Michezo haramu katika mikopo chechefu. Je, Martin Masese anapata wapi taarifa nyeti kama hizi?

Jamani, hapa duniani, kweli kuna nchi kama Tanzania? Najua Nigeria inasemekana sna, lakini kule kuna wasomi pia. Kumlaghai msomi si kitu rahisi. Hapa Tanzania yaelekea wachache waliosoma wamesomea wizi!
 
Jamani, hapa duniani, kweli kuna nchi kama Tanzania? Najua Nigeria inasemekana sna, lakini kule kuna wasomi pia. Kumlaghai msomi si kitu rahisi. Hapa Tanzania yaelekea wachache waliosoma wamesomea wizi!
Waziri Mwigulu anawachanganya wabunge na EPC +F! Hakika nchi hii tumekwisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…