Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.

Mwanahabari ajitosa kuongoza soka Morogoro


Imeandikwa na Mwandishi Wetu, Morogoro; Tarehe: 29th December 2010 @ 23:35


MWANDISHI wa habari za michezo wa Radio Free Africa na Star tv Nickson Mkilanya ni miongoni mwa wanamichezo 21 waliojitokeza kuwania uongozi katika uchaguzi mkuu wa Chama cha Soka Mkoa wa Morogoro (MRFA) uliopangwa kufanyika Januari 15 mkoani hapa.

Akizungumza na HABARILEO kwa njia ya simu jana, Mkilanya aliyepata kuwa mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (Taswa) na msemaji wa timu ya Mkoa wa Morogoro "Moro Star" mwaka 2007/8 alisema anawania nafasi ya ujumbe anayewakilisha klabu za Ligi Kuu na kwamba ameamua kugombea nafasi hiyo ili kusaidiana na uongozi utakaochaguliwa kuinua soka mkoani Morogoro na kuirejesha Morogoro katika ulimwengu wa soka kama ilivyokuwa miaka ya nyuma.

Mkilanya alisema kuwa kama wajumbe watamchagua katika wadhifa huo atahakikisha anashirikiana na viongozi wenzake kuelekeza nguvu zao zaidi katika soka ya vijana ili kuibua vipaji zaidi na kuviendeleza sanjari na kuwatafutia wachezaji hao nafasi za kucheza katika timu za Ligi Daraja la Kwanza, Ligi Kuu na baadaye nje ya nchi.

"Wajua Morogoro kuna vipaji vingi sana vya soka na si kweli kwamba Morogoro imechoka, lakini tatizo letu ni namna ya kuibua vipaji na kuviendeleza, tunataka wachezaji wenye vipaji ambao wapo huko wilayani waje mkoani wacheze wakitoka hapa wacheze timu kubwa na wasaidie kupandisha timu zetu,"alisema Mkilanya ambaye amepata kucheza timu mbalimbali za ligi daraja la tatu hadi ngazi ya Kanda.

Aidha alisema anataka kuwaunganisha wadau wa soka Mkoa wa Morogoro kuzisaidia timu zao katika madaraja mbalimbali na kwamba hilo linawezekana kwa kutafuta wafadhili ikiwemo taasisi za fedha zilizotapakaa mkoani hapa kusaidia soka la Mkoa wa Morogoro kwa kutoa udhamini ili soka iweze kusonga mbele.

Awali Mwenyekiti wa Kamati ya Uchaguzi ya MRFA Stephen Mdachi katika siku ya mwisho ya kuchukua na kurejesha fomu aliwatangaza wanamichezo 21 kuwa wamejitokeza kuwania nafasi hizo akiwemo Athuman Kambi anayetetea nafasi ya Uenyekiti na Pascal Kihanga anayewania nafasi hiyo kwa mara ya kwanza.

Wengine ni Khamis Semka na Aristotle Nikitas wanaowania ukatibu mkuu, Msafiri Mkelemi na Athuman Ujuo wanaowania umakamu Mwenyekiti, Emanuel Kimbawala na Ramadhan Wagala wakichuana katika nafasi ya Katibu Msaidizi na Hasan Bantu anayewania ujumbe wa mkutano mkuu wa TFF.

Katika uchaguzi huo Mkilanya anachuana na Farid Nahad, wakati Abdallah Mkali akiwania uhazini, na wajumbe 10 wamejitokeza kuwania nafasi tatu za ujumbe wa Kamati ya Utendaji.
 

China yaahidi kusaidia sanaa

Imeandikwa na Mwandishi Wetu; Tarehe: 29th December 2010 @ 23:30


BARAZA la Sanaa la Taifa (BASATA) limeingia kwenye makubaliano na Ubalozi wa China nchini ya kubadilishana kazi za sanaa na wasanii mbalimbali kwa ajili ya kuimarisha mashirikiano ya kiutamaduni na kukuza sekta hiyo nchini.

Akiwa katika ziara yake BASATA ambayo alifuatana na maofisa wawili wa ubalozi wake Huang Wei na Wang Hong, Balozi Muambata wa Utamaduni kutoka China, Liu Dong alisema kwamba nchi yake imejipanga kusaidia sekta ya utamaduni nchini kwa kuwashirikisha Watanzania kwenye matamasha mbalimbali ya kitaifa na kimataifa ikiwa ni pamoja na kujenga miundombinu ya sekta hiyo.

Liu alikubaliana na BASATA katika kuimarisha mahusiano ya kiutamaduni ikiwa ni pamoja na kuweka mikakati ya kuwezesha ubadilishanaji wa kazi za sanaa na wasanii ili wapate fursa za kuuza kazi zao, kujitangaza na kushiriki katika matamasha mbalimbali ya kitaifa na kimataifa.

"China kwa sasa inaweka nguvu kwenye suala la kubadilishana utamaduni baina ya mataifa haya mawili.

Tunategemea kuwashirikisha wasanii wa Tanzania katika matamasha mbalimbali tutakayoyaandaa pamoja na kuwapeleka nchini China kwa ajili ya kuongeza na kubadilishana ujuzi," alisisitiza Liu huku akitaja sanaa za uchongaji, filamu, uchoraji, ngoma za asili, sarakasi na nyinginezo kuwa watazipa msisitizo.

Kwa kuanzia Balozi huyo wa China alisema kwamba, wasanii wa Tanzania watapata nafasi ya kushiriki matamasha na maonesho ya kuadhimisha mwaka wa China ambayo yanatazamiwa kuanza mwishoni mwa Februari mwaka 2011 ambapo pamoja na wasanii kutoka Tanzania watakuwepo pia magwiji wa tasnia hiyo kutoka China pamoja na waandishi wa habari maarufu.

Kwa upande wake,Katibu Mtendaji wa BASATA, Ghonche Materego alisema, ziara hiyo ya maofisa wa ubalozi wa China ambayo imekuja baada ya ile ya awali ya maofisa wa Baraza ubalozini kwao ni yenye manufaa makubwa na italeta tija kubwa katika tasnia ya sanaa na utamaduni kwa ujumla hasa ukizingatia wasanii wamekuwa na uhitaji mkubwa wa maonesho na masoko ya kazi zao.

Aliongeza kwamba, BASATA iko tayari kusaidiana na China katika masuala mbalimbali ya ukuzaji wa sekta ya sanaa huku akiweka wazi kwamba, uhusiano wa China na Tanzania ni wa muda mrefu hivyo kuna kila sababu ya kuuendeleza na kuuimarisha zaidi.

"Kama kuna suala lolote mtakalohitaji tuwasaidie katika kukuza ushirikiano wa kiutamaduni sisi tuko tayari na milango iko wazi.

Bila shaka eneo hili la mashirikiano ya kiutamaduni ni nyeti sana na hatuna budi kulipa msukumo wa kipekee," alisisitiza Materego.
 
index_r3_c2.gif
spacer.gif
Imewekwa:: 2010-12-25 11:46:00 Asghal kutoka na Temba leo
5567.jpg
asghal Zaina Malongo
MSANII mchanga wa muziki wa kizazi kipya Ally Goloto a.k.a Asghaly mwenye maskani yake Kurasini Jijini Dar es Salaam amevunja mkataba na kundi la BBM Grew na kuamua kutoka mwenyewe.

Akizungumza na starehe amesema kutoka mwenyewe baada ya kundi hilo kutokana na kundi lkutokuwa na msimamo utendaji kisanii .

�Nimeamua kutoka mwenyewe na singo yangu moja nitakayoitambulisha kwa washabiki kwa jina la �Mapenzi sio Pesa� ambapo nimeshirikisha Temba wa kundi la wanaume famili kutokana na kumkubali katika tasnia ya muziki wa kizazi kipya�amesema Goloto

Goloto amesema amekaa kimya kwa miaka mitatu kutokana na kukoza mdhamini wa kumtoa kimuziki ikiwa muziki kwa upande wake upo katika damu.

Amesema bado ajafanikiwa kivile hivyo ameweka milango wazi kwa msamaria ambae ataweza kumtoa kimuziki kwani malengo yake kimuziki ni makubwa kwa nchi ya Tanzani hasa katika kuitangaza.
mwisho
 
index_r3_c2.gif
spacer.gif
Imewekwa:: 2010-12-25 11:41:00 Bushoke: Sasa augeukia muziki wa dansi
5566.jpg
bushoke Zaina Malongo
SANII wa muziki wa kizazi kipya Luta Masuila Bushoke ameamua kutoka kivingine baada ya kujikita katika muziki wa dansi.

Akizungumza na burudani amesema ameamua kujikita katika bendiamabyo inajulikana kama Bongo bendi.

Alisema ameamua kujikita katika muziki wa dansi ilikuwapisha wasanii wachanga wanaoibukia katika muziki wa kizazi kipya.

�Muziki wa kizazi kipya nitaendelea nao lakini sio kama zamani kwa sasa nimejikita zaidi katika muziki wa dansi��amesema Bushoke
Bushoke amesema bendi yake itakuwa ikitoa burudani kwa kuimba nyimbo zake alizokuwa akiimba katika muziki wa kizazi kipya.

Alisema bendi hiyo itambulika siku ya X-Mass katika kumbi tatu za starehe za Jijini Dar es Salaam ikiwepo katika ukumbi wa maisha .
MWISHO.
 









spacer.gif



index_r3_c2.gif
spacer.gif
Imewekwa:: 2010-12-25 11:24:00 Nimejipanga upya 2011
5565.%20chain
Dk Cheni Minael Msuya
MSANII nguli wa filam nchini Mahsein Awadh maarufu kama Dk Cheni, ametamba kufunga mwaka huku akimalizia kurekodi filamu zake nne na kuziachia hewani Januari.

Akiongea na Starehe Dk Cheni anasema, ameamua kufunga mwaka akiwa na rekodi ya filam hizo kwa ajili ya kuweka sawa mwaka 2011.

�Nafunga mwaka nikiwa kwenye hatua ya kumalizi kurekodi ya filamu nne kwa mkupuo, nimeamua kufanya hivyo ili kuweka sawa mipango ya mwaka mpya,� anasema Dk Cheni na kuongeza;

�Kama ilivyo kawaida yangu lazima ziwe kali, washabiki wangu wanatambu, nikitoa kitu kikali lazima kingine kinakuwa kikali zaidi ya kilichopita�.

Akizitaja filam zake hizo Dk Cheni anasema kuna Pooja, My flower, Jicho la mama na One by one at three ambayo ni part three.

�Mashabiki wangu wakae mkao wakula kwa sababu filam zote ni kali zaidi na zimechezwa na wasanii wakongwe wanaokubalika,� anasema.

Dk Cheni anasema filam zote zitasambazwa na Kampuni ya Jet set technologies mwezi Januari.
 

Eliza, Kelvin kutangaza Utalii wa Tanzania


Imeandikwa na Evance Ng'ingo; Tarehe: 29th December 2010 @ 23:00


MSHIRIKI wa shindano la Big Brother Africa mwaka 2009 Elizabeth Gupta pamoja na mchumba wake Kelvin ambaye ni mshindi wa shindano hilo kutoka Nigeria wanatarajia kuanzisha kampeni maalumu ya kutangaza utalii wa Tanzania.

Elizabeth alisema hayo juzi muda mfupi kabla ya kuanza kurekodi kipindi maalumu cha Angella Bondo Talk Show kilichorekodiwa na kudhaminiwa na Hoteli ya Paradise.

Elizabeth alisema kuwa kwa kushirikiana na mchumba wake huyo tayari wamesharekodi vivutio vingi na matukio mbalimbali muhimu katika maeneo mbalimbali kisiwani Zanzibar, Arusha na Kilimanjaro.

Alisema kuwa hizo ni hatua za awali katika kutekeleza mipango yake aliyojipangia muda mfupi baada ya kumalizika kwa shindano la BBA 2009 ambapo mipango yake mingine ni kucheza filamu nchini Nigeria kuwa mpambaji pamoja na kuanzisha mgahawa wake.

Katika kipindi hicho cha Angella Bondo Talk Show Elizabeth aliimba moja kati ya nyimbo zake alizorekodi na mchumba wake huyo ikiwa pamoja na kuzungumzia maisha yao.

Elizabeth hakusita kuelezea namna ambavyo anafurahia maisha yake akiwa na Kelvin na kufafanua kuwa kijana huyo ni mcha Mungu, anajituma na ni mwenye upendo wa dhati.

Wengine walioshiriki katika kipindi hicho ni msanii Khalid Mohamed, TID ambaye pia juzi alizindua albamu yake.
 



index_r3_c2.gif
spacer.gif
Imewekwa:: 2010-12-14 02:29:00 Hardmad na staili yake
5450.jpg
HARDMAD DORIS MALIYAGA
HARDMAD amesema katika sanaa ya muziki wa sasa hafananishwi na yeyote na tena hana mpinzani kutokana na staili anayoifanya ndio maana kila albamu anayotoa inakaa muda mrefu sokoni na kwenye chati.

Msanii huyo ambaye wiki iliyopita alizindua albamu yake ya tatu inayotambulika kama "Imebaki Historia" baada ya ile ya awali ya "Ni Wewe" ambayo ina jumla ya nyimbo 10 alizoimba staili tofauti akichanganga lugha za makabila.

Anasema tangu aanze sanaa hiyo 2002 aligundua mashabiki wanataka nini na ndiyo maana staili anayoimba imekuwa ya kipekee na utofauti mkubwa na nyimbo za wasanii wengine ambapo kwa mtiririko baada ya kwanza 2002 ya pili ilitoka 2006 kabla ya imebaki historia 2010.

��Sina mpinzani katika sanaa hii na simuogopi yoyote sijaona wa kuniumiza kichwa na ndiyo maana kazi zangu ninazotoa nimezipa muda sitoi nyingine hadi miaka minne ipite,��anasema Hardmad ambaye dada yake Fatuma ni msanii pia.

��Siburudishi kwa kuiga lakini hiki ni kipaji kutoka kwa baba yangu ambaye alikuwa ni muimbaji mzuri miaka hiyo ya nyuma ambaye aliturithisha sisi wanae.��
 
Professionals arrive for Stars camp Monday, 27 December 2010 11:46

amekujamaulid.jpg
By Majuto Omary
Dar es Salaam. Three professional players plying their trade abroad arrived here ready to join the national team, Taifa Stars, ahead of the Nile Basin Championship slated for January 5 in Cairo, Egypt.

Taifa Stars assistant coach Sylvester Marsh named the players as: the former Young Africans speedy winger, Said Maulid and Athumani Machupa, who earned lucky recalls to beef up the striking department.
Nizar Khalfan, who plays for Canada's Vancouver Whitecaps, missed the Cecafa Tusker Challenge Cup, but is already in the country for the Nile Basin mission.
Maulid, who shone with Young Africans in yesteryears, features for an Angolan premiership outfit, Onze Bravos while Machupa plays for Vasalund IF of Sweden. "The trio are already in the country and I expect that they will report at the camp tomorrow (today)," he said.
Marsh, who unveiled the squad on behalf of head coach Jan Poulsen, harboured hopes that Machupa and Maulid would boost the Taifa Stars floundering forward line. The recall of Young Africans marauding striker Jerry Tegete was also meant to add aggression upfront.
The coach disclosed that Sofapaka's Idrissa Rajab was yet to arrive, but assured fans that the soccer controlling body, TFF, was working relentlessly to have him released.
"We tried to reach him over the telephone, but unfortunately our efforts bore no fruit. The TFF is working on his release and hopefully Rajab will honour the selection soon," Marsh said.
Poulsen is in Denmark for a vacation and according to Marsh, the Dane will join the team in Cairo.
Tanzania will launch their campaign on January 5 by taking on the hosts, Egypt at the Cairo Stadium.

Taifa Stars squad:
Goalkeepers: Juma Kaseja, Shaaban Kado, and Said Mohamed.
Defenders: Shadrack Nsajigwa, Stephano Mwasika, Kelvin Yondani, Juma Nyoso, Aggrey Morris, Nadir Haroub.
Midfielders: Shaaban Nditi, Nurdin Bakari, Abdi Kassim, Idrissa Rajab, Henry Joseph, Nizar Khalfan, Jabir Aziz, Taita and Machaku Salum.

Strikers: Mrisho Ngassa, Jerry Tegete, Said Maulid and Athumani Machupa.

 
Mashali and Mbelwa to face off in non-title bout Monday, 27 December 2010 11:22

By Majuto Omary, The Citizen Reporter
Dar es Salaam. Budding boxer Sadiki Momba had the last laugh on Saturday after defeating a prominent featherweight pugilist, Charles Mashali, in a well-contested bout at Texas Hall.

The gripping fight organised by Ramadhani Jah of the Unique Promotion saw the judges give the youngster 40-37 points.
Momba embarked on the bout strongly, sending a series of accurate jabs that downed Mashali twice.
Mashali went to the canvas in the second round, but managed to continue with the fight after beating referee's 10 mandatory counts.

In the third round, Mashali looked to have regained his poise and attacked Mombo with vicious punches, but the latter refused to go down.
Mashali continued to impress in the fourth round, but lost steam as the bout wore on, which allowed Mombo to dictate the fight.
The fifth round was the end of the road for Mashali when he went to down and sustained an injury, thus failing to continue with the fight.
Speaking in a jovial mood after the bout, Momba said it was a hard earned victory, and voiced optimism of building on the win.

Momba added that he was intending to challenge for the national title before seeking an international fight.

"It was tough fight, but thanks to God I finally made it, this is a Christmas gift for my fans.

"The victory has motivated me a lot and now I'm planning to contend for the national title," he said confidently.

In the light flyweight category, Audiface Augustino defeated Abdallah Kitete on points 39 – 37 points while Miraji Ally drew 39-39 with Issa Seleman.


 
Japanese grabs WBA title to set new record Tuesday, 28 December 2010 22:29

Tokyo.Koki Kameda beat Venezuela's Alexander Munoz on Sunday to win the WBA bantamweight title and become the first Japanese boxer to win world titles in three weight divisions.

"My dad told me, 'Bantamweight's impossible.' But I've won, so what do you think now, dad?" Kameda shouted after his victory.
The bout at Saitama Super Arena was one in which Kameda showed he had become independent from his father Shiro, who has been banned from corner duties for life. It also highlighted his position as the central pillar of the three Kameda boxing brothers.

When Kameda failed to defend his flyweight title in March this year, his father, whose license as a second had been suspended, unleashed a verbal tirade in protest against the decision. Afterwards, the Japan boxing commission revoked his license and the Kameda Boxing Gym ceased all operations for about a month.

In spite of the setbacks Kameda pulled the gym along. He served as a second in September when his 21-year-old younger brother fought to defend his title for the first time, and in September he took over as president of Kameda Promotion (the company that manages the boxing brothers) from his father.

"I think there are various things I can do," he said. For the latest fight, he came up with promotional initiatives, preparing 500-yen seats in a bid to spark interest in boxing.

To take part in Sunday's world title bout, Kameda decided to move up two weight categories, despite the risks involved. Looking back, his father commented, "I was anxious about it. I've never been that angry before." But Kameda went ahead with the move.

"You never know when chance will arrive," the 24-year-old boxer said. "This is both a goal and a new start.
"The second chapter of Koki Kameda begins here.(AFP)

"Williams started the game 5 of 5, including 3 of 3 on 3-pointers. He had 16 points by halftime, his only miss coming on a last-second driving layup that rolled off the rim.
 



index_r3_c2.gif
spacer.gif
Imewekwa:: 2010-12-14 02:24:00 Fid Q: Bado wakubwa tuko juu
5449.jpg
Fid Q MICHAEL MOMBURI
NGULI wa muziki wa Hip hop nchini, Fid Q amekiri mwaka 2010 ulikuwa na changamoto nyingi kwake lakini akasisitiza wakongwe walitawala.

Amesema mwaka huu waliibuka wasanii wengi kwenye muziki huo lakini hawakuwa na madhara kwake ndio maana bado anajiamini ni bora na hakuna wa kumfunika ingawa alikiri kila mmoja ana mashabiki wake.

"Waliibuka wasanii wengi sana lakini ukiangalia ukweli ni kwamba mkongwe ni mkongwe tu huwezi kumfananisha na msanii mpya hata kama atakuwa anatamba kiasi gani,"anasema msanii aliyewahi kutamba na nyimbo kama 'Fid.com', 'Chagua Moja' na 'Agosti 13' .

"Unaweza ukawa hujamsikia msanii fulani kwa kipindi kirefu cha mwaka lakini huwezi kujua huko aliko anaandaa mambo ya makubwa kiasi gani na ataibukaje, ndio maana naona huu mwaka ulikuwa na changamoto lakini za kawaida sana ngoja tuumalize tuone.

"Lakini kiujumla muziki umekua na kupiga hatua na wasanii wananufaika. Niliamua kutulia kwa muda nikipanga mashambulizi mapya, nadhani mwakani tukijaliwa nitatoka kwa sura mpya zaidi.
"Nataka kufanya mambo ya tofauti katika ubora wa juu zaidi,"anasisitiza msanii huyo.
 
Imewekwa:: 2010-12-14 02:50:00 Tiptop wazuia mastaa watano MICHAEL MOMBURI
TIPTOP Connection imewafungia milango mastaa watano wa muziki wa kizazi kipya waliotaka kujiunga na kundi hilo Madee amedai kuwa shoo zaidi ya 58 walizofanya 2010 zimetosha.
Msanii huyo ambaye ni kiongozi na mmoja wa mastaa muhimu kwenye kundi hilo ameiambia Mwanaspoti kuwa mwaka 2010 ulikuwa na neema kwao ingawa kuna wachache walitaka kuwavuruga.
"Mwaka 2010 umekuwa na mafanikio sana kwa Tiptop tumesimama na singo moja tu ya 'Tunapanda' mwaka mzima na imetamba miezi yote. Ile singo tumeitoa Machi 13 mpaka sasa Desemba bado inavuma na watu wanaikubali, hayo ni mafanikio,"anasema.
"Tuliona haina maana kutoa singo nyingine wakati bado hiyo ipo juu imetutengenezea shoo zaidi ya 58 ndani na nje ya nchi, tumeiuza sana. Tumefanya kazi sana mwaka huu ingawa kulikuwa na ushindani mkubwa sana, wameibuka wasanii wengi wapya ambao wameleta changamoto.
"Lakini tuliweza kusimama kutokana na ubunifu wetu na kujua nini maana yake kazi watu wote walioko kwenye kundi ambao ni mimi Madee, Tundaman, Kassim, Besso, Dogo Janja ni watu wanaojua nini wanachofanya na wanakubalika na mashabiki.
"Kuna watu wengi sana wapya wameingia na kukamata soko la muziki huu mwaka kama Sam wa Ukweli, Diamond na wengine wengi ambao wamewafunika baadhi ya wasanii wa muda mrefu kwavile walikuwa hawana jipya lakini Tiptop ilizidi kusimama na kusonga mbele.
"Wasanii wote wapya walioingia sokoni 2010 walipewa nafasi sana na vyombo vya habari na aliyekuwa na uwezo alisimama ndio maana wakongwe walioshindwa kubadilika na kwenda na wakati walipotea kabisa. Hakuna anayetaka kusikia mambo ya zamani.
"Umaarufu haumbebi msanii watu wanataka kusikia kazi, anapotoka mtu mpya wanamsikiliza kama yupo vizuri wanampa nafasi na wanamkubali, sasa wewe ukizembea unabaki huko huko na wenzio wanakupoteza. Wapo wasanii waliokaa kimya wakifanya mambo yao mengine labda tuangalie watakujaje mwaka 2011 ambao nategemea utakuwa na changamoto kubwa sana kimuziki."
"Kama Tiptop tayari tumefungua mwaka tumeachia singo mpya inaitwa 'goma la Manzese' ambayo ni ya kucheza zaidi na ni zawadi kwa watu wa Manzese, tumejipanga kufanya kazi sana 2011."
"Kuna mastaa kama watano walinipigia simu(akagoma kuwataja) wanaomba kujiunga Tiptop lakini ukweli ni kwamba hawana nafasi hapa, hatutaki staa yoyote tunajitosheleza, hao wanaotaka kuja wanakuja kutuvuruga tu. Tumeona wengi waliokuja wamekuwa wapole siku za mwanzo wakishazoea wanaanza kuleta majungu, hawajitumi kazi wanavuruga utaratibu sisi hatuwataki. Ameondoka K-Sher hatutaki tena watu wengine tutafanya kazi na chipukizi kama huyu anayemba kwa sasa Dogo Janja,"anasisitiza Madee ambaye wimbo wake wa 'Hiphop Haiuzi' ulimkosanisha na wasanii wa Hiphop nchini kwavile walimpinga vikali.
Tiptop ni miongoni mwa makundi yanayotamba nchini likiwa na makao yake makuu Manzese, Jijini Dar es Salaam.
 
Let us help Twiga Stars excel further Saturday, 25 December 2010 10:51

Recently, the national women's soccer team, Twiga Stars, qualified for the Africa Nations Championship finals in South Africa. That was a great step forward towards developing the women soccer in Tanzania.

My regards to the technical bench, led by my compatriots Charles Boniface Mkwasa and Adolf Rishard, the legendary attacking and defending midfielders, respectively and the entire management of the team and definitely, the players who kept sweating during the qualifying matches and in the actual competitions.

If someone looks at the composition of the players and their clubs of origin, will vividly find out that the bulk of the players were from Dar es Salaam. Teams such as Mburahati Queens and the likes, not forgetting players from the National Service, provided the majority of the players.

However, TFF did little to build up the team from the grassroots level. A lot of praise should go to the Kinondoni Football Association, and especially so to KIFAs secretary general, Frank Mchaki.
I will not be doing justice for the individual women soccer teams owners like Dr. Tamba whose has made a tremendous contribution. A number of coaches at these local women football teams have also made a lot of efforts to bring up the players, Bravo to you all.

I totally believe that if the selection pool was big enough, by giving the two coaches an opportunity to scout talents in the regions, they could have made it better. I understand that there are individuals in different parts of the country who in one way or another have women's football teams, but they get discouraged when TFF doesn't pay attention to such individuals and players all along.

I know there are women's soccer teams in Mwanza, Iringa, Mbeya, Morogoro and many other places, but have lost hope. If the coaches were to be given a chance of visiting these teams and actually carrying out supportive coaching clinics, the management of the teams and the players could raise their morale.

By so doing, it will help other places to have women's soccer teams. The outcome of this approach will be that women's club or regional women's soccer team competitions will start to be seriously taking place.

The coaches should also be given a chance of visiting the zonal and national primary (Umitashumta) and secondary (Umiseta) competitions. By making a close follow up at these levels, they will be able to have a good catch of all potential players.
Since we have zonal football coaches recognised by both TAFCA and TFF, they can be supported to make a follow up on the zonal competitions and then submit names of possible national team players who will be further screened during the national competitions (for those who may have been called in their respective combined teams).

If this is properly done and the proposed training programme is adhered to, we can make women's soccer successful. Concrete and workable plans proposed by our local coaches should be honoured by TFF as they are honouring programmes presented to them by the foreign coaches.

I had a chance to discuss with one respected Eritrean football federation official while I was on a working visit in Cairo in September, 2010 (not a football working visit), he was surprised by the good football standard shown by Twiga stars and was convinced that we must be having a very tough women's league!.

Since Cecafa has decided to hold the women's national football teams competitions, let us start now and do it right for the good of women's soccer.

Dr Msolla is the former Premier League and national soccer team coach
 
lete habari za maana. Nchi haina umeme wewe unaleta habari za dr cheni hapa. we vipi? Are you real great thinker? i dought.
 
lete habari za maana. Nchi haina umeme wewe unaleta habari za dr cheni hapa. we vipi? Are you real great thinker? i dought.

Are you sick?

Soma kichwa cha habari cha uzi huu....................Michezo magazetini leo.....mimi situngi habari la nawakilisha habari..........
 



index_r3_c2.gif
spacer.gif
Imewekwa:: 2010-12-11 11:36:00 Mansu-Li huyooo sokoni
5438.jpg
mansu-li Minael Msuya
MSANII wa Hip Hop nchini Mansoor Mohamed a.k.a Mansu-li, anatarajia kuachia albamu yake mpya ijulikanayo kama Kina Kirefu.

Mansu-li, ambaye alijinyakulia umaarufu katika tasnia ya Muziki baada ya kutoa traki yake ya Kina Kirefu Mwaka 2006, hivi sasa anatarajia kuachia albamu hiyo mpya yenye nyimbo 16.

Katika mahojiano na gazeti hili Mansu-li alisema ameamua kutoa albamu hiyo kutokana na mashabiki wake kukubali kazi zake na kuwa wamekuwa wakimsumbua kuhusu albamu.

�Kwa kweli mashabiki wangu wamekuwa kama kichocheo kikubwa cha mimi kukamilisha albamu hii, wamekuwa wakiniambia tunataka kuona albamu yako, mbona kimya onyesha makali yako tuyaone mtaani,�alisema.

Alisema albamu hiyo ya kinakirefu imebeba ujumbe wenye ladha tofauti nakuwa washabiki wake wategemee kupata vitu vizuri vinavyofundisha maisha na kuburudisha.

Akitaja baadhi ya nyimbo ziliko katika albamu yake hiyo Mansu-li anasema, �kuna Kina kirefu, Sura ya mchezo, Shangilia, Shabiki wa ukweli, Mengi yanatokea, Hivi ndivyo, Unanikubali, Nini hasa, Tuko pamoja nya nyinginezo.

Washabiki wangu wategemee kuona albamu yenye ujumbe tofauti kwa sababu nimerekodi nyimbo katika studio tofauti ili niweze kupata ladha na mdundo tofauti na kuwavutia zaidi washabiki wangu�alisema.

Akielezea changamoto, Mansu-li anasema katika karne ya sasa kuna wimbi kubwa la wasanii wanaoiibukia wakiwa na vipaji vizuri na ujuzi mkubwa wa kufikiri hivyo kutaka wasanii wazoefu kufikiri zaidi kabla ya kufanya jambo.
 



index_r3_c2.gif
spacer.gif
Imewekwa:: 2010-12-11 11:19:00 Dogo Janja: Ikibidi kwenda klabu nitaenda�..
5437.jpg
dogo janja Na Sophia Said

Watu wengi wanajiuliza kuwa Dogo Janja ana miaka 14 je akiwa na Show za usiku club inakuwaje? Na kawaida hairuhusiwi mtu mwenye umri chini ya miaka 18 kwa kuwa bado atahitaji uangalizi wa wazazi.

� Unajua mpaka sasa sijafanya show ya usiku hata moja ila naamini kuwa itawezekana tu kwani hiki ni kipaji na upande mwengine ni kazi, alisema Dogo huyo�

Anaitwa Abudalazizi Chende a.k.a Dogo Janja msanii mwenye umri mdogo na mwenye kipaji kikubwa cha kuimba, anayekuja kwa kasi ya ajabu katika fani ya muziki chini ya wakali wa Tip Top Connection.

Dogo Janja aliweka hayo bayana kwa kusema kuwa tayari ameshatoa singo moja ya 'Anajua' aliyemshirikisha Tunda na Madee ambayo kwa sasa inapigwa katika vituo vya redio hapa nchini.


Dogo Janja alianza kuimba akiwa darasa la tatu baada ya mwalimu wa somo la Stadi za Kazi kuwaambia kila mtu abuni kitu ambacho atafanya akatunga wimbo wa Ukimwi ambao uliweza kumshangaza mwalimu na wanafunzi wenzake hvyo wote kutambua kipaji cha dogo.

Msanii huyo alishiriki katika mashindano ya TAU yaliofanyika mwaka 2007 mjini Arusha akiwa darasa la tano na alibahatika kuwa mshindi wa kwanza na akiwa ndiye mwenye umri mdogo katika mashindano hayo, na kupata zawadi ya kurekodi wimbo mmoja 'Sijafikia' ingawa haikuweza kutamba sana.


Msanii huyo yuko mbioni kuifanyia video ngoma hiyo tayari kwa kuirusha hewani. Dogo anatarajia kutoa wimbo mwingine mpya 'Tulia' hivi karibuni akiwa amemshirikisha mkali wa rhymes, Joh Makini.
 
Temeke embark on preparation for boxing event Thursday, 30 December 2010 11:01

By Majuto Omary
Dar es Salaam. Nine amateur boxers have won selection to the Temeke Combine team ahead of the National Boxing Championship scheduled to take place here early next year.

Temeke Amateur Boxing Association chairman Said Omari told reporters yesterday that the body picked the pugilists after taking their recent performance into consideration.

Omari, popularly known as Gogopoa, named the boxers as:
Seif Ramadhan (60kg), Thomas Benson (56Kg), Mohamed Mnolokela (52Kg) and Salum Mrwanda (56Kg).

The list also includes; Rashid Mohamed (60) and Joseph Timothy (49), Chuki Mohamed (64), Ismail Isack (56), Davis Corner (52) and George Constantine (52).

Gogopoa said the boxers will go into camp early next month to shape up for the forthcoming national championship.

"We've very brilliant boxers and we want them to win many categories in the championship that's why we're starting early preparations," he said.

Even as they plan to send the team to the camp, they have yet to raise enough money to foot camp expenses.

However, Gogopoa said self-assuredly that they would secure the cash for preparations after tendering sponsorship requests to various companies.

"We have a limited budget to keep our players in the camp, but we want them to train together, so we've requested several companies to support us.

"They have not responded yet, but I'm confident they will not let us down. We also ask other boxing stakeholders to offer their support," he said.

 
Japanese grabs WBA title to set new record
Tuesday, 28 December 2010 22:29

Tokyo.Koki Kameda beat Venezuela's Alexander Munoz on Sunday to win the WBA bantamweight title and become the first Japanese boxer to win world titles in three weight divisions.

"My dad told me, 'Bantamweight's impossible.' But I've won, so what do you think now, dad?" Kameda shouted after his victory.
The bout at Saitama Super Arena was one in which Kameda showed he had become independent from his father Shiro, who has been banned from corner duties for life. It also highlighted his position as the central pillar of the three Kameda boxing brothers.

When Kameda failed to defend his flyweight title in March this year, his father, whose license as a second had been suspended, unleashed a verbal tirade in protest against the decision. Afterwards, the Japan boxing commission revoked his license and the Kameda Boxing Gym ceased all operations for about a month.

In spite of the setbacks Kameda pulled the gym along. He served as a second in September when his 21-year-old younger brother fought to defend his title for the first time, and in September he took over as president of Kameda Promotion (the company that manages the boxing brothers) from his father.

"I think there are various things I can do," he said. For the latest fight, he came up with promotional initiatives, preparing 500-yen seats in a bid to spark interest in boxing.

To take part in Sunday's world title bout, Kameda decided to move up two weight categories, despite the risks involved. Looking back, his father commented, "I was anxious about it. I've never been that angry before." But Kameda went ahead with the move.

"You never know when chance will arrive," the 24-year-old boxer said. "This is both a goal and a new start.
"The second chapter of Koki Kameda begins here.(AFP)

"Williams started the game 5 of 5, including 3 of 3 on 3-pointers. He had 16 points by halftime, his only miss coming on a last-second driving layup that rolled off the rim.
 
Imewekwa:: 2010-12-11 10:46:00 Machenje: Nafuata nyayo za Mpoto
5435.jpg
machenje Nora Damian
Said Machenje (29) ni kati ya wasanii wachache wa kugani mashairi ambaye umaarufu wake ulianza kuonekana wakati walipoanza kipindi cha Fataki kinachorushwa na kituo cha televisheni cha TBC1.

Machenje ambaye amebahatika kupata nafasi ya kushiriki mashindano ya dunia ya kugani mashairi mwaka huu yajulikanayo kama �World Slam Poetry Championship 2010� nchini Ufaransa na kushirikisha nchi mbalimbali.

Tanzania ilishiriki kwa mara ya kwanza mashindano hayo mwaka 2007 ambapo msanii Mrisho Mpoto alifanikiwa kushika nafasi ya tatu na kupewa kibali cha kuandaa mashindano kama hayo hapa nchini.

Machenje alipata fursa ya kushiriki mashindano hayo ya dunia baada ya kuibuka mshindi katika mashindano yajulikanayo kama �Dar Slam Poetry Festival Championship� yaliyoandaliwa na Mpoto.
Msanii huyo aliibuka mshindi na kupata tuzo kati ya vijana 100 walioshiriki na kupata fursa ya kushiriki mashindano ya dunia.

Mashindano hayo ya dunia yanashirikisha nchi mbalimbali ambapo kila mshiriki ataghani mashairi kwa kutoa mada tatu ambapo atatumia lugha ya taifa lake.

Anasema sanaa hiyo inakabiliwa na changamoto nyingi zikiwemo kutopewa kipaumbele kama zilivyo sanaa nyingine na hivyo kuwaweka katika wakati mgumu wasanii wa fani hiyo.

�Sanaa yetu iko chini watu wengi hawana moyo wa kuisapoti, wengi hawaamini kama sanaa hii inaweza ikapeleka ujumbe ndio maana hata safari yangu nimefadhiliwa na mataifa ya nje,�anasema.

Msanii huyo ameitaka serikali kutilia mkazo sanaa hiyo ya ushairi ili kuwapa moyo wasanii husika.
Mwisho.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom