Michezo haramu katika mikopo chechefu. Je, Martin Masese anapata wapi taarifa nyeti kama hizi?

Pia na mashaka na hii taarifa,

Mfano Kom,kahama oil mill au tunao mfahamu kama ndegesera ,nikiwa kama mdau wa Tasnia ya Pamba ,jamaa Yuko hoi mali zake viwanda vya Pamba viko chini ya bank alazikopa and am wondering kiasi kilichoa andikwa Tsh 220 billion kama anaweza kukuposheka , taarifa Ina walakini...Bank are not stupid like that ,
 
Alikuwa anapoteza mda wake kubishana na kile kibibi cha 🇺🇸, hizi ni taarifa nyeti zinazohitaji uchunguzi mkubwa tu. Watu wachache wanaitafuna nchi, just imagine walivyokuwa wanamchukia na kumsema vibaya JPM, shida zote kama hivi yani.
 
Nimeogopaa kumalizia nasikia kizunguzungu
 
NJJUAVYOI HIZOO HELA HAWAJALA WENYEWE MKUU KUNA NYIMBO NYUMA YA PAXIA NDIO MAANA AAWAGUSIKI
 
as
Kuna pdf za kesi zao online. Wasomi mtufanyie uchambuzi.


Jamaa wanakopesheka hela nyingi sana, mamilioni ya madola, yaani ni maB na maB na mabB
asante, hii ya page 197 na 164 watasoma Justice of appeal......
 
Huo ndio uchumi wa dunia hamna cha maanza zaidi ya riba, wanatoa gawio kugawana na wakubwa wa nchi

Uchumi wa dunia ni kuchukua kwa watu wa chini ili kunufaisha watu wa juu, riba kibao wahanga ni waajiriwa wa hali dhalili kabisa.
 
Kweli kabisa. Wengi hatujui hao wajanja wameshinda kesi ya auna gani. Ndugu zetu wasomi hebu tusaidieni hapo.
 
Watu wa benki wanahusika kwa asilimia kubwa sana kufanya ufisadi nchi hii lakini ni vigumu kuwabaini kwa namna ambavyo wanaandaa fomu zao za kujaza.
 
Ina maana mabenki yanaongozwa ana watu wapuuzi kiasi hicho?! Umekwisha soma au kusikia Majaji wa taifa hili wanavyokula rushwa za mabilioni ya fedha?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…