistblowers wanaojielewa wangekuwa wameshakisanua. Mpaka deni linafika kimo hicho bila loopholes. Siamini
 
Hao ndio wawekezaji na wafanyabiashara aliowarudisha mama baada ya kubanwa na Magu
 
Mwalongo, graduate wa UDSM, 2003, intern wa Law Associates ya Dk. Ringo Tenga, Dk Tenga is one of the best legal mind the country ever had,,Kabudi tupa kule, Mwalongo anawatesa mawakili mpaka wanaamua kutumia majungu.

Lawyers wa Banks wenyewe double dealers, though still i advise Jaji Mkuu anapopanga majaji wa commercial division ajiridhishe sana, Jaji kateuliwa nyumba yake iko mivumoni inajiuliza nianze kuua mtoto, baba au mama, unampa kesi ya bilioni 100, mtu akochomoa 500 akamchapa Jaji na ghorofa kali utamlaumu nani
 
Kwenye corrupt court haya ndo yanafanyika.

Mie nashangaa sana kesi za kukopa benki eti mtu anashinda.

Kule kunakuwa na ushahidi mwingi sana ambao haumlazamishi hakimu/jaji wote uwe umetimia. Maana unakuta mtuhumiwa amelamba hizo fedha sasa analeta jajnja tu.

Iwe umeweka dhamana ama laa, hawa wahujumu uchumi inabidi walipe mikopo yao.
 
Mwalongo, graduate wa UDSM, 2003, intern wa Law Associates ya Dk. Ringo Tenga, Dk Tenga is one of the best legal mind the country ever had,,Kabudi tupa kule, Mwalongo anawatesa mawakili mpaka wanaamua kutumia majungu.

Lawyers wa Banks wenyewe double dealers, though still i advise Jaji Mkuu anapopanga majaji wa commercial division ajiridhishe sana, Jaji kateuliwa nyumba yake iko mivumoni inajiuliza nianze kuua mtoto, baba au mama, unampa kesi ya bilioni 100, mtu akochomoa 500 akamchapa Jaji na ghorofa kali utamlaumu nani
Yaan mtu ukope kulipa uanzishe mgogolo, BOT wao kama wasimamizi sijui role yao huwa ni ipi kwenye hzi case.
Mie nadhani hizi hukumu ziwe ni kuboresha sheria zetu dhidi ya wakopaji lakini sio kuwapa nafuu.
 
yaani mabenki wanatapeliwa mikopo kizembe hivyo? kuna tatizo mahali either kwenye hio makala au hao lawyers wa benki ni wapumbavu!!
 
Serikali imeweka pesa za umma katika benki hizo tajwa hapo juu.Zaidi ya asilimia 95 ya benki ya AZANIA ni mifuko ya hifadhi za jamii hasa NSSF, hivyo kuchukua pesa AZANIA BANK bila kurudisha ni sawa na kutafuna vikokotoo vya wastaafu wa serikali na sekta binafsiMfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) ni 3nd largest shareholder wa AZANIA Bank (17.97%) na walichukua pesa za wanachama zaidi ya Sh.....

Hakika wachache wanatafuna mapesa kiulaini, huku walio wengi wanaambiwa hawawezi kupata huduma zote za afya bure n.k
 
Back
Top Bottom