Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Spanish basketball firm to conduct talent search in Dar es Salaam

By NELLY MTEMA, 3rd January 2011 @ 11:00, Total Comments: 0, Hits: 83

AT LEAST 30 young basketball players are set to undergo special clinics aimed at searching talents. The clinic will be conducted by Spanish based U-1ST Sports Expansion later this month.

Tanzania Basketball Federation (TBF) Secretary General, Alexander Msoffe told the ‘Daily News' on Monday that the clinics will be conducted in Dar es Salaam and Arusha.

Msoffe said 25 youth of Under-16 will take part in each session in Arusha and Dar es Salaam, whereas those who will meet the qualification marks will secure the deal to be trained in various academies worldwide.

He said youth with a height of 6 foot, 3 inches are encouraged to show up for the clinics on January 25 and 26 at the Soweto grounds in Arusha and 28 and 29 January at the Don Bosco grounds in Dar es Salaam.

Msoffe said those who will succeed will be trained in various academies run by U-1ST Sports Expansion in various parts on the world. The search will be conducted by three coaches to be led by Anicet Lavodrama, who has been conducting such clinics for many years.

Msoffe said those who made it in previous searches are in various academies in Kenya, Uganda and last year they endorsed Rajab Rashid for Italy for a similar mission.

Last year's session was conducted through the International School of Tanganyika programme, and Msofe said they inherited the programme when they were elected in office.

He said that they aim at improving the standards and basketball and the mission can only be achieved if they invest heavily in youth programmes. He was optimistic that with a number of youth development programmes, the country will have a good number of talented players who can win honour for the nation in various competitions.
 
Stars kikaangoni mwa Mafarao leo Tuesday, 04 January 2011 20:49

kocha wa timu ya taifa ya Tanzania,Jan Poulsen.

Clara Alphonce
TIMU ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars inashuka dimbani leo usiku mjini Cairo kucheza na wenyeji Misri katika ufunguzi wa michuano maalumu ya Bonde la Mto Nile inayoshirikisha mataifa saba.

Michuano hiyo ambayo inafanyika kwa mara ya kwanza imeandaliwa na Chama cha Soka nchini Misri (EFA), na inashirikisha nchi saba ambazo ni Kenya, Tanzania, Uganda, Sudan, Burundi, DR Congo na Misri.

Mchezo wa leo utakuwa wa pili kwa Stars kukutana na Mafarao katika siku za hivi karibuni baada ya ule wa kirafiki Novemba 2009 uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa mjini Cairo na Stars kufungwa mabao 5-1.

Bao pekee la Stars wakati ule lilifungwa na mshambuliaji wake Kigi Makassi ambaye kwa sasa hayumo katika kikosi hicho.

Timu hiyo ambayo iliondoka nchini juzi itaongezewa nguvu na wachezaji Athuman Machuppa na Rashid Gumbo ambao walibaki nchini kwa sababu ya matatizo kwenye pasi za kusafiria.

Lakini, Stars itakuwa na kibarua kigumu kuwakabili wapinzani wao kwani bado wanaingia uwanjani wakiwa na kumbukumbu ya kufungwa mabao mengi na Misri.

Kocha msaidizi wa timu hiyo Sylvestre Marsh ambaye amekuwa akikinoa kikosi hicho nchini kutokana na kocha Mkuu wa Stars, Jan Poulsen kuwa mapumzikoni Denmark alisema kuwa mashindano hayo ni muhimu kwao kwani ndio kipimo kizuri cha kuhakikisha wanajiandaa vyema kwa ajili ya michuano ya kufuzu kushiriki fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2012.

'' Tunayachukulia mashindano haya kwa umuhimu mkubwa kwani yatatupa mazoezi kwa ajili ya kushiriki fainali za Afrika na imani wachezaji wakitoka huku watakuwa fiti kwani timu tunazokutana nazo ni za kiwango kikubwa barani Afrika,'' alisema.

''Vile vile, mashindano hayo yatawasaidia hata wachezaji wa Simba na Yanga ingawa viongozi wao walitaka kuwatoa katika timu hiyo, nina imani wakirudi watakuwa fiti kwani wanakutana na wachezaji wengi wazoefu ambao watawapa mazoezi makubwa ambayo yatawasaidia katika klabu zao,'' alisema Marsh.

Nahodha wa timu hiyo, Shadrack Nsajigwa alisema kuwa watayatumia mashindano hayo kujijengea jina na heshima na kuweka historia kubwa ambayo hawajawahi kuiweka.

Alisema historia waliyoanza nayo ya kuchukua ubingwa wa michuano ya Kombe la Chalenji ndiyo watakayoiendeleza katika michuano hiyo na michuano na mingine yote ijayo kwani uwezo wanao.

Alisema Misri, mabingwa wa Afrika ni timu kubwa, lakini hawapaswi kuiogopa kwani katika mpira lolote linaweza kutokea na wao wanajiamini kuwa wana uwezo mkubwa wa kuweza kufanya maajabu.

Mashindano hayo ya Bonde la Mto Nile yameelezwa na wenyeji kuwa ni kuwawezesha wananchi wa nchi hizo kutambua umuhimu wa kutunza maji ya Mto Nile kwa ajili ya vizazi vijavyo.

Katika michuano hiyo, Misri, Tanzania, Uganda na Burundi zimepangwa Kundi A, wakati katika Kundi B linaundwa na Sudan, Kenya na DR Congo.

Timu mbili zitakazoshika nafasi za juu katika kila kundi zitacheza hatua ya nusu fainali, ambapo timu ya kwanza katika Kundi A itacheza na mshindi wa pili wa Kundi B, wakati mshindi wa kwanza katika Kundi B atacheza na mshindi wa pili wa Kundi A.

Timu zitakazoshika nafasi ya tatu katika kila kundi zitacheza mchezo wa kuwania nafasi ya tano, huku mechi ya nusu fainali inatarajiwa kuchezwa Januari 14 na fainali Januari 17.

Wakati huohuo, Doris Maliyaga anaripoti kuwa wachezaji wawili wa Stars, Athuman Machuppa na Rashid Gumbo wanaondoka leo nchini kwenda Misri kuungana na wenzao ambao waliwasili tangu juzi tayari kwa michuano ya Mto Nile.

Wawili hao walishindwa kusafiri na wenzao kutokana na pasipoti zao kuwa na matatizo.

Habari za ndani zilizoifikia Mwananchi jana zilieleza kuwa tayari kila kitu cha wachezaji hao kimefanyiwa marekebisho na wataondoka leo kuungana na wenzao.

''Gumbo ameshindwa kuondoka kwa sababu pasipoti yake ilikuwa haijabadilishwa jina la awali la Henry Joseph ambapo ndiyo lilikuwemo katika orodha hiyo na tayari imefanyiwa marekebisho,''kilisema chanzo chetu cha habari.

Kwa upande wa Machuppa alisema: ''Pasipoti yake kwa upande wa jina ilionekana kuwa na matatizo na sasa limesharekebishwa tayari kwa kuungana na wenzake Misri.''

Stars iliondoka bila wachezaji watatu ambao ni Abdi Kassim aliyepata timu ya kulipwa huko Vietnam pamoja na hao wawili watakaoungana na wenzao leo.
 
Minziro ajitoa Ruvu mbioni kurejea Yanga
Tuesday, 04 January 2011 20:44

Sweetbert Lukonge na Sosthenes Nyoni

WAKATI kiungo Athuman Idd akijipa miezi miwili kubakia Yanga, kocha wa Ruvu Shooting, Fred Felix Minziro amejiuzulu kuinoa klabu hiyo inayomilikiwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) na habari za uhakika zinasema atarejea klabuni hapo kuwa msaidizi wa Kostadin Papic.

Hatua hiyo imekuja wiki chache kabla ya kuanza kwa mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara , Januari 22, lakini kwa sasa ameamua kurejea mahali alikokulia na kupata mafanikio makubwa.

Minziro, beki wa zamani wa Yanga inaelezwa kuwa amejiondoa Ruvu Shooting kwa madai ya kukosa uhuru wa kuamua na kufanya maamuzi katika baadhi ya masuala yanayohusu klabu hiyo.

Habari za uhakika kutoka ndani ya klabu hiyo zinasema kuwa Minziro ambaye alijiunga na timu hiyo mwanzoni mwa msimu huu akichukua nafasi ya Joseph Kanakamfumu, amefikia hatua hiyo kutokana na kutoridhishwa na baadhi ya mambo klabuni hapo.

"Timu yetu imekwenda visiwani (Zanzibar ) bila ya kuwa na kocha wake (Minziro), pengine hata sasa tunavyozungumza huenda akawa amebwaga manyanga kufuatia kuwepo kwa taarifa za kutoelewana na baadhi ya viongozi," kilisema chanzo cha habari .

Chanzo hicho kiliendelea kusema kuwa habari za uhakika zaidi juu ya suaala hilo zitapatika kesho baada ya uongozi wa timu hiyo kukutana na kujadili suala hilo.

Lakini, Minziro alipoulizwa jana juu ya taarifa hizo alisema kuwa kwa sasa hayupo tayari kulizungumzia suala hilo mpaka kesho.

"Huyo aliyekuambia ulipaswa kumuuliza vizuri ili akuambie kila kitu, lakini kwa upande wangu kwa sasa sipo tayari kulizungumzia suala hilo mpaka kesho kutwa (kesho) ambapo nitakuwa tayari kufanya hivyo," alisema Minziro.

Wakati huohuo, Athuman Iddi 'Chuji' alisema juzi kuwa hataongeza mkataba wa kuichezea klabu hiyo baada ya kumalizika mkataba wake miezi miwili ijayo.

Akizungumza juzi jijini Dar es Salaam na kituo cha televisheni cha Clouds TV kupitia kipindi chake cha Sport bar, Chuji alisema kuwa amefikia uamuzi wa kutoongeza mkataba wa kuichezea klabu hiyo baada ya kuchoshwa na maneno ya uongo ambayo baadhi ya viongozi wa Yanga wamekuwa wakiyapeleka kwa kocha wake, Kostadin Papic.

"Kwa kweli niseme wazi kwamba sina raha Papic alipokuja tu hakuwa na tatizo, isipokuwa kuna baadhi ya viongozi(hakuwataja) ndio wamekuwa wanapeleka maneno ya uongo kwake kwamba mimi sina nidhamu.

"Watu hao hao ndio waliokuwa wanapinga ujio wangu Yanga wakati natokea Simba, hali hii imesababisha Papic hataki kabisa hata kuniona.

"Ninachosubiri sasa ni mkataba wangu uishe baada ya miezi miwili halafu baada ya hapo sitaongeza tena mwingine bali nitatafuta timu nyingine kama ni hapa nyumbani au nje na maisha yataendelea,"alisema Chuji.

Chuji, pia alitumia nafasi hiyo kuelezea tukio la kukorofishana na Papic wakati wa mazoezi ya timu hiyo kwenye Uwanja wa Uhuru hivi karibuni akisema alishangaa kocha huyo kususia wakati kitendo hicho hicho cha kutoka nje alichokifanya yeye alikifanya Shadrack Nsajigwa siku moja kabla ya tukio hilo.

"Unajua tatizo Papic ameshapandikizwa vitu ambavyo hata iweje anaona Chuji ni mtovu wa nidhamu, hebu fikiria siku ile mazoezini alisusa kuendelea baada ya mimi kutoka nje, lakini siku moja kabla Nsajigwa alifanya kitu hicho hicho, lakini hakuchukua uamuzi wowote.

Alipotafutwa na Mwananchi Papic alikanusha madai ya Chuji kwamba amekuwa akipelekewa maneno ya uongo na baadhi ya viongozi wa klabu hiyo na kusisitiza kwamba kutokuwepo kwa kiungo huyo katika kikosi chake kwa sasa kunatokana na kuwa majeruhi.


 
UDHAMINI SIMBA SC😀ewji asaka maoni ya wadau Tuesday, 04 January 2011 20:43

Vicky Kimaro

MBUNGE wa Singida Mjini Mohammed Dewji ameanza kusaka maoni kupitia mtandao wa facebook ili kujiridhisha kabla ya kumwaga wino wa kuidhamini tena Simba.

Dewji maarufu 'Mo' ambaye wiki moja iliyopita alielezwa na gazeti hili kuwa amekubali kurejea Simba kwa miaka miwili ameweka nia yake ya kuidhamini tena klabu hiyo kwa miaka miwili kwa mkataba maalumu.

Lakini, ameeleza kuwa iwapo klabu hiyo itafanya vizuri kwenye michuano yake ya klabu bingwa na Ligi Kuu Tanzania Bara, basi ataongeza mkataba huo.

Awali, katika mtandao wa facebook, Mo alisema, "Nafikiria kuidhamini tena Simba, nahuzunishwa sana kuona klabu hii haifanyi vizuri kwenye mashindano, nakumbuka mara ya mwisho nilipokuwa mdhamini wake nilihakikisha kuwa naifunga Zamalek ya Misri nam Simba ilifanikiwa kuwa miongoni mwa timu 10 bora Afrika,"alisema Mo.

Aliwaomba mashabiki na watu wengi kujitokeza na kumshauri juu ya dhamira yake hiyo ya kutaka kuidhamini tena Simba.

Akitoa maoni yake mdau wa michezo, Norbert Brown alisema, "Tanzania inahitaji watu kama wewe, Simba inakuhitaji, tunataka kuitoa TP Mazembe kwenye mashindano na pia kuwa tena bora.

Naye Jabir Mfinanga alisema, "Ndio Mo pamoja na Rage kuna tatizo, tunahitaji kuifunga Mazembe."

Akizungumzia suala hilo, mwenyekiti wa Simba, Ismail Aden Rage alisema, "Hili suala lipo kwenye mchakato bado halijakamilika, sawa sawa tungependa Mo arudi na tutamkaribisha kwa mikono miwili na kiukweli tunamuhusudu sana."

Mo, aliwahi kuiambia Mwananchi kuwa ana mpango wa kuidhamini tena klabu hiyo ambayo aliitosa miaka michache iliyopita kutokana na mwenendo mbovu wa timu ikiwa ni pamoja na uongozi na kuamua kuinunua Mbagala Market iliyopanda daraja na kuibadili jina na kuitwa Africa Lyon.

Hata hivyo, Mo aliiacha Africa Lyon msimu huu baada ya kudai kuwa alikuwa amepata hasara kubwa tofauti na alivyotarajia na kuamua kuiuza kwa mmiliki wa kampuni ya mafuta ya RBP Oil, Rahma Al Kharoos, ambaye pia ni mlezi wa timu ya taifa ya soka ya wanawake,Twiga Stars.
 
Simba kutumia mbinu za APR kuivaa Mazembe
Tuesday, 04 January 2011 20:42

Sosthenes Nyoni

MWENYEKITI wa klabu ya Simba, Ismail Aden Rage amesema kikosi chake kitatumia mbinu za timu ya APR ya Rwanda kuifunga TP Mazembe ya DR Congo endapo watapata nafasi ya kucheza na mabingwa hao wa Afrika.

Katika michuano hiyo Simba imepangwa kuanza kampeni yake kwa kuikabili Elan de Mitsoudje ya Comoro na endapo itaiondosha itakumbana na TP Mazembe.

Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Rage alisema kuwa historia inaonyesha kuwa APR ndiyo timu pekee ambayo imekuwa ikiisumbua sana TP Mazembe, hivyo watatumia mbinu zao kuikabili.

"Sina wasi wasi najua TP Mazembe pamoja na umaarufu wao pia wana wababe wao ambao ni APR.

"Historia inaonyesha kuwa hawa jamaa huwa wanawaweza sana, hivyo nasi tutatumia mbinu zao kuwafunga endapo tutakutana nao,"alisema Rage.

Alisema kuwa ili kufanikisha azma yao watahakikisha wanacheza mechi ya kirafiki na APR baadaye mwaka huu ikiwa ni kwa kuifuata timu hiyo ya Rwanda ama kuileta nchini.

"Tupo katika mikakati ya kuhakikisha tunaifuata APR kwao au kuileta hapa nchi kwaajili ya kucheza nayo mechi ya kirafiki nafikiri itatusaidia sana,"alisema Rage.

Kwa mwaka 2010 pekee, rekodi zinaonyesha ARP na TP Mazembe zilikutana mara tatu ikiwa ni mara mbili katika michuano ya klabu bingwa Afrika na mara moja katika michuano ya kombe la Kagame huku APR akishinda mara mbili kati ya tatu.

 
Majina ya kigeni marufuku filamu za Kiswahili Tuesday, 04 January 2011 20:41

Vicky Kimaro

BODI ya Ukaguzi wa Filamu imepiga marufuku filamu za Kiswahili kutumia majina ya Kingereza kwenye filamu zae kama ambavyo imekidhiri.

Onyo hilo limetolewa na Katibu Mkuu wa Bodi ya Filamu nchini, Joyce Fisso wakati akiongea na wasambazaji wa filamu hizo katika ukumbi wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam hivi karibuni

"Kisheria si ruhusa kutumia majina ya lugha ya Kiingereza au lugha nyingine tofauti na ile ya Kiswahili ambayo ndiyo lugha ya taifa, kama kuna mtayarishaji ambaye ataona kuna umuhimu wa kutumia lugha nyingine tofauti na lugha yetu ya Taifa, anatakiwa kuandika jina hilo kwa herufi ndogo kwenye mabano,"alisema Fisso.

Alisema watayarishaji wengi pamoja na wasanii wamekuwa hawajui kuhusu taratibu hizo ambazo zipo kisheria kwa sababu hiyo filamu nyingi zimekuwa zikitolewa kiholela bila kukaguliwa na bodi yake kuanzia utayarishaji wa awali, ukaguzi wa mswada pamoja na bajeti kwani baada ya kukamilisha hayo bodi hutoa kibali kwa ajili ya utengenezaji wa filamu.

"Majukumu ya bodi yapo wazi ni wajibu kila mtayarishaji awajibike kufuata taratibu za bodi Bodi ya Ukaguzi wa Filamu na Michezo ya Kuigiza mwaka huu mpya ni lazima tuhakiksihe filamu na michezo ya kuigiza inawajibika na kuwiana na mila, desturi na maadili mema ya Tanzania.

Pia, na kuhakikisha upangaji wa madaraja ya maonyesho ya filamu na michezo ya kuigiza unalingana na mabadiliko ya maadili mema ya jamii ya Watanzania.

"Tutahakikisha pia usanii na uhuru wa ubunifu wa sanaa hauzuiliwi bila sababu za msingi, na inakuwa kwa viwango vinavyostahili vya usanii ikiwa ni pamoja na kudhibiti maonyesho na usambazaji wa filamu za michezo ya kuigiza kiholela," alisema .
 
Ronaldo afunga mawili Real amkimbia Messi
Tuesday, 04 January 2011 20:40

BARCELONA, Hispania
WINGA Cristiano Ronaldo amefunga mabao mawili na kuiwezesha Real Madrid kushinda kwa mabao 3-2 dhidi ya jirani zao Getafe katika mchezo wa Ligi Kuu ya Hispania.

Idadi hiyo ya mabao imemfikisha Ronaldo kileleni akiwa nayo 19 msimu huu baada ya mechi 17 na kumwacha mpinzani wake, Lionel Messi wa Barcelona mwenye mabao 17.

Ushindi huo umeiacha Real chini yaJose Mourinho ikiwa nyuma ya Barca kwa tofauti ya pointi mbili.

Katika mchezo huo baina ya wapinzani wa jiji la Madrid, Real waliongoza kwa mabao 2-0 hadi mapumziko kupitia kwao, Ronaldo na Mesut Oezil, lakini Daniel Parejo aliipa Getafe bao moja.

Ronaldo aliongeza jingine kwa Real Madrid mwanzo wa kipindi cha tatu na kuonyesha kuwa mchezo huo ulikuwa umekamilika kwa timu yake.

Kiungo Kaka alichezeshwa kwa mara ya kwanza tangu mwezi Agosti alipofanyiwa upasuaji baada ya fainali za Kombe la Dunia.

Hata hivyo, Madrid walijikuta wakipunguzwa kasi kwa kutolewa Alvaro Arbeloa kwa kadi nyekundu, kitendo ambacho kiliizindua Getafe na kupachika bao la pili kupitia kwake Jorge Angel Albin, dakika ya 84.

Lakini, Real walishikilia hapo na kumaliza mchezo kwa matokeo hayo ambayo yametibua rekodi ya ushindi ya Getafe ya mechi nne za ligi.

Mourinho alieleza baada ya mchezo huo kuwa hakufurahishwa na mchezo wa vinana wake.

"Sikupenda jinsi timu yangu ilivyocheza," alisema Mourinho. "Kwa kawaida Real imekuwa ni imara, lakini si katika mchezo wa jana. Timu yangu inatakiwa kujilinda vizuri zaidi, hiki ndicho kinachoitambulisha timu."


Kwa muda mwingi wa mchezo Getafe walijaribu kuwazuia Real, lakini mashambulizi ya Ronaldo, Oezil, Angel Di Maria na Karim Benzema yaliwasambaratisha.

Ronaldo, pia alifunga mabao mawili katika mechi dhidi ya Getafe kwenye Uwanja wa Alfonso Perez na alikaribia kufanya hivyo baada ya kufunga la awali kwa timu yake mwanzo wa mchezo kwa penalti, dakika ya 11.

Winga Di Maria alizawadiwa mkwaju huo baada ya kuzuiwa kwa mkono na beki Jose Manuel "Mane" Jimenez.

Dakika nane baadaye , Di Maria alimtengenezea chumba safi Oezil akiwa katikati ya walinzi wa Getafe na kiungo huyo Mjerumani alitumia pasi hiyo kumtungua kipa Jordi Codina.

Wakiwa chini kwa mabao mawili, Getafe walicharuka, wakamiliki mpira na kuitesa ngome ya Madrid. Waliweza kujibu kwa bao la dakika ya 29 la Parejo likitokana na juhudi binafsi.
Kiungo huyo wa zamani wa Madrid aliwachana mabeki wawili kabla ya kutumbukiza mpira wavuni.

Uhai huo wa Getafe haukuwazuia Madrid ambao walionekana kuwa hatari zaidi katika mashambulizi wakimtumia Benzema ambaye alikuwa akimpa pasi murua Ronaldo, aliyekaribia kufunga bao dakika tano baadaye.

Kasi ya Real haikupungua kipindi cha pili na katika dakika ya 57, Oezil alinasa mpira na kumpa pasi Benzema ambaye alimsogezea Ronaldo ambaye alifunga bao lake la 27 msimu huu kutokana na mechi 25 alizocheza.

Kaka, ambaye alicheza kwa dakika 15 za mwisho, alisema alikuwa mwenye furaha kwa kuweza kurudi uwanjani na kuonyesha kuwa ameanza kupata nafuu.

"Kwa sasa hofu yangu imeisha, nilidhani sitaweza kucheza tena mpira, sasa ninaweza kuendelea na mpango wangu wa kupona," alieleza kiungo huyo wa Brazil.

Zikiwa zimebaki dakika nane, Arbeloa alitolewa kwa kadi ya pili ya njano baada ya kudaka mpira na Albin, ambaye alikuwa ameingia uwanjani kipindi cha pili alitumia makosa kwenye safu ya ulinzi na kuipa Getafe bao la pili, hata hivyo halikutosha kuwapa pointi.

Mapema , Villarreal iliilaza Almeria 2-0 kwenye mchezo mwingine wa ligi na kuzidi kushika nafasi ya tatu.

Beki wao (Villarreal) Jose Manuel Catala alifunga bao la dakika ya 22 kwa kichwa kutokana na mpira wa adhabu ndogo wa Bruno Valero, ambaye alifunga la pili kwa Villarreal, dakika ya 58.

Kocha Juan Carlos Garrido aliisifu ngome yake ambayo imeiwezesha Villarreal kupata ushindi wa nane kwenye mechi tisa zilizopita kwenye Uwanja wa El Madrigal . Villarreal wameizidi Valencia kwa pointi tano.

Matokeo mengine , Mallorca3-0 Hercules, Atletico Madrid 0-0 Racing Santander na Zaragoza2-1 Real Sociedad .

Kwa matokeo hayo, Mallorca imekaribia kukata tiketi ya kucheza michuano ya Ulaya msimu ujao huku kikiwa kipigo cha kwanza kwa Hercules kwa wiki tatu zilizopita.

Jumapili, Barcelona iliilaza Levante 2-1, Valencia iliifunga Espanyol 2-1. Deportivo La Coruna ikaiadhiri Athletic Bilbao 2-1, Sevilla ikaishinda Osasuna 1-0 na Malaga ilipata ushindi wa 2-1 dhidi ya Sporting Gijon.


 
Boateng: Katu hatuiogopi Arsenal Tuesday, 04 January 2011 20:39

LONDON, Uingereza
HUKU timu zao zikicheza leo kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England, beki wa Man City, Jerome Boateng amesema hawaiogopi Arsenal.

Man City ambayo inashika nafasi ya pili nyuma ya Man United ambao jana walikuwa wakicheza na Stoke City, wana rekodi mbaya dhidi ya klabu hiyo ya Kaskazini mwa London na katika mchezo wa mwisho walifungwa 3-0 .

Boateng ameeleza kuwa wanaingia Emirates leo wakijiamini baada ya ushindi kwenye mechi zao zote za msimu wa sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya na kuifikia Man United, zote zikiwa na pointi 41. Arsenal ni ya tatu kwa pointi 39.

Kumbukumbu zinaonyesha kuwa Man City haikuwahi kutwaa pointi zote dhidi ya Arsenal tangu msimu wa 1975, lakini ushndi wa leo unaweza kuonyesha dhamira yao ya kuibuka na taji msimu huu, ikiwa ni mara ya kwanza tangu 1968.

"Mimi si muumini wa historia au rekodi na vitu kama hivyo, ninasubiri mchezo wa leo ,' alisema beki huyo raia wa Ujerumani mwenye asili ya Ghana.

" Kwetu, Man City hatuhashinda dhidi ya Arsenal kwa muda mrefu, hiki si kitu cha kutupa unyonge, tunaweza kushinda Jumatano usiku."

Msimu huu Man City walianza vyema mchezo dhidi ya Arsenal, lakini kadi nyekundu dhidi ya beki wao Dedryck Boyata ambaye hajachezeshwa tena tangu wakati ule ilionekana kuwamaliza.

"Kwa sasa, tunawakabili tukiwa kamili, wakiwa 11 kama sisi," alisema Boateng.

Kocha msaidizi wa Man City, Brian Kidd, ambaye alizichezea timu zote mbili alisema: ‘Inaonekana kama upuuzi kuona hatujashinda dhidi yao tangu miaka ya 1970, lakini tutamaliza uteja huo leo.

"Walitufunga katika mchezo wa awali, sawa nasi tucheze nao kwa lengo la kuwashinda, siwezi kubadili kikosi chetu kwa hofu ya kucheza nao. Simuogopi yeyote au timu yoyote katika ligi."

Lakini, katika mchezo huo wa leo usiku,, Man City inaweza kumkosa mshambuliaji wake, Mario Balotelli na winga David Silva, ambao wamekuwa katika kiwango cha juu ambao kwa sasa wanasumbuliwa na maumivu ya goti.

Naye winga Adam Johnson ambaye aliipa ushindi Man City Jumamosi wa bao 1-0 alieleza kuwa wamejiandaa kumaliza historia mbaya ya miaka 35 dhandi ya Arsenal .

Johnson, 23, ana uhakika wa kushinda leo na kuendelea kuitia shinikizo Man United.

Alisema kiwango chao msimu huu kimekuwa kizuri , wana nafasi kubwa ya kuzipiku United na Chelsea msimu huu.

Winga huyo wa England alisema : "Kuna mechi nyingi zimebaki dhidi ya timu kubwa ugenini . Lakini, ninasema kuwa tunatakiwa kuwa imara mwaka huu."

"Ni mchezo mgumu kuikabili Arsenal, lakini tunakwenda huko tukijiamini."

Arsenal kwa upande wao, wanaikabili Man City wakiwa na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Birmingham City Jumamosi.


 
Manchester United 2-1 Stoke: The Daily Mirror match report

Published 21:52 04/01/11 By David McDonnell



Air Alex Ferguson may take umbrage at the widely-held belief that this season's title race is Manchester United's to lose.
But after this comfortable win, despite Stoke's shock equaliser just after half-time, that is situation, with United firmly in control of their quest for a record-breaking 19th title success.
Stoke showed the rest are catching up to the Prem's best, but United still look odds on for title
They may not have hit top gear this season, but there is an ominous look about Fergie's side, who put daylight between themselves and second-placed Manchester City with this win.


Three points clear of City with a game in hand and nine points clear of faltering champions Chelsea, Fergie and his players can afford a self-satisfied smirk at the way the title race has panned out.
And with City taking on fellow title contenders Arsenal tonight, United may well find themselves in an even more commanding position once this evening's fixtures are completed.
United have now claimed 31 points from a possible 33 at home this season and remain unbeaten in 20 Premier League games, 25 including their run at the back-end of the last campaign.
Javier Hernandez and Nani were United's match-winners last night, the former scoring the opener and then turning provider for the latter to bag the second, both revelling in the absence of Wayne Rooney.
And how Hernandez flourishes in Rooney's absence. When Rooney was on holiday in Dubai in late October, escaping the fall-out from his contract dispute, Hernandez scored twice at Stoke to give United a vital win in the context of the title race.
And last night, with Rooney nursing an injured ankle and watching from an Old Trafford hospitality box, Hernandez struck again, an impudent back-heeled goal putting United ahead, before setting up Nani for the winner.
With Chelsea imploding spectacularly, and doubts over Arsenal, City and Tottenham's ability to last the distance, United are in control of their own destiny as far as the title is concerned, their depth of their squad giving them a crucial edge over their rivals, one which was emphasised with this win.
Fergie made six changes from the team that triumphed 2-1 at West Brom on Saturday, with Rio Ferdinand rested and Rooney ruled out with an ankle injury, while a bout of flu kept Edwin van der Sar sidelined for the second game running.
Despite United missing three of their most important players, history was not on Stoke's side, having failed to take a point off Sir Alex Ferguson's side in their five previous Premier League meetings, while a victory over the Reds had eluded them since 1984.
Fergie had defended Stoke in the build-up to the game, criticising old adversary Arsene Wenger for griping about their robust and uncompromising style, and for almost half-an-hour Tony Pulis's side were deserving of such praise, resisting everything United threw at them.
But Stoke's resistance was broken in the 27th minute with a touch of magic from Chicharito. With Stoke retreating, Fletcher fed the ball to Berbatov, who in turn funnelled it out wide to Nani on the right.
Nani spotted Hernandez's run and produced the perfect delivery, United's diminutive Mexican forward getting ahead of Huth to flick the ball inside the near post with his instep for his ninth goal of the season.
For sheer audacity, it beat Hernandez's backward headed goal at Stoke earlier this season and should have proved the platform for United to turn their dominance of possession into a convincing winning margin.
But Stoke stunned Old Trafford by equalising five minutes after the break. Chris Smalling was dragged out of central defence, allowing Tuncay to send a looping cross into the United area.
With Nemanja Vidic marking Kenwyne Jones, no-one picked up Dean Whitehead, Patrice Evra caught in no-man's land.
And Whitehead took full advantage, dispatching a header beyond the reach of Tomasz Kuszczak for Stoke's first goal at Old Trafford for 30 years.
The goal stripped United of their earlier swagger but Nani and Hernandez came to their team's rescue, combining to restore their lead in the 61st minute.
Nani threaded the ball through to Hernandez, who returned the favour. And with Stoke's defenders standing off him, Nani picked his spot before curling a sublime left-foot shot past Asmir Begovic.





 
Wenger: I'll never try to buy the title

Published 23:00 04/01/11 By Darren Lewis




Arsene Wenger insists he could never manage a club like Manchester City as the Eastlands side prepare to welcome £30million Edin Dzeko.
City have spent over £1.4billion in their pursuit of the title over the past three years. But Wenger, famed for his dogged refusal to splash the cash, says he will always stick to his principles.
The Arsenal boss, *understood to have been approached by City to become their boss before Mark Hughes three years ago, said: "When I signed in England, this question did not exist. Every club was run within its resources. The Chelsea, the Manchester City, are new *problems in football.
"I run Arsenal like I feel it needs to be run. I got asked that question a few times. It is a new problem that looks like it will be sorted out, but they don't steal the money, they have it."

Wenger was speaking ahead of Arsenal's *blockbuster clash against Man City.
Victory will see the Gunners leapfrog the Citizens in the table, with a game in hand.
But Wenger refused to comment on the irony that he is aiming to topple the club that tried to poach him in 2008.
"That is certainly not a thing that I want to speak about the day before the game," he said. "I think I never came out with who wanted to sign me, and I will never tell you because it's disrespectful to the people who are in charge. But, that's why."
Wenger did, however, liken City to blackjack high rollers with their big-money move for Dzeko.
The 24-year-old Bosnian has hit 66 goals in 111 games for German side Wolfsburg, but has been described as "a risk" by Spurs boss Harry Redknapp.
Wenger said: "You look at the number of players who cost £20m and who do not even get on the bench at City, so £27m is not a risk. It is a risk for me, not for them.
"The risk is linked – if you have £100 in your pocket and you put £90 on a blackjack table you take a risk. If you have £5million in your pocket and put £90 on a blackjack table it is not a risk.
"I see Dzeko a little bit like a Berbatov type. He is a super player. He is at the very top, when he is at his game."



 
Ancelotti feels pressure after defeat


RivalsDM



PRINT
RSS




Updated Jan 5, 2011 8:23 PM ET
Chelsea boss Carlo Ancelotti admitted he felt "under pressure" after his team slid to a 1-0 defeat at Wolves.


But the former AC Milan coach believes he remains secure in his post with the Blues, who stand nine points behind Barclays Premier League leaders Manchester United, having also played a game more.
"Obviously I am under pressure," he said on BBC Radio Five Live.
Ancelotti clarified: "My position is solid at this moment. I'm under pressure because the team didn't reach the result we wanted."
His team have taken just 10 points from their last 11 matches, to fall from top spot in the table down to fifth place.
Tottenham's defeat at Everton at least kept Chelsea just a point off fourth place.
"I think the right way is to work hard," said Ancelotti, as he considered a way to improve the team's fortunes.
"We are working hard, at this moment it is not enough."
 
Jinamizi la wimbo kugoma laitesa TFF Wednesday, 05 January 2011 20:31

Rais wa TFF, Leodegar Tenga

Calvin Kiwia
SHIRIKISHO la soka nchini Tanzania, TFF limeunda kamati ya watu watano kuchunguza tukio la kushindwa kupiga wimbo wa taifa kwenye mchezo kati ya Taifa Stars dhidi ya Morocco, Oktoba 9 mwaka jana uliofanyika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Rais wa TFF, Leodegar Tenga aliwaambia wanahabari kwenye ofisi za Shirikisho hilo jana jijini Dar es Salaam kuwa licha ya kuomba radhi kwa rais Jakaya Kikwete, wageni waalikwa kutoka Morocco na maelfu ya watazamaji kwa hali iliyojitokeza hawana budi kutoa adhabu kali kwa wahusika na kuhakikisha hali hiyo haijitokezi tena.

"Hatuwezi kulifumbia macho hata kidogo suala hili la aibu kwa nchi yetu, lazima tulifuatilie kwa kina zaidi na kuwabaini wahusika wa tukio lile," alisema Tenga.

"Tunawaomba wahusika wote na wadau wa soka nchini kutoa ushirikiano unaostahili kwa wanakamati ili kubaini ukweli kuhusiana na aibu iliyojitokeza na kupendekeza hatua za kuchukua ili tukio kama hili lisitokee tena kwenye medani yetu ya soka," alisisitiza.

Alisema kuwa kamati hiyo ameipa muda wa wiki tatu kukamilisha jukumu hilo na inatarajiwa kutoa taarifa za uchunguzi huo ifikapoJanuari 31 mwaka huu.

Kamati hiyo inaundwa na mwanasheria mkuu wa zamani wa Zanzibar na makamu mwenyekiti wa kamati ya uchaguzi ya TFF, Hamidu Mbwezeleni ambaye ni mwenyekiti wa kamati hiyo.

Wajumbe ni Yussuf Nzowa, afisa wa Ikulu na mjumbe wa kamati ya nidhamu TFF, Ahmed Msangi mkuu wa upelezi kanda maalum ya Polisi ya Dar es Salaam, Gasper Mwembezi mkurugenzi wa sera na mipango wizara ya habari, utamaduni na michezo na Zena Chande mhariri wa michezo gazeti la Habari Leo.

Mambo ambayo kamati hiyo itayafuatilia ni pamoja na kupokea taarifa kwa kamati maalum ya uwanja wa taifa juu ya jukumu la kuhakikisha nyimbo za taifa zinapigwa bila ya dosari yoyote.

Kuchunguza utekelezaji wa jukumu hilo kwa mujibu wa maelezo ya kamati maalum ya uwanja wa taifa, kuwahoji wote waliohusika na kupata maelezo, kubaini wahusika waliosababisha kutopigwa kwa nyimbo hizo kwa wakati.

Baada ya kutokea kwa tukio hilo la aibu mbele ya rais Kikwete na balozi wa Morocco, shiriksho la soka nchini TFF lilimsimamisha aliyekuwa afisa habari wake Florian Kaijage kwa kushindwa kutoa maelezo ya kueleweka na kusimamishwa kwa muda usiofahamika.

Kufuatia tukio hilo TFF ilichukua hatua za dhati kabisa kuhakikisha hali hiyo hatokei tena na kuanzisha utaratibu wa kuweka bendi za Jeshi ama Polisi kwa ajili ya kupiga nyimbo za taifa.

Katika hatua nyingine TFF kupitia Kamati yake ya Nidhamu imefuta adhabu aliyokuwa akitumikia kipa wa Simba Juma Kaseja pamoja na kumuomba msamaha kwa tukio hilo.

Mwenyekiti wa kamati ya nidhamu TFF, Alfred Tibaigana aliwaambia wanahabari jana kwenye ofisi za shirikisho hilo kuwa kamati hiyo ilipitia rufaa hiyo na kusikiliza pande zote mbili na kubaini kuwa kitendo hicho hakukifanya kwa makusudi hivyo kamati yake imeamua kutengua kifungo hicho na wamemwachia huru.

"Kaseja alimtuma wakili wake akidai kuwa hakufanya kwa makusudi bali alijisikia kiu na alivyokwenda kuchukua maji kwenye benchi la timu yake akakuta wachezaji wake ndiyo wanamalizia kuwapa mikono waamuzi wa mchezo huo," alisema Tibaigana.

Alisema kuwa shirikisho hilo linawataka radhi Kaseja na klabu yake ya Simba kwani tayari alishaanza kutumikia kifungo hicho kwa kukosa mchezo wao dhidi ya Majimaji ya Songea.
 
Uchaguzi wa ZFA kurudiwa
Wednesday, 05 January 2011 20:29

Sosthenes Nyoni
UCHAGUZI mkuu wa Chama cha soka Zanzibar(ZFA) uliofanyika Desemba 31,2010 huenda ukarudiwa baada ya kamati iliyokuwa na jukumu la kuusimamia kukiri kutopokea cheti cha kidato cha nne cha mshindi wa kiti cha Urais, Ally Tamim Ferej.

Hatua hiyo inatokana na mmoja wa wagombea wa kiti hicho aliyeshindwa katika uchaguzi huo Mohamed Suleiman Jabir kukata rufaa akipinga ushindi huo kwa madai mpinzani wake hakuwasilisha cheti cha kidato cha nne.

Msemaji wa ZFA, Maulid Hamad Maulid alisema jana kuwa kamati ya uchaguzi huo iliyokuwa chini ya Ally Suleiman 'Shihata' ilikiri kutopokea cheti cha kidato cha nne cha mgombea licha ya kwamba ilimpitisha wakati wa usajili na kudai kwamba ilifanya hivyo baada ya Ferej kusema kwa maneno kuwa anacho.

Alisema kuwa baada ya mlalamikaji kuwasilisha rufani kamati hiyo ilifanya uchunguzi na kugundua mgombea huyo aliidanganya kamati kwamba anacho wakati hana.

"Unajua tatizo lilikuja baada ya kamati kumuengua Ally Dai ambaye pia alikuwa anagombea nafasi ya urais kwa kigezo hicho tena mapema kabla ya uchaguzi sasa hatujui ilikuaje hadi ikampitisha Ferej.

"Kwa ujumla sheria namba 82, kifungu kidogo D cha uchaguzi wa ZFA kinataka mgombea awe amemaliza kidato cha nne, sasa utaona ni ukiukwaji wa dhahiri wa kanuni, sasa hapa utaona kuna uwezekano mkubwa uchaguzi kurudiwa,"alisema Maulid.

Alisema kuwa kamati hiyo itakutana leo na pande zote mbili akiwemo mlalamikaji na mlalamikiwa kwa ajili ya kujiridhisha na kutoa umamuzi wa kama uchaguzi urudiwe ama usirudiwe.

Wakati huo huo; Habari nyingine za ndani zilizolifikia Mwananchi jana kutoka kwa watu wa karibu wa Ferej zilisema kuwa mshindi huyo anakusudia kujiuz
 
AFC yatinga nusu fainali Kombe la Uhai Wednesday, 05 January 2011 20:27

Salome Millinga na Neema Kimaro
PAMOJA kuandamwa na misukosuko mingi kwenye kambi yake, timu ya vijana ya AFC imefanikiwa kukata tiketi ya kucheza nusu fainali ya Kombe la Uhai kwa kuichapa African Lyon kwa bao 2-0 katika mashindano ya vijana ya U-20 yanayofanyika kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar-es-Salaam.

Vijana hao wa AFC waliandika bao lao la kwanza kupitia mshambuliaji wake Joseph Msafiri dakika ya 52, kabla ya Leo Mpeka kufunga bao la pili dakika ya 57 na kujihakikishia kutinga nusu fainali.

Katika mchezo huo, Lyon ilipata pigo baada ya mchezaji wake Hamisi Thabiti kupewa kadi nyekundu katika mchezo huo.

Akizungumzia mchezo huo kocha Arusha Fc, Rashidi Chama alisema mashindano ni mazuri na vipaji vya vijana wangu vinazidi kukua kila siku.

''Nadhani TFF itakuwa makini katika kuangalia mapungufu haya madogo madogo yaliyojitokeza awali wakati huu wa kuingia kwenye nusu fainali,''alisema Chama.

Naye kocha wa African Lyon Ramadhan Aluko alisema kutolewa kwa mchezaji wake kulichangia matokeo hayo, huku akiwasifu waamuzi kuwa walicheza kwa haki na wakuwa na upendeleo wowote.

Kipa wa AFC, Emmanuel Makungu alisema mchezo ulikuwa mzuri wachezaji wote walijituma na kufanikiwa kupata ushindi huo uliowafikisha nusu fainali na sasa wanamuomba Mungu wachukue Kombe hili.

Leo michuano hiyo inaendelea kwa mechi mbili za robo fainali zitakazoikutanisha Simba dhidi ya JKT Ruvu, huku Mtibwa Sugar ikichuana na Polisi Dodoma jioni kwenye uwanja huo.
 
Yanga, Azam hapatoshi Wednesday, 05 January 2011 20:28

Jackson Odoyo, Zanzibar
MACHO na masikio ya Watanzania yatahamia kwenye Uwanja wa Amaan wakati Azam itapokuwa ikipepetana na Yanga katika mchezo wa mwisho wa Kundi A wa mashindano ya Kombe la Mapinduzi.

Yanga itashuka Amaan majira ya saa 2:30 Usiku wakiwa na kumbukumbu ya kufanya vibaya katika mechi mbili za awali hivyo sare ya aina yoyote haiwezi kuwasaidia leo.

Baada ya kutoka sare na timu ya Chuoni iliyopanda daraja msimu huu pamoja na mabingwa wa Zanzibar Ocean View, vijana hao wa Jangwani wamekusanya pointi mbili tu hadi sasa.

Azam wanaongoza kundi hilo kwa pointi nne na magoli matano baada ya kuifunga Chuoni 3-0 na kutoka sare ya 2-2 na Zanzibar Ocean View inashuka dimbani ikiwa na malengo ya kupata japo sare katika mechi dhidi ya Yanga ili kukata tiketi ya kucheza robo fainali ya michuano hiyo.

Kocha wa Yanga, Kostadin Papic alisema tangu awali hakuwa na lengo la kusaka ubingwa kwenye michuano hiyo bali kuipatia timu yake nafasi ya kucheza mechi nyingi za kujipima nguvu na kuweka heshima ya kutofungwa katika mashindano hayo.

"Kwanza sikuja hapa kutafuta ubingwa wala sina malengo hayo, pili kukosekana kwa wachezaji wangu tegemeo katika kikosi cha kwanza ni tatizo, lakini katika mechi ya mwisho tutajitahidi kuweka heshima ya kutofungwa katika mashindano haya," alisema Papic.

Naye kocha wa Azam, Stewart Hall alisema, "mechi yetu na Yanga itakuwa ngumu kwa sababu ni timu inayocheza mpira wa chini sawa na Azam ukilinganisha na timu za Zanzibar zinazocheza zaidi mipira ya juu."

 
Yanga yatumia mbinu chafu
Wednesday, 05 January 2011 20:26

Clara Alphonce
YANGA iliwazidi ujanja wachezaji wake waliowatema kwa kuwapa mikataba ambayo haikuwakilishwa katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

Hivi karibuni klabu hiyo iliwaacha wachezaji wake wanne katika kikosi chao kwa madai kuwa hawataweza kuwatumia katika timu yao kutokana na kushuka kwa kiwango.

Wachezaji ambao waliachwa na walikuwa wanaidai Yanga ni Ally Msingwa ambaye hivi katibuni Kamati ya Sheria na Hadhi za wachezaji iliwataka Yanga kumlipa Shilingi 7.2 milioni baada ya kumaini kuwa walimuacha kimakosa na walikuwa na mkataba wake ambao ni halali na TFF, uliwasilishwa.

Lakini wachezaji wengine ambao waliacha na mikataba yao haipo TFF, ni baina yao na Yanga ni Steven Marashi, John Njoroge na Wisdom Ndlovu.

Hivi karibuni wachezaji hao baada ya kuachwa waliwashitaki katika kamati ya Sheria na Hadhi za Wachezaji klabu ya Yanga wakitaka walipwe haki yao, lakini hata hivyo wachezaji hao hawatapata haki yao kwa kuwa TFF, hawaitambui mikataba yao iliyopo imepitwa na wakati.

Hakisibitisha hilo Katibu Mkuu wa Yanga, Laurance Mwalusako alisema kuwa ni kweli mikataba waliokuwa nao wachezaji hao haikuiwakilishwa TFF.

Alisema pamoja na hayo yote, lakini wao kama Yanga walikaa chini na kuthamini mchango wao wachezaji hao ndipo walipopeleka maombi ya kuomba fedha za kwenda Afrika Kusini kwa ajili ya majaribio waliwapa kila wachezaji hao milioni 1 kwa Marashi na milioni 2 kwa Ndlovu.

Alisema hatawashangaa wakiona kuwa bado wanaendelea kuidai Yanga wakati hawana mikataba na wachezaji hao na waliokuwa nayo haitambuliki na TFF.

Katika hatua nyingine kocha msaidizi wa Yanga, Felix Minziro leo alijiunga rasmi na timu hiyo ambayo iko visiwani Zanzibar katika michuano ya Mapinduzi.

Minziro alisema anaamini kuwa anaenda kufanya kazi na kocha mzuri Kostadin Papic ambaye wakiunganisha nguvu watafanya kazi vizuri na kuisaidia tim u hiyo

Alisema nia yake ni kuona timu hiyo inafanya vizuri hasa katika mashindano ya kimataifa ambayo yanga mwaka huu inacheza kombe la Shirikisho na waethiopia mchezo wa awali.
 
Man United yapaa, Fulham yajiokoa shimoni Wednesday, 05 January 2011 20:24

LONDON, Uingereza

USHINDI wa Manchester United wa mabao 2-1 dhidi ya Stoke City umeiweka kileleni kwa tofauti ya pointi tatu dhidi ya Man City ambao jana usiku walikuwa wageni wa Arsenal.

Lakini, timu nyingine ambayo imenufaika na matokeo ya juzi usiku ni Fulham ambayo baada ya kuilaza West Brom kwa mabao 3-0 imejiondoa katika hatari ya kushuka daraja na kushika nafasi ya 13.

Mabao ya Javier Hernandez na Nani , ambayo yalitokana na pasi baina yao yaliipa Man United ushindi na kuifikisha kwenye pointi 44.

Hernandez aliiandikia timu yake bao la dakika ya 27 kwa kisigino, ambalo ni la tisa kwa chipukizi huyo wa Mexico msimu huu.

Stoke walisawazisha kupitia kwake Dean Whitehead, dakika ya 50 likiwa bao la kwanza la Stoke kwenye Uwanja wa Old Trafford tangu mwaka 1980.

Dakika 12 baadaye, Hernandez au Chicharito alimtengenezea pasi Nani ambaye alifunga bao muhimu la ushindi kwa timu yake.

Kwa matokeo hayo, United , ambayo imecheza mechi 12 na kushinda nane kati ya hizo imejikusanyia pointi 44 na kufuatiwa na Man City, 41, ambayo usiku ilikuwa Emirates kuikabili Arsenal yenye pointi 39.

"Stoke ni timu ya vijana wengi wenye dhamira, si wepesi kwa yeyote, ni wagumu kucheza nao ," alisema kocha wa United, Alex Ferguson baada ya mchezo. "Ninamshukuru sana Nani kwa mchezo safi na bao la aina yake, nasi tulikuwa imara."

Kwenye mechi nyingine za juzi usiku, Birmingham na Fulham zilijiondoa katika hatari ya kushuka daraja kwa kupata ushindi.

Fulham iliilaza West Bromwich 3-0 kwa mabao ya Clint Dempsey na Brede Hangeland, ambao walifunga kwa kichwa kutokana na kona.


Bao la Dempsey, ambalo ni la kwanza tangu Novemba 27, lilikuwa la saba msimu huu.

Simon Davies alitangulia bao la kuongoza Fulham kipindi cha kwanza kwa mkwaju wa umbali mrefu wa mita 30 ambao ulipita katika mikono ya kipa Scott Carson.

Dempsey alifunga bao jingine la dakika ya 56 na beki Hangeland, ambaye ni raia wa Norway akaongeza jingine dakika ya 65. Mmarekani mwenzake, Eddie Johnson aliingizwa dimbani kuchukua nafasi ya Dempsey dakika ya 87.

Birmingham ilishinda kwa mabao 2-1 dhidi ya Blackpool baada ya Alexander Hleb kufunga dakika ya 24 la pili likifungwa na Scott Dann, dakika ya 89 huku D.J. Campbell akiifungia Blackpool, dakika ya 68.
 
Adebayor, Kolo Toure wazipiga mazoezini Wednesday, 05 January 2011 20:22

LONDON, Uingereza

UGOMVI mkubwa ulizuka juzi baina ya wachezaji wawili wa Manchester City, Emmanuel Adebayor na beki Kolo Toure.

Wachezaji hao wa zamani wa Arsenal walilazimika kuamuliwa na wenzao katika ugomvi huo ambao umetangulia mechi dhidi ya Arsenal iliyochezwa jana usiku.

Gazeti la SunSport limeeleza kuwa kumekuwapo na kutoelewana baina ya nyota hao wa Man City tangu mwezi Novemba baada ya Toure kumlaumu Adebayor.

Toure alisema hadharani kabla ya mechi dhidi ya Fulham kwamba baadhi ya wachezaji wa klabu hiyo wamejisahau kwa kiasi kikubwa.

Kutokana na kauli hiyol Adebayor aliamini kuwa Toure, nahodha wake wa zamani na ambaye alicheza naye Arsenal alikuwa akimzungumzia yeye na tangu wakati huo kumekuwa na mgogoro baina yao.

Juzi, mzozo huo ulitokea kuwa wa kweli baada ya wachezaji hao kushikana mashati kutokana na madai ya kuchezeana rafu, likiwamo tukio la Adebayor kumchezea rafu ya nyumaToure.

Kwa upande wake,Toure hakuficha hasira zake na kumkabili Adebayor kwa rafu na kumwangusha chini.

Wenzao walikimbilia eneo la tukio na kujaribu kuwazuia. wachezaji wanne walimshika Adebayor na kumvuta nyuma huku James Milner akimshika Toure.

Baada ya hapo, wachezaji hao, Kolo na Adebayor walikataa kupatana licha ya kutakiwa kufanya hivyo na kocha wao, Roberto Mancini.

Tukio hilo limewashangaza wengi na limekuja wakati mbaya ambayo Man City ilikuwa ikisubiri mchezo dhidi ya Arsenal ikifahamu kwamba haijawahi kushinda dhidi ya timu hiyo ugenini tangu Oktoba 1975.

Toure alijaribu kuliweka kando tukio hilo . Alisema : "Tulizozana kama sehemu ya mazoezi, mwenzangu alinichezea vibaya.

"Kwa bahati mbaya kila mmoja alikuwa mwenye hasira, lakini tulitulizwa . Wenzetu na kocha walifika kututenganisha.

"Tayari tukio hilo limewekwa kado na kusahaulika. kwa vyovyote vile, Adebayor si mara ya kwanza kuzozana naye, pia si mara ya mwisho.

"Tukiwa Arsenal mara kadhaa tulikuwa na matukio kama hayo . Tunafahamiana vizuri.

"Pengine, tuseme tuna nguvu, tunapimana ubavu . Hili lisitazamwe vingine ."

Adebayor aliachwa mjini Manchester wakati wenzake wakisafiri kwenda London huku kocha Mancini akisisitiza kwamba hajafanya lolote baya, ila ana maumivu madogo.

Tukio hilo linafuatia lile la mwezi jana baina ya Mario Balotelli na Jerome Boateng, ambao walilazimika kutenganishwa huku Carlos Tevez na Mancini wakiwa wamekosana mara kadhaa.

Mara zote, kocha Mancini amekuwa akieleza kuwa hayo ni matukio madogo mno, ingawa kujitokeza mara kwa mara ni jambo ambalo linatia majaribu kikosi chake.

 
Blackburn 3-1 Liverpool: Hodgson on the brink

Published 22:17 05/01/11 By David Anderson




Twelve years after he was brutally sacked here by Jack Walker, Roy Hodgson was last night staring into oblivion again at Ewood Park.
On that Saturday evening in November 1998, he was gone within an hour of the final whistle of a 2-0 home defeat to Southampton which sent his Blackburn side bottom, driven away in tears.
He will last a little longer this time, but not by much, with Reds owners Fenway Sports Group ready to wield the axe.
If Saturday's last-gasp win over Bolton was a reprieve for Hodgson, then he blew it big style here as Liverpool produced another pathetic showing to land him back in the condemned man's cell.


Hodgson refused to answer any questions about his future in a press conference, which lasted under two minutes and comprised just three questions.
"I'm not prepared to talk about that," he said curtly. "At this moment in time, I'm depressed enough with the performance and result. I'm not here to talk about that. I have no comment to make and I don't intend to answer any questions on the subject."
Kopites were not so reticent and they made clear that they think it is time for him to go by taunting him again with chants of "Dalglish" and "Hodgson for England".
Unlike last week, Hodgson wisely praised them for coming, rather than attack them for barracking him.
"The feelings I have are dejection, bitter disappointment and frustration," he said. "I feel very disappointed for the fans and I can only say to them that how they are feeling tonight, I feel equally as bad.
"Unfortunately, when you are Liverpool and you lose away to Blackburn, there's nothing that can be said that can put a positive slant on it or make the situation any brighter. This was a really, really bad day.
"Tonight's performance was anything other than the performance we wanted to give."
Just like against Wolves a week ago, Liverpool managed to pull off this defeat against all the odds and this was only their second league defeat to Rovers in 25 games.
Despite a rally when it was too late, they were totally inept as they conspired to hand Steve Kean a late Christmas present of a first win at Ewood to leave the delirious home fans chanting his name for the first time.
After a couple of let-offs from Mame Biram Diouf, the Senegalese striker made amends when he set up Martin Olsson to open the scoring on 32 minutes with a goal that will give Hodgson nightmares.
Diouf spotted Olsson's great run down the left channel and, with Glen Johnson totally out of position, the Swede planted the ball home first time with his left foot past Pepe Reina.
It got worse for Hodgson six minutes later when Benjani controlled Morten Gamst Pedersen's cross beautifully on his chest before turning Sotirios Kyrgiakos and smashing the ball into the roof of the net.
Hodgson stood on the edge of his technical area rubbing his chin as if that would somehow make everything better and the gleeful home fans chanted: "You're getting sacked in the morning."
Hodgson and Liverpool's humiliation was complete on 57 minutes when Olsson fed Junior Hoilett on the left and the winger beat Martin Skrtel and Johnson before pulling the ball back from the byline for Benjani to score his second from close range.
Steven Gerrard, on his 550th Reds appearance, netted nine minutes from time when he fired home after a Fernando Torres effort was blocked.
Finally Liverpool started to play, but their revival proved shortlived as Gerrard, of all people, blazed over from the penalty spot on 86 minutes after being felled by Michel Salgado to put the seal on a woeful night.
Kean sympathised with Hodgson's plight and was about the only man at Ewood last night prepared to say anything kind about the former Rovers boss.
"Roy is a great coach and a great manager, but we can only look after what we can do and that is to go out there and try and win the game and move up the league," he said.
"When you beat a team of the ilk of Liverpool with the great history and tradition they have, you have to take massive credit for that.
"Whatever Liverpool team you are up against and regardless of what is going on, you can only go out and beat that team."
Kean played down the significance of the result for himself, even though it was the first time the fans took to him.
"I don't think it's about me," he said. "What was important was that we showed a togetherness and that we are a tight group in that dressing room.
"We showed great team spirit and what we are about as a club and I'm really proud of the lads."
**
Blackburn: Bunn 6; Salgado 6, Nelsen 6, Samba 7, Givet 6; Hoilett 7, Pedersen 7, Dunn 6, Olsson 7; Mame Biram Diouf 6, Benjani 8. Subs not used: Fielding, El Hadji Diouf, Linganzi, Goulon, Hanley, Morris.
Liverpool: Reina 5; Johnson 4, Kyrgiakos 4 (Agger 51mins 5), Skrtel 4, Konchesky 5; Cole 5, Lucas 5, Gerrard 5, Rodriguez 5 (Kuyt 58mins 5); Ngog 5, Torres 5. Subs not used: Gulacsi, Jovanovic, Babel, Poulsen, Kelly.
Referee: Andre Marriner
HERO
Benjani: Rolled back the years with this display.
VILLAIN: Roy Hodgson: Just what has he done to Liverpool?
ANORAK: Martin Olsson's goal was his first league strike in 45 appearances for Rovers.

 
Thursday January 06, 2011 Sports
Papic livid after Yanga, Chuoni draw
YOUNG Africans' head coach, Kostadin Papic




From ISSA YUSSUF in Zanzibar, 5th January 2011 @ 12:00, Total Comments: 0, Hits: 153

YOUNG Africans' hopes for Mapinduzi Cup silverware hang in balance, after they were held to a disappointing 0-0 draw by Chuoni FC, following a wretched display at the Amani Stadium in Zanzibar on Tuesday night.

Yanga players looked jaded and lacked inspiration, with Chuoni FC working hard throughout the match, but lacking skills to score. It was a second consecutive draw for Yanga in the tournament.

In their opening match Yanga were held to a 1-1 draw by Zanzibar champions Ocean View on Sunday night. Zambian striker Davis Mwape, who joined Yanga during the small transfers window scored for his team.

Giving his comments to journalists after the match, Yanga's coach Kostadin Papic blamed his players for not sticking to his instructions. "The players are not doing what I tell them to do. This is putting us in a difficult situation in preparation for our future games," the Serbian said.

He added: "My players should follow what I tell them so that we can perform well." Visibly desperate Papic remained standing throughout the game, trying to communicate with his stubborn players, as fans cheered at the Chuoni FC players who were displaying impressive game. Chuoni FC was beaten by Azam 3-0 at the opening match last Sunday.

Asked about his future with Yanga, Papic who is increasingly becoming under pressure at the Jangwani Street, said he was still the coach although he was working without a contract.

"I am not aware of any changes, I am still the coach that is why am here. I am not even aware of having a new assistant coach," he said. Yanga are reportedly to have sought the services of Fred Felix Minziro as an assistant coach to Papic. Minziro replaced former international Salvatory Edward.

Prior to the Yanga versus Chuoni match, Azam FC played Zanzibar Ocean View on Tuesday afternoon with score board reading 2-2 at the final whistle.

Saidi Ramadhani Balilo and Hassan Seif Banda scored for Ocean View at the 16th and 63rd minutes respectively, before John Bocco and Jamal Mnyate equalized for Azam at 73rd and 77th minutes respectively in a closely contested match. However, most players and coaches are complaining on poor pitch at the recently refurbished Amani Stadium.

"It is like a rice farm, it is not fit for soccer," said one player.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…