Michezo magazetini leo...

Michezo magazetini leo...

Status
Not open for further replies.
Viongozi Yanga katika hili hamna hoja
ban.blank.jpg

Mwandishi wetu

amka2.gif
NI Jumatatu nyingine tunakutana katika safu yetu ya Uwanja wa Kuchonga, kama ada lengo likiwa ni kupeana changamoto za kimichezo. Bila shaka mu wazima wa afya na mmesherehekea Krismasi vema, ila kwa wale namna moja ama nyingine ambao hali zao si shwari tunawaombea nafuu.
Kamaada turejeshane kwa ufupi katika mada yetu iliyopita, ambayo ilikuwa ikisema ‘UMITASHUMTA Taifa mikoa 10? Katika mada hiyo tuliezea kushangazwa na kasi ambayo imekuwa ikihubiriwa na wakubwa ya kurejesha michezo shuleni.
Tulielezea kuwa, licha ya jambo hili kushikiwa bango na hata kupigiwa debe na mkuu wa nchi, Rais Jakaya Kikwete, lakini watendaji wenye dhamana husika huku chini wanasikitisha utadhani hiki ni kitu wanacholazimishwa.
Mfano hai tuliuchukua wa mashindano ya UMITASHUMTA ya taifa ambayo yalimazika hivi karibuni mjini Kibaha, lakini kichekesho licha ya kuitwa mashindano ya taifa lakini mikoa iliyoshiriki ni 10 tu, zaidi ya 2i iliyopo hapa nchini, kimsingi hata nusu tu haikufikia.
Sasa hapo tunajivunia nini, kweli kuibua vipaji kwa namna hiyo, sijuim kama tutafika, hivio hiyo mikoa zaidi 10 hakuna vipaji kweli, tuache porojo inagawaje sipendi kuita ‘Siasa' maana neno hilo naliheshimu sana ingawaje wahusika wenyewe hawalifanyii kazi ipasavyo hivyo kufanya maana yake halisi kwenda ndivyo sivyo.
Baada ya kupena dondoo hizo embu turejee katika mada ya leo. Takribani siku mbili tatu zilizopita lindi la habari ya kugoma kwa wachezaji wa timu kubwa na kongwe hapa nchini lilishamiri hatimaye juzi wachezaji hao hao waligoma rasmi.
Nadhani kitendo cha kipekee kwa klabu hiyo kutokea kwa wachezaji kugoma, ingawa sijui viongozi wa klabu hiyo wanalichukuliaje.
Vyovyote wanavyolichukulia suala hilo, lakini viongozo wa Yanga hawawezi kulikwepa maana ni pigo na limechafua sura nzuri ya klabu hiyo.
Viongozi makini katika hili, lazima wangechukua hatua stahili aidha kwa kujiuzulu ama hatua nyingine sahihi.
Inashangaza klabu hiyo ambayo ina sifa ya kuwa na mfadhili wa kweli ‘Yussuf Manji' ambaye kimsingi amekuwa akiweka uzito mkubwa katika masuala mbalimbali ya klabu Yanga.
Lakini katika kuonyesha Yanga ina udhaifu mkubwa na hata wanachama wanatakiwa kulifanyia kazi hili juu ya viongozi wao, kwa nini viongozi wao wameshindwa kuwajibika katika hili.
Wanachama wanapaswa kuwaweka kiti moto viongozi wao wanafanya nini hadi kushindwa kuwajibika ipasavyo katika hilio na kuitia aibu klabu yao. Sidhani kama kama wanachama wanafurahia hali hii, hapo ndipo pa wanachama kufanya uchunguzi wa kina nani aliyesababisha hali hii.
Kimsingi hapo viongozi wa Yanga hawawezi kulikwepa hili kwamba ni wazembe, kwani ni hivi karibuni tu iliibuliowa hoja ya mtendaji mkuu wa Yanga, Lawrence Mwalusako, kutoa maelezo juu ya sh milioni 100 zilizotolewa na mfadhili Manji kwa ajili ya usajili.
Katika maelezo yake, Mwalusako alieleza kuwa wametumia sh milioni 20 kwa wachezaji wawili hivyo kubaki milioni takriban 80, hivyo leo ni kitu cha kushangaza wachezaji kudai milioni 75 za mishahara yao na fedha za usajili.
Hivi kwa nini hapo viongozi wasiwajibike katika hili, fedha zipo lakini kumbe wanadaiwa masula ya msingi na wachezaji kama hili lililosababisha kugoma. Wana Yanga chukueni hatua la sivyo ni ndoto kwa soka yetu kufika mbali. Kila la heri tukutane wiki ijayo.
 
SALEH ABDALLAH: Kinda Mtibwa B mwenye malengo ya soka la kulipwa
ban.blank.jpg

Chalila Kibuda

amka2.gif
KABLA ya kufikia mafanikio, mara nyingi hutokea mikingamo ambayo wakati mwingine hufanikisha maendeleo husika baada ya kukwepa vikwazo kadhaa. Katika nyanja ya michezo hasa soka kuna timu nyingi lakini vijana wanashindwa kufanikiwa katika mpangilio wa maendeleo kutokana na kutokujituma na kuendelea kuchezea timu za mchangani ambazo zinazidi kushuka madaraja kila mwaka.
Sababu itakayofanikisha mchezaji kuonekana kuwa chachu katika timu ni kutokana na kujituma na kuonyesha nidhamu kwa makocha ambao ndio wanaojenga mchezaji kuonekana bora.
Hayo ni moja ya mazungumzo kati ya mchezaji wa timu ya B, Mtibwa Sugar ya Manungu Turiani, Salehe Abdallah (19) katika mahojiano na mwandishi wa makala hii, Abdallah anasema ndoto yake ni kucheza soka la kulipwa kutokana na kiwango chake kuongezeka kila mwaka kutokana michujo mbalimbali ya timu hiyo.
Anasema soka linazidi kupendeka kwa vijana kwa kujitokeza kujifunza ambako baadaye wanaibuka kuwa wachezaji bora ila kinachowarudisha nyuma ni kutokuzingatia matakwa ya kocha yakiwemo malengo yake ambayo ndio mwanga bora wa kuwa mchezaji bora.
Abdallah anasema amejipanga siku zijazo kucheza soka la kulipwa ili atimize ndoto yake aliyokuwa nayo toka shule ya msingi alipokuwa akijituma katika mashindano ya soka na kuonekana nyota katika shule aliyokuwa akisoma.
Anasema kazi yake kubwa ni kujituma akiwa uwanjani kwani fursa ya watazamaji kuangalia kiwango chake ambao ndio msaada wa kushawishi timu husika kuweza kumchukua.
Anaongeza kwa kueleza kwamba soka ni sehemu ya ajira yake hivyo kazi yake kupambana kuhakikisha anacheza soka kwa kujituma ili kutimiza malengo yake ya maisha kwa soka kuwa sehemu ya ukombozi wake.
"Mimi ni mchezaji ambaye sibahatishi kutokana na umri wangu, nikipata kucheza soka la kulipwa nitajituma zaidi na nitawaridhisha wenye timu ambao lengo lao ni kupata mafanikio kwa wale ambao wamewasajili soka la kulipwa," alisema Abdallah.
Anasema kuwa suala la nidhamu kwake ni mojawapo ya sehemu ya desturi kutokana na makocha wake walivyoweza kumfunza unyenyekevu wa kumuandaa ili kuwa mchezaji bora ambaye anakubaliana na mazingira ya makocha.
"Sitaweza kuiangusha timu ambayo itakubali kunilipa nitahakikisha kile wanachohitaji kwangu wanafanikiwa kwa kuijengea timu yao heshima hata kwa kuweza kupanda daraja kwa kushawishi wenzangu kujituma katika mashindano mbalimbali," alisema Abdallah.
Anasema kuwa katika historia katika klabu ambazo ameweza kupita hana tatizo lolote ambako imemuweka katika mfumo bora wa soka ya ndani na nje kwa kuwa ndio njia yake ya kufikia mafanikio.
Anaongeza kwa kueleza kuwa soka ni sehemu ya ajira kwake; ataweza mfano kwa wachezaji wenzake kwa kuongoza nidhamu na kuwaridhisha wadhamini ambao wamefanya jitihada za kumfikisha alipo ambapo itazaa mafanikio makubwa katika uchumi binafsi na taifa.
Abdallah anaahidi kutimiza ndoto yake ya kucheza soka la kulipwa ambayo itatimia katika kuonyesha kiwango toka alipoanza kucheza katika klabu mbalimbali.
Jina: Salehe Abdallah.
Umri: Miaka 19.
Klabu alizowahi kucheza: Nyota Mwambao 1999 Black Sailer 2005 zote Zanzibar, VIKO Pharm 2009.
Klabu ya sasa: Mtibwa B
 
h.sep7.gif
master.gif

Hatuwezi kushinda bila maandalizi
ban.blank.jpg

Kenny Mwaisabula

amka2.gif
KARIBUNI tena wapenzi wasomaji wa gazeti letu la Tanzania Daima, hongereni kwa kusheherekea sikukuu ya Krismasi kwa amani na utulivu na sasa tunaelekea kuukaribisha Mwaka Mpya wa 2011. Ni matumaini yangu, upo uwezekano wa kusogea hatua moja mbele katika michezo, hususan soka, baada ya uongozi mpya kushika hatamu, yaani Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Angetile Osiah, na Ofisa Habari, Boniface Wambura, ambaye awali alikuwa ni Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA) ambaye kitaaluma ni kocha pia.
Kwani ni watu waliobobea sana katika soka, ni matumaini yangu kuwa watashirikiana vizuri na Rais wa TFF Leodegar Tenga pamoja na mkurugenzi wa ufundi Sunday Kayuni, ambaye pia ni mwenyekiti wa makocha nchini TAFCA bila kuisahau kamati nzima ya utendaji.
Marehemu baba yangu, mzee Ande Mwaisabula Mungu amlaze mahali pema huko aliko, alinambia mazoea hujenga tabia na kama kuna kitu unataka ufanikiwe, ni lazima ufanye bidii sana na akaniambia tena, yeye wakati anasoma alikuwa anaweka miguu yake katika ndoo yenye maji nyakati za usiku ili asipate usingizi kwa ajili ya kusoma na kweli alifaulu na matokeo yake ndiyo haya matunda tunayokula leo.
Tuna nyumba nzuri, gari la kutembelea na tuna uhakika wa kubadilisha mboga, yote hayo ni matunda ya kusoma kwa bidii.
Katika suala linalohusu michezo na hususan soka, hamwezi kufanikiwa bila ya kuwa na mipango endelevu na ya muda mrefu na si ile ya zimamoto kama tulivyozoea na hasa kwa nchi zetu za Kiafrika.
Hivi karibuni, TFF ilimteua kocha mwenye makeke mengi nchini, Jamhuri Kiwelu ‘Julio', kuwa kocha mkuu wa timu ya taifa ya vijana chini ya miaka 17. Binafsi nilifurahi sana Kiwelu kupewa nafasi hiyo na hasa kwa kuzingatia kuwa namfahamu uwezo wake mkubwa katika masuala ya ufundishaji na uhamasishaji, ninaamini Julio aliyetoka katika familia ya soka na nduguze kuanzia Marehemu Musa Kiwelu au Super Marehemu Muhehe na Mwesa bila kuwasahau Mavanga na Dally Kimoko Mwanamtwa, anaweza na ana mbinu nyingi za ufundishaji.
Nyuma ya pazia, sikujua kuwa Julio anapewa timu siku tatu kabla ya kwenda nchini Rwanda katika mashindano yaliyoandaliwa na Baraza la Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), nadhani sikujua kutokana na muda mwingi kuwa safarini nje ya Dar es Salaam.
Ingawa naamini Jamhuri Kiwelu alijua jukumu alilopewa siku tatu kabla ya mashindano, kwa mtaalamu yeyote lazima ajue anajiandaa kwenda kushindwa na si vinginevyo, upo uwezekano mkubwa Julio alipanda ndege na wachezaji wake wengine, ambao hata majina akiwa hawajui vizuri na mbaya zaidi, nadhani timu iliondoka bila kucheza hata mchezo mmoja tu wa majaribio mbali ya mazoezi yasiyozidi siku tatu.
Hivyo basi, mbali na kutumia fedha za walalahoi katika hiyo safari, huku tukijua tunakwenda kushindwa tu kutokana na kutokuwa na maandalizi yoyote, si jambo zuri hata kidogo.
Naamini hata Julio, naye alikuwa analijua hilo, ndiyo maana hakuwa na makeke sana wakati wa kuondoka, ingawa aliporudi alituambia kuwa anajipanga vizuri kutafuta wachezaji sehemu mbalimbali hadi Mbagala.
Katika hilo, niko upande wake, lakini je upo utaratibu uliowekwa, au tunasubiri iwe zimamoto kama ilivyokuwa katika michezo hiyo iliyofanyika Rwanda. Kama hivyo ndivyo, tusitegemee mafanikio.
Tanzanialeo, zikiwa zimebakia siku tisa kabla ya michuano mipya kabisa ya bonde la mto Nile (Nile Basin Football Championship), ambayo yanayotegemewa kuanza Januari 5, hatujaanza mazoezi na wala kocha hajatua nchini kwa kazi ya kukiandaa kikosi hicho.
Sijui tunategemea nini, nadhani ni matokeo mabovu ndiyo tunayoyategemea na sababu nyingi tu, lakini ukweli unabaki palepale kuwa baada ya maandalizi hafifu tusitegemee kufanya vizuri bila kuwa na maandalizi ya muda mrefu na ya kisayansi zaidi.
Kama Watanzania michuano hiyo ya Nile ingekuwa ndiyo mahali pekee pa kufungua ukurasa mpya, kuwa mabingwa wa kwanza wa mashindano hayo mbele ya miamba hiyo ya Misri, Sudan, Uganda na Kenya, lakini kama tutakuwa hatuna maandalizi na mipango ya kutosha, tusitegemee miujiza.
Matatizo ya kutokujipanga vizuri, yaani kutokuwa na utaratibu mzuri, nadhani mbali ya kuwa ni makubwa mno Tanzania, nadhani ni nchi nyingi za Kiafrika zina matatizo ya aina hiyo hiyo na mbaya zaidi zinajiamini kuwa, zina wachezaji wenye vipaji, kumbe soka si vipaji tu bali ni pamoja na maandalizi ya mchezo wenyewe.
Wenzetu walioendelea katika soka, kabla ya kuingia katika mashindano yoyote yale ni lazima wayaangalie mambo yote yale ya msingi katika ufundi.
Kuanzia timu itakaa kambini siku ngapi; itacheza mechi ngapi; kocha atakuwa nani; watatumia vifaa gani; watalipwa posho kiasi gani; na mambo yote yanayohusu ufundi.
Na baada ya hapo, ndiyo maandalizi yanaanza na si vinginevyo.
Baada ya mashindano kuisha, wanakutana kwa matokeo ya aina yoyote ile, iwe washindi au wameshindwa, wanaangalia wapi wamekosea na kujipongeza kwa yale waliyofanikiwa na kupanga mikakati ijayo kwa ajili ya mashindano yajayo.
Hayo ndiyo wenzetu walioendelea wanatuonyesha, sisi tunashindwa kuyaiga, ni hatari kwelikweli; tunataka mafanikio ya haraka sana bila mipango madhubuti na ya muda mrefu.
Najua fika kuwa TFF inayo mipango ya muda mrefu na ya muda mfupi katika kukuza soka nchini, kama ipo kwenye makaratasi ni wakati wako sasa Angetile Osiah kutekeleza kwa vitendo, ni kweli Watanzania tuna kiu kubwa mno ya kupata mafanikio ya haraka, lakini ukweli unakuja pale pale, je tuna mipango?
Ni wakati sasa wadau wa mchezo huu tukaambiwa kabisa, jamani tunajipanga kushiriki na kutwaa Kombe la Mataifa ya Afrika 2016 na mkakati wetu ni huu hapa na vijana wetu ni hawa hapa na makocha wake ni hawa hapa, ndio soka linavyotakiwa duniani kote na si kama zimamoto ni lazima tujipange.
Makocha sasa mna kila sababu ya kuwa na vituo vya kulea watoto wadogo, ili kesho waje kuwa matunda mazuri kwa taifa letu.
Na kwa kuzingatia agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ya kutaka kuanzisha vitalu vya kujifunzia soka, huko ndiko soka linakoanzia na makocha ndio majukumu yenu hayo ya awali, msikimbilie tu kufundisha timu za Ligi Kuu.
Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuufunga mwaka 2010 kwa kuwa mabingwa wa Tusker Challenge Cup, ubingwa ambao tulikuwa tunautafuta kwa zaidi ya miaka 16.
Tukutane tena mwakani katika kona ya Mwaisabula



h.sep3.gif

Mwandishi wa makala hii ni mfanyakazi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari kitengo cha uhandisi Dar es Salaam, pia ni kocha mzoefu nchini anapatikana 0713243711 na Email kennymwaisabula@yahoo.com

juu
 
ZACHARY OUKO ZOLLA Msomi anayeipaisha Tanzania katika Wushu
ban.blank.jpg

Makuburi Ally

amka2.gif
MAPEMA mwezi uliopita, Tanzania iliwakilishwa na washiriki wawili katika kozi ya ukocha ya mchezo wa Wushu ambao una miaka miwili hapa nchini tangu kuasisiwa kwake. Pamoja na kutangazwa hivi karibuni, lakini Tanzania ilifanikiwa kupata medali sita za shaba kupitia kwa wanamichezo wake, Zachary Zola, akiwa na mwenzake Ramadhani Ally Mshana, ambao walikwenda katika Chuo Kikuu cha Shandong nchini China.
Akizungumza na mwandishi wa makala hii, Zola anasema, alianza kucheza Kung fu/Wushu akiwa na miaka 12, ambapo kwa sasa ana miaka 26, aliyezaliwa wilayani Tarime mkoani Mara ikiwa ndio mchezo wake anaoupenda.
Anauelezea mchezo wa Wushu kwamba ni mchezo wa Kichina na maana yake ni sanaa ya mapigano au ‘Martial Art' watu wengi wanaijua kama Kung Fu, ambapo mchezo huu sasa umefika Tanzania na tayari kuna Tanzania Wushu Association (TWA).
"Tulikwenda China kwa ajili ya mafunzo ya ukocha, ili tuweze kusaidia kueneza Wushu (Kung Fu), kote Tanzania, ikiwa ni lengo la Chama cha Wushu Tanzania na pia, kama tukifuzu, tushiriki mashindano ya dunia ya Wushu Kung Fu," anasema Zola.
Zola anauelezea mchezo huo kwamba una nyanja nyingi ambazo hujumuisha mafunzo ya upanga, cheni, mkuki, fimbo, feni na nyinginezo.
Pia ina aina nyingine ambazo ni Quan ‘Boxing' kama Shaolin Quan, Taiji Quan ‘Tai Chi', Baji Qian, Nan Quan, Hong quan na nyinginezo.
Anaeleza katika mchezo huo, amejizatiti katika Tai Chi, aina ya kung fu aliyoicheza Li Lianje ama ‘Jet Lee' sambamba na mchezo wa fimbo ndefu ‘Gunshu' na cheni akipata mafunzo hayo chini ya kocha wa Tai Chi, Master Li Sheng wa China ambaye ndiye alifanikisha ushiriki wao wa mafunzo yao nchini China.
Anasema, mashindano hayo yalikuwa ni magumu, kwani yalishirikisha nchi 89 na zaidi ya wachezaji 2,500 hivyo kushinda medali ilikuwa ni kazi, kwa kuwa medali wanapewa washindi watatu bora tu.
Zola anasema, akiwa China katika mashindano ya dunia alishindana katika Tai Chi, Nan Quan boxing na Gunshu kwa fimbo ndefu, ambapo katika michezo mitano alifanikiwa kushinda medali nne, mbili za fedha na mbili za shaba, ambapo kati ya hizo mbili alishinda katika Tai Chi, moja katika Nan Quan Boxing na nyingine katika fimbo.
Anasema, katika mashindano hayo alipoteza mchezo mmoja, ambapo alikosa medali ya shaba kwa pointi 0.3.
Katika mashindano hayo, alikwenda na mwenzake Ramadhani Ally Mshana ambaye pia alishinda medali tatu za shaba na hivyo kuleta medali saba nyumbani.
Waafrika 18 walishiriki katika mafunzo hayo na mwanzoni na nchi 37 zilishiriki, ila walipokwenda mkoa wa pili wa Hubei mji wa Shiyang idadi iliongezeka na hatimaye zaidi ya nchi 89 na zaidi ya wachezaji 2,500 walishiriki katika mzunguko wa mwisho huko Henan.
"Michuano ilikuwa mikali na kupata medali haikuwa kazi ndogo, mataifa ya Afrika yaliyoshiriki ni Morocco, Senegal, Liberia na Tanzania, tulifanikiwa kuleta medali nyingi zaidi na tukapewa tuzo ya Taifa," anasema Zola.
Aidha, anaeleza kwamba aliwahi kucheza Shotokan Karate kabla ya Wushu, Ju Jitsu na Taekwondo, ambapo hivi sasa hivi ni mwanachuo wa Cambridge University ya Uingereza akisomea Utangazaji na Mahusiano ya jamii ‘Advertising & public relations'.
Anasema, kupitia mafunzo hayo, elimu ya mchezo huo itasambaa Tanzania nzima ambapo ina uwezo wa kushiriki michuano ya Olimpiki katika mchezo wa Wushu na amedhamiria kuwa ‘Masters of Wushu' Afrika.
Zola anaeleza kwamba Wushu ni mcheza bora kwa afya, pia kutokana na mazoezi yake mbalimbali, mwanawushu anakuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri, kufanya uamuzi na hata katika kutekeleza mambo mbalimbali.
Pia kutokana na mafunzo yake, mchezaji anakuwa mtiifu na mwenye nidhamu ya hali ya juu.
Anatoa wito toka kwa jamii na serikali, ili tufanikiwe katika Wushu, ambayo ndio imeanza hapa Tanzania, aliwataka Watanzania kuondokana na dhana kwamba, michezo ya kujilinda ni ya kijasusi.
 
Homa ya Jahazi yazidi Dodoma


na Abdallah Menssah


amka2.gif
HOMA ya onyesho maalum la Jahazi Modern Taarab kuwapongeza wabunge wapya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania litakalorindima Januari Mosi, 2011, kwenye ukumbi wa Royal Village, Dodoma, imezidi kupamba moto. Baadhi ya mashabiki waliozungumza na mwandishi wa habari hizi mjini Dodoma hivi karibuni, walisema kuwa wanalisubiri kwa hamu onyesho hilo ili kukata kiu waliyokuwa nayo kwa muda mrefu sasa.
Walisema, wanaamini huu utakuwa wakati wao muafaka wa kukonga nyoyo zao, kwani ni kipindi kirefu wamekuwa wakiomba kupelekewa burudani ya mipasho, hususan kutoka kwa kundi la Jahazi Modern.
"Unajua, pamoja na kuwapongeza wabunge, pia tunalisubiri kwa hamu onyesho hilo ili kujiburudisha nalo wakati tukiukaribisha mwaka mpya," alisema shabiki mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Juma Ramadhan.
Shabiki mwingine aliyefahamika kwa jina la Husna Shomari alieleza kuwa, presha waliyonayo wakazi wa mjini Dodoma juu ya onyesho hilo , ni kutokana na kwamba, mipasho ni muziki ulioko juu kwa sasa.
Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mkuu wa Jahazi Modern, Mzee Yussuf ‘Mfalme', onyesho hilo litapambwa kwa vibao vyao kadhaa vipya vikiwamo vile viwili vya ‘Wagombanao' na ‘Nilijua Mtasema'.
 
Kino, Ilala kusaka mabondia wa taifa


na Samia Mussa


amka2.gif
MIKOA ya kimichezo ya ngumi Kinondoni na Ilala iko katika maandalizi ya kufanya mashindano ya kutafuta timu itakayowakilisha katika mashindano ya taifa yatakayofanyika mwakani jijini Dar es Salaam. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa Shirikisho la Ngumi za Ridhaa Tanzania (BFT), Makore Mashaga, alisema kuwa mikoa yote inayotakiwa kufanya mashindano hayo ni vema ikathibitisha mapema ili BFT iwe kupanga ratiba mapema.
Mashaga alisema kuwa ni mikoa michache sana ambayo imethibitisha kutokana na kutokuwa na mwamko, pia aliisifu ile ambayo imejitokeza mapema na kufanya mashindano kama Temeke.
Alisema, hadi kufikia Desemba 30 mikoa yote iwe imeshafanya mashindano ya kutafuta timu wawakilishi na kuwasilisha majina ya wachezaji wao waliopatikana siku hiyohiyo BFT.
 
Ligi TFF Mkuranga yatinga fainali


na Method Millanzi, Mkuranga


amka2.gif
LIGI ya Shirikisho la soka Tanzania (TFF), ambayo ilianza Desemba 10 kwa kushirikisha klabu 10 kwenye uwanja wa Shule ya Msingi Mkuranga inatinga hatua ya lala salama. Akizungumza na Tanzania Daima juzi Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Wilaya ya Mkuranga (MDFA), Paschal Machango, alizitaja timu zilizotinga fainali kundi A kuwa ni Panama na Fire Stone wakati kundi B lina timu za Black Tiger ambao ni mabingwa watetezi na Congo.
Katibu huyo ambaye ni Ofisa wa Jeshi la Polisi alisema, mechi hizo zilianza juzi ambazo wababe walipatikana ambao watacheza fainali ya mkoa itakayoanza hivi karibuni kwenye vituo mbalimbali.
Machango alitaja zawadi ya mshindi kuwa ni seti ya jezi na mpira wa pili atatia kibindoni seti ya jezi wakati wa tatu ataambulia mpira pekee hata hivyo hakuficha kilio chake kwa mashirika, taasisi, AZISEA na wafadhili waboreshe zawadi hizo ili kusaidia taifa kuibua vipaji vilivyopo vijijini.
Alitumia fursa hiyo kumpongeza mwanahabari Angetile Osiah kwa kuchaguliwa kuwa Katibu Mkuu wa Shirikisho la soka Tanzania (TFF) na Boniface Wambura kuwa Ofisa Habari wa TFF, Jimmy Kabwe, ambaye ni Meneja Masoko akawaomba wabadilishe utaratibu na kuwajaza wilayani wafadhili ili wasaidie kuboresha kiwango cha soka na kuepukana na hatari ya ligi Kuu ya Vodacom Tanzania bara kuendelea kuwa ni za Yanga na Simba.
 
Licha ya Yanga kuitambia AFC
• Mwape kama Robert Jama Mba

na Ruhazi Ruhazi


amka2.gif
TIMU ya Yanga jana ilifanikiwa kufuata nyayo za watani zao Simba, baada ya kuwafunga AFC Leopard ya Kenya kwa bao 1-0, katika mechi ya kirafiki ya kimataifa iliyopigwa kwenye dimba la Uhuru jijini Dar es Saalaam. Bao pekee lililowapa Yanga ushindi huo, lilifungwa kwa shuti kali la mguu wa kushoto katika dakika ya 46 na mtokea benchi Kiggi Makasi, aliyeingia baada ya mapumziko, kuchukua nafasi ya Juma Seif ‘Kijiko'.
Katika mechi hiyo ambayo kulikuwa na mashabiki wachache kuliko ilivyotarajiwa, Yanga iliuanza mchezo kwa kasi na kuonana lakini wakapoteza ladha ya mchezo huo baada ya dakika chache.
Safu ya ushambuliaji ya Yanga, iliyokuwa ikiundwa na Jerryson Tegete, ‘Kijiko' na Davies Mwape, haikuonekana kuwa na madhara kwa wageni na ilitengeneza nafasi chache za kufunga.
Hata pale Yanga walipofanikiwa kulifikia lango la wapinzani hawakuwa na mbinu zozote za kuwapatia bao, ambapo Tegete, Ernest Boakye na Godfrey Bonny walipoteza nafasi walizozipata kwa kupiga nje.
AFC walijibu mapigo kwa kugongeana vema na kulifikia lango la Yanga dakika za 10, 13 na 16, ambapo shuti la Silas Luvisia liliguswa kidogo na kipa wa Yanga Yaw Berko, aliyekuwa ametoka kidogo langoni mwake hivyo kugonga mwamba na kuwa kona ambayo haikuzaa matunda.
Timu hizo ziliendelea kushambulia kwa zamu lakini hadi mwamuzi Oden Mbaga, anapuliza filimbi ya kuashiria mapumziko, timu hizo zilitoka uwanjani zikiwa suluhu.
Mabadiliko yaliyofanywa na Kocha Kostadin Papic ya kumtoa Kijoko na kumuingiza Kiggi baada ya mapumziko, ndio yaliyoiokoa Yanga baada ya kiungo huyo kuifungia bao pekee.
Kama kuna mchezaji aliyeacha maswali mengi yasiyo na majibu kwa mashabiki wa Yanga na wapenzi wa soka waliohudhuria mechi hiyo ni uwezo mdogo ulioonyeshwa na mshambuliaji aliyesajiliwa kwa mbwembwe katika dirisha dogo la usajili, Davies Mwape kutoka Zambia.
Tofauti na sifa alizokuwa akipewa wakati akisajili, Mwape ameonekana hana tofauti na Robert Jama Mba, kutoka Cameroon, aliyesajiliwa kwa makeke msimu uliopita lakini akaishia kusugua benchi hadi anaachwa.
Licha ya Kocha Kostadin Papic kumchezesha hadi dakika ya 85, ndipo akamtoa kumpisha Idd Mbaga, lakini Mzambia huyo, hakuonyesha kama anastahili kuwa mchezaji wa kulipwa, jambo lililowafanya mashabiki wa Simba kuanza kumzomea kila alipogusa mpira wakimuita Mweupe badala ya Mwape.
Ushangiliaji huo kwa kiasi uliwakera mashabiki wa Yanga lakini kwa vile ulikuwa wa kweli, baadhi yao wakasikika wakiwatetea viongozi na kuzielekeza lawama za usajili wake kwa Kocha wao, aliyewaagiza viongozi wamsajili.
Katika mechi yao ya kwanza waliyocheza jana, AFC walipigwa mabao 2-0 na mabingwa watetezi wa Ligi kuu ya soka Tanzania bara, Simba ya Dar es Salaam.
Timu hiyo ya AFC moja ya timu kongwe katika ukanda huu wa Afrika Mashariki na Kati, leo tena itajitupa kwenye dimba hilo la Uhuru kuwakabili Azam FC.
Vikosi Yanga, Yaw Berko, Shadrack Nsajigwa ‘Fuso'/Salum Telela, Zuber Ubwa/ Job Ibrahim, Issac Boakye, Nadir Haroub ‘Cannavaro', Ernest Boakye, Omega Seme, Godfrey Bonny/ Razak Khalfan, Tegete, Kijiko na Mwape.
AFC, Barnabas Tiema, John Shamala, Douglas Oduor, Edgar Woudo, Nicholaus Muyoti/Joseph Okumu, Edward Seda, Paul Ojiambo/Peter Wailina, Ibrahim Coke, Emmanuel Tostao, Brian Masiolo na Silas Luvisia.
 
Fitna uchaguzi ZFA zaanza


na Makuburi Ally


amka2.gif
WAGOMBEA wote waliojitokeza kuwania nafasi mbalimbali za uongozi wa Chama cha Soka Visiwani Zanzibar (ZFA), wamefanikiwa kupenya katika usaili uliofanyika jana kwenye ofisi za Baraza la Taifa la Michezo Zanzibar (BTMZ), na jana walianza rasmi kampeni. Kwa mujibu wa Katibu Mkuu wa Kamati ya Uchaguzi ya ZFA, Mustafa Omar Abdallah, wagombea waliojitokeza ni 10, ambapo wanaowania nafasi ya rais, makamu wa rais wa Zanzibar na Pemba.
Abdallah aliwataja waliojitokeza kuwania nafasi ya rais kuwa ni anayemaliza muda wake Ali Ferej Tamim, Hafidh Kassim Hafidh, Nurdin Kakaria Taib, Suleiman Mahamoud Jabir na mtangazaji wa kituo cha Chanel Ten, Munir Zakaria.
Nafasi ya makamu wa rais kwa Unguja inawaniwa na Ali Khatib Dai, Ameir Haji Ameir ‘Bosi Mpakia' na Aman Ibrahim Makungu wakati kwa upande wa Pemba inawaniwa na Ali Mohamed na Suleiman Amour Suleiman.
Abdallah alisema kampeni kwa wagombea zinaanza leo hadi Desemba 30, siku moja kabla ya uchaguzi ambao utafanyika ukumbi wa uwanja wa michezo wa Gombani Pemba, ambako alitoa wito kwa wagombea kufanya kampeni zitakazofanikisha kunyakua nafasi hizo.
 
Maonesho ya Red Ribbon yakusanya milioni 24


Na Mwandishi Wetu

JUMLA ya sh. milioni 24 zimepatikana katika maonesho ya mavazi ya Red Ribbon 2010 yaliyofanyika kwa ajili ya kuchangisha fedha za kununua gari la watoto yatima wanaoishi na virusi vya ugonjwa wa Ukimwi, Tanzania Mitindo House (TMH).Fedha
hizo zimetokana na mnada wa vitu mbalimbali na maonesho ya mavazi yaliyoandaliwa na Mwenyekiti wa TMH, Khadija Mwanamboka kwenye hoteli ya Double Tree By Hilton iliyopo Masaki, jijini Dar es Salaam.

Maonesho hayo ya mavazi yaliwashirikisha wana-mitindo nyota nchini akiwemo Flaviana Matata ambaye alisafiri kutoka Marekani kuja kuendesha mnada huo ambao ulidhaminiwa na kampuni ya Vodacom Tanzania na Redd's.

Katika Mnada huo, Mbunge wa Jimbo la Singida Mjini, Mohammed Dewji alichangia sh. milioni 7, na Mbunge wa Jimbo la Bumbuli, Tanga Januari Makamba alitoa sh. milioni 3.

Pia, Vodacom Foundation walitoa sh. milioni 5, Miss Tanga ambaye pia aliwahi kushiriki mashindano ya Miss Tanzania, Sophia Byanaku alitoa sh. milioni 1.6 na mtangazaji wa kituo cha redio cha Choice FM alitoa sh. 800,000.

Pia, kulikuwa na wadau wengine wa masuala ya maonesho ya mavazi ambao walichangia katika mnada huo na kufanikisha kupata fedha hizo.Mwenyekiti wa TMH, Khadija Mwanamboka, aliwashukuru wote waliotoa michango yao na kuahidi kutumia fedha hizo kwa kusudio hilo.

"Fani ya mitindo nchini inazidi kukua na ni jukumu letu kusaidia jamii, TMH inamiliki kituo hicho kilichopo Magomeni Mikumi, mpaka sasa kina jumla ya watoto 10. Natoa shukrani za dhati kwa Flaviana ambaye amesafiri kutoka Marekani kwa ajili ya shuguli hii, huyu ni Balozi wetu wa TMH," alisema.

Aliwataja wanamitindo walioshiriki maonesho hayo ni Mustafa Hassanali, Jamila Swai, Farha Sultan, Martin Kadinda, Subira Wahure na Binti Afrika.

Wengine ni Bianca Timoth, Zamda George, Franko Designs, Paka Wear, Gabriel Mollel, Manju Msita, Diana Magesa, Kim Dean na Khadija.Wadhamini wengine wa Red Ribbon 2010 ni View Media, Benchmarks Production, KCI, MJ Records, Double Tree By Hilton na Clouds Entertainment.

Kampuni ya Mohammed Enterparises Tanzania Limited (MeTL), EFFCO TANZANIA LTD, Azania Bank Limited, Uhuru One, Women in Power, BancABC, Summer Trends, Amina Designs, Ffron Line Management na Vijana Zaidi.

Dr. David Zakaria, Fiderine Iranga, Rehema Samo, Jenifa Pemba, Joket Mwegeleo, Mariam Khamis, Masha Seif, Nafisa Abbakar, Belina Mgeni na 8020 Fashions.
 
Taifa Stars train without Poulsen




By The guardian reporter



27th December 2010




Jan%20Poulsen%282%29.jpg

Coach Jan Poulsen


Taifa Stars resume training sessions in Dar es Salaam today without their Danish coach Jan Poulsen.
The Dane, who powered Mainland team into their third Challenge Cup title after 16 years mid this month, has been stuck to board Dar es Salaam-bound flight due to dominant bad weather throughout European airports.
The team trains in preparations for the inaugural Nile Basin soccer championship to be staged in Cairo early next month.
Stars are expected to play their first match of the tournament against hosts Egypt on January 5 at the City Stadium in Cairo.
Stars assistant coach Syllvester Marsh, has been optimistic over reporting of all the 23 players who have been called to join the team.
"We had communicated with all the players before announcing their names to members of the press and most of them confirmed to report on time," said Marsh.
Most of the players are within the country, including Swedish-based Athumani Machupa who won a recall after three years.
Stars are expected to board the flight to Cairo on January 2 with stand-in coach Marsh and goalkeeping trainer Juma Pondamali.
Besides Egypt, other countries lined up for the championship include Kenya's Harambee Stars, Uganda 'The Cranes' and Sudan.
The tourney is beneficial to the teams ahead of the 2012 Gabon and Equatorial Guinea African Nations Cup qualifier series.
Stars players who were named on Friday afternoon and expected to join the training camp are Juma Kaseja, Shabani Kado, Saidi Mohammed, Shadrack Nsajigwa, Stephano Mwasika, Aggrey Morris, Kevin Yondani, Juma Nyosso, Nadir Haroub, Idrissa Rashid, Nurdin Bakari and Shabani Nditi.
Others are Henry Joseph, Jabir Aziz, Abdi Kassim, Ali Ahmed Shiboli, Godfrey Tahita, Salum Machaku, Mrisho Ngassa, Nizar Khalfan, Jerryson Tegete and Machupa.



SOURCE: THE GUARDIAN
 
U-20 tournament underway in Dar




By The guardian reporter



27th December 2010




Under -20 soccer championship for the premiership clubs kicks off at the Karume Memorial Stadium in Dar es Salaam today.
Two matches will be played on each day during the preliminary stages as Group A teams of AFC Arusha meet Police Dodoma from while holders Azam FC host Ruvu Shooting later in the second match.
Matches will be played at the Uhuru Stadium when the tournament reaches at semifinal stage.
U-20 teams for the premiership rivals Simba and Young Africans are sharing Group B, expected to clash on Friday morning at the Karume Stadium.
Group A has AFC, Police Dodoma, Ruvu Shooting and Azam FC while African Lyon, Simba, Yanga and Toto Africa are in Group B.
The Group C has Mtibwa Sugar, Kagera Sugar, Majimaji and JKT Ruvu teams.
The rules and regulations governing the tournament have been agreed by the Tanzania Football Federation (TFF) and the participating clubs.
Two best placed teams from each group will sail into the quarters together with two other best third-placed sides from any of the three groups.
Each team has been allowed to field not more than five players who are featuring in their respective senior premiership sides.
The final of the tournament, sponsored by S.S. Bakhressa Ltd, is scheduled for January 10.



SOURCE: THE GUARDIAN
 
Academy Boys excel in cricket




By Japheth Kazenga



27th December 2010




Academy Boys cricketers extended their domestic domination after holding sway in the opening day of the six-a-side tournament at the Annadil Burhani venue in Dar es Salaam on Saturday.
The two-day tournament, organized by the Tanzania Cricket Association (TCA), has brought together six teams with Arusha and Morogoro fielding one apiece while the rest are based in Dar es Salaam.
Participating teams are Academy Boys, Arusha Twigas, Dar Warriors, Morogoro Stars, Dar Cricketers and Dar Friends.
Each of the teams comprises six players and play innings of six overs in their respective matches.
Academy Boys won all three matches they were assigned to play on the opening day to finish as hot contenders for the title as Dar Warriors followed closely with two wins and a defeat.
Academy Boys' opening match against Morogoro Stars saw them garner a four-wicket victory that was highlighted by an all round commanding performance.
Morogoro started batting and were all out after 28 runs in five overs.
Tambwe Rashid (10 runs), Nassibu Kelvin (seven runs) and skipper Rashid Amri (four runs) were the main contributors in the total score during the innings.
Spinner Kassim Nassor exhibited his bowling exploits to take 2/5 while medium pacer Abdallah Mustafa and another spinner Athuman Kakonzi took a wicket apiece.
In response, Academy Boys reached the target for the loss of two wickets in four overs, with Benson Mwita topping the score sheet by notching nine runs, Issa Kikasi had seven runs as Nassor and Kakonzi finished with unbeaten seven and six runs respectively.
The Boys then went on to beat Dar Friends by 18 runs in the second match ahead of six-wicket win over closest rivals, Dar Warriors in the last game.
Warriors defeated Arusha Twigas by 30 runs in their first match and secured a hard fought two-run victory over Dar Cricketers in what turned out to be the day's biggest highlight.
The winners started batting to record 37 runs for the loss of three wickets in the innings that was marked by solid batting by Riziki Kiseto (16 runs not out) and youngster Arshaan Jessani (unbeaten three runs).
Opener Angel Seth added seven runs to the double-digit total.
Dar Cricketers, in reply, zealously chased their opponents' score and registered 35 runs all out in four overs to lose their grip on the target short of three runs.
Arusha Twigas became the day's whipping boys despite showing flashes of skilful displays in the games.
The team's defeat at the hands of Dar Warriors in the opening match was followed by a 28-run loss to Morogoro Stars later in the afternoon.
Morogoro Stars batted first and posted 71 runs for two wickets. Ally Mpeka's 40 runs not out was the toast of the team's innings, as Amri (17 runs) and Kibwana Salum (13 runs not out) boosted the total.
Arusha Twigas' chase was then fruitless as they managed 43 runs all out despite spirited batting by the team's opener Udain Bandaranayake, who had unbeaten 19 runs, and Mohamedraza Lalji who scored eight runs.



SOURCE: THE GUARDIAN
 
AAT relishes boom season




By Mohammed Ugasa



27th December 2010




The Automobile Association of Tanzania, AAT, is relishing a successful motor sport season after the final event held in Tanga last weekend.
The body's president, Nizar Jivani, in his well wishing end of the year festivity greetings, thanked all those who gave hand to bring the sport where it is today.
A total of six motor rallies were staged by four clubs with two of them hosting two events.
Arusha Motor Sports Club and Tanga Motor Club played a crucial role to stage two rallies apiece while Kilimanjaro and Morogoro staged one each.
The AAT had lined up only four motor sport events at the beginning of the year only for Arusha and Tanga to seek additional events in the last two months of the season.
Staging of the African Rally Championship leg in Tanzania has been the milestone achievement of the AAT for several seasons now.
The AAT has also been consoled by the readiness of the sponsors who have confirmed their stranglehold in backing the ARC event next season.
During the closing season, AAT has seen some upcoming drivers while Arusha-based driver Armajeet Dhillon Sing pulled his milestone feat to grab the best overall performance for the 2010.
Upcountry drivers have edged the Dar es Salaam ones ending their long standing domination in the motor sport.
While motor sport is hanging by a loose thread for the Dar es Salaam region, upcountry clubs of Arusha, Tanga, Morogoro and Kilimanjaro are taking the game to new heights.



SOURCE: THE GUARDIAN
 
Uhuru set for homecoming




By The guardian reporter



27th December 2010




Simba`s attacking midfielder Uhuru Suleiman, who has been undergoing knee surgery in Mumbai, is expected to board a return flight early next week.
Simba's vice-chairman Geoffrey Nyange confirmed that the player will possibly be on board the return flight on January 4 for recapitulation ahead of the premiership action.
The player has been ruled out of action for the next four months before starting active playing.
The second half of the Mainland premier soccer league resumes mid next month.
The possibility of the player to join the rest of the team for training might be in April when the league will be in final stages with few matches remaining on the fixtures.
Nyange said the player was successfully operated for three solid hours and full healing could take up to four months if everything will be smooth during the recapitulation period.
"Possibly he wont be available for the remaining matches of the ongoing season unless he makes a stunning or steady recovery," said Nyange.
Suleiman will be missed by Simba in the premiership title defence bid as well as African Champions League assignments.
Nyange said his miss will not be felt much as there are six players capable of filling his gap though he is still in string demand by head coach Patrick Phiri.
The knee injury affected not only Simba but also the national soccer team as he was ruled out since August.
Simba, still on top of the premiership table with 27 points, train at Kawe's Tanganyika Packers venue ahead of travelling to Zanzibar for the Mapinduzi Cup on Saturday.



SOURCE: THE GUARDIAN
 
Massive changes needed in Dar women cricket team




By Japheth Kazenga



26th December 2010




Tanzania's senior national women cricket team had a rather frustrating experience in their latest assignment as they faltered in the ICC Africa Women Cricket World Cup Qualifiers held in Nairobi, Kenya a fortnight ago.
The women cricketers were competing for the second time in the major continental showpiece hoping to get the better of other participants and progress to the latter stage of the World Cup Qualifiers scheduled to take place in Bangladesh at the end of next year.
Tanzania finished as runners-up behind Zimbabwe in the previous qualifiers played in the same city in 2006.
The team's performance in this year's event though was contrary to their expectations as they succumbed to two consecutive defeats at the hands of South Africa and hosts Kenya before slightly bouncing back with a win over Uganda in the third match.
They completely failed to replicate their 2006 heroics and a defeat to Zimbabwe in the last match of the round robin formatted event became the final blow to their chances to qualify for the Bangladesh tournament.
Tanzania's squad back in 2006 was full of young players with plenty of vigour and desire to excel in the event and it was not a surprise to see them notch wins over neighbouring countries Kenya and Uganda before losing to crafty Zimbabweans.
Heavy reliance on majority of the members of the 2006 squad however seems to have proved costly to the team this time as most of them were short of the effectiveness they had four years back.
Almost seven senior members formed this year's squad in the qualifiers. They are skipper Aneth Banali, Mwanaidi Ibrahim, Saida Hamis, Hawa Salum, Kulwa Mayowa, Hadija Nassibu and Monica Paschal.
The seven were joined by former national U-19 women team players Zena Hassan and Irene John, and five youngsters Asha Ibrahim, Jessica Emily, Esther Wallace, Mariam Said and Sophia Hemed who earned promotion from the national U-19 squad which finished second to Uganda in this year's East African Championship.
A look at the line-up proved the team was banking on nothing but experience to perform well in the qualifiers but there was little the experienced players could do to help the team better its 2006 record.
They struggled with the bat in the first two matches against Kenya and South Africa and there were still plenty of weaknesses in the aspect despite winning the third match against the Ugandans.
Skipper Aneth, for instance, had little to offer at the crease after her return to action from a four-year absence as she faced embarrassing dismissals after short batting spells.
She scored just five runs in the opening match against the hosts before slightly improving her batting to notch 10 runs against South Africa in the second match and the two games were enough to prove she was out of form.
Ironically, it was Aneth who was full of confidence on the team's ability to excel in the qualifiers shortly before they jetted off to Nairobi.
She noted that the team's wealth of experience was expected to be fully utilized with a view to outclassing the rest of the participants but, sadly, the outcome was all but disappointment.
Mwanaidi and Saida were the other players who experienced a frustrating slump in form in the qualifiers, particularly in batting.
The two players, who were the senior national women team's best performers in 2006, struggled to contribute to the team this time around notably in the first two matches.
Mwanaidi scored paltry three runs against Kenya before managing the same number of runs against South Africa while Saida could only attempt a few knocks to score two runs against Kenya before recording 10 runs against South Africa.
Saida attempted to rekindle her batting aggressiveness when she recorded 65 runs against Uganda, the highest score in the squad so far, but her overall performance in the qualifiers was less impressive.
The team's poor show in Nairobi therefore calls for major overhaul of the squad with a view to forming a strong outfit capable of seriously challenging for top honours in future.
It was obvious the veterans could not match the high pace and level of competitiveness in this year's qualifiers thus the need to offload them and bring in younger and more enthusiastic players remains paramount.
Tanzania further looked to have paid dearly for complacency particularly in matches against neighbouring countries Kenya and Uganda as the latter proved to be hard nuts to crack.
In a match against Kenya, Tanzania laboured to register 91 runs losing all wickets in their innings after they were put in to bat first and, with the modest total, there was no doubt their opponents were going to stage a successful chase considering that they were playing at the home turf.
Pace bowler Hawa Salum, in the end, was the only player whose dazzling performance offered consolation to the squad throughout the event.
The talented bowler could possibly have been overlooked considering that she did not manage to contribute substantially to the team's success in the past regional tournaments but she defied critics and put stunning displays.
A five-wicket haul she recorded against hosts Kenya in the opening match, which was the best ever performance by a Tanzanian player in the event, proved she had what it takes to torment opposing teams' batsmen and win games for her side.
While Hawa's performance in Nairobi suggests she still has something to offer to the team in the next two or three years, she is nevertheless among the players whose time to don the national side's jerseys is almost over.
It goes without question that the country stands to achieve very little at the competitive level of women cricket in the next few years should TCA cling on the current veterans as their level of performance keeps diminishing.
The female veterans' participation in cricket should now be restricted to either coaching or advisory roles, which could undoubtedly be done extremely well by almost every one of them.



SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY
 
ZFA election aspirants for interrogation




By The guardian reporter



25th December 2010








Stage is set for interrogation of all aspirants who have applied to contest for various posts in the Zanzibar Football Association election today.
The Zanzibar registrar of sports, Mustafa Omar, said the screening will be held on Christmas Day at the Mwanakwerekwe offices.
Omar said all the aspirants are supposed to arrive in time for the process leading to December 31 general election to be held in Pemba.
So far all the nine aspirants who have applied for various posts have already submitted the forms.
Besides the incumbent president Ali Ferej Tamim, Munir Zakaria has been the last among those who have applied for the post.
Zakaria collected the election form on Tuesday morning and returned it four hours later.
The number of aspirants for the ZFA top post has now reached four, including the incumbent Tamim.
The two other aspirants are Hafidh Kassim and prominent coach Suleiman Mahmoud Jabir.
While incumbent vice-president Haji Ameir is among those ZFA officials seeking for re-election, he expect to be opposed by Mlandege Football Club's planning secretary Ali Khatib Dai, Zanzibar Ocean View FC director Amani Ibrahim Makungu and Pemba duo of Suleiman Amour and Ali Mohammed.
Omar said he expects to have fair and free elections for the ZFA to get competent office bearers.
The election is being held at the time when the ZFA incumbent leaders have been under fire for alleged football downfall in the Isles.
Sponsorship hitch has bee the stumbling block of Zanzibar soccer body to the extent of staging a poor premiership.
Poor officiating of league matches and the youth team overage scandal remains as the worst ever scandals to have tarnished the image of the ZFA leadership for the year.
The pleas for ZFA constitutional review which surfaced last month have been trashed with election process now on the track.



SOURCE: THE GUARDIAN
 
Yanga yainyuka Leopard
Monday, 27 December 2010 09:40

duyangamwape.jpg
Clara Alphonce na Imani Makongoro
'PENYE udhia penyeza rupia' ndicho walichokifanya viongozi wa Yanga kwa kutoa shilingi 200,000 kwa kila mchezaji zilizowalainisha nyota hao kushuka dimbani jana na kuichapa AFC Leopard kwa bao 1-0 lililofungwa na Kigi Makasi.

Wachezaji hao waligoma kufanya mazoezi na kudai kuwa hawatacheza mechi ya jana dhidi ya FC Leopard hadi watakapolipwa fedha zao za usajili shilingi 70 milioni wanazoidai klabu hiyo.

Kigi aliyeingia kipindi cha pili akitokea benchi kuchukua nafasi ya Juma Seif alitumia vizuri pasi ya Jerryson Tegete dakika ya 46, kurudisha matumaini kwa kocha Kostadin Papic kwa ushindi huo wa bao 1-0 kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika kwenye Uwanja wa Uhuru.

Yanga ilianza mchezo huo kwa kasi, lakini safu yake ya ushambuliaji ikiongozwa na Tegete na Davie Mwape ilikosa umakini kwenye umaliziaji na kupoteza nafasi nyingi katika kipindi cha kwanza.

Mshambuliaji wa kimataifa wa Zambia, Mwape kwa mara nyingine alishindwa kuonyesha cheche mbele ya mashabiki wake.

Tegete alishindwa kumalizia gonga saba zilizopigwa na wenzake na kumkuta yeye akiwa kwenye eneo zuri la kufunga, lakini shuti lake liliishia mikononi mwa kipa Barnabas Tiema.

Dakika ya pili Tegete alikosa bao la wazi kwa kushindwa kumalizia krosi safi ya kiungo Juma Seif, kabla ya Ernest Boakye kukosa bao kwa shuti lake kupaa juu.

Leopard walijibu mapigo kupitia mshambuliaji wao Emmanuel Tastao aliyepiga shuti lililopanguliwa na kipa wa Yanga, Yaw Berko na kuwa kona ambayo haikuleta madhara na kuzifanya timu hizo kwenda mapumziko kwa suluhu.

Akizungumzia mchezo huo kocha wa FC Leopard, Noah Wanyama alisema,"Tumepata mazoezi mazuri na kuona mapungufu ya timu yangu, tulicheza vizuri na tumepoteza nafasi nyingi, tutarekebisha makosa yetu."

Kuhusu suala la wachezaji wa Yanga kudai fedha zao za usajili, Mwenyekiti wa Yanga, Lloyd Nchunga juzi alikutana na wachezaji hao kuangalia namna watakavyoweza kulimaliza tatizo hilo kwa haraka.

Nchunga alisema walikutana na wachezaji hao na kuwaeleza hali ya kifedha ilivyo kwa sasa Yanga na kuwasihi waache mgomo na pindi wakakapopata fedha kutoka kwa mdhamini wao Kampuni ya Bia Tanzania ( TBL) watawalipa deni hilo.

Mwenyekiti huyo alisema kuwa hata hivyo yeye alitoa zawadi ya fedha kidogo kwa wachezaji hao japo hakutaka kuweka wazi kuwa ni kiasi kidogo, lakini Mwananchi iligundua kuwa ilikuwa ni 200,000 kwa kila mchezaji.

Jahazi la wachezaji wa Yanga kugoma wakitaka walipwe fedha zao liliokolewa na viongozi wawili ambao ni Mwenyekiti wa Yanga Lloyd Nchunga na Mwenyekiti wa kamati ya mashindano Mohamed Seif baada ya kuchangishana na kupata fedha hizo ambazo waliwapa wachezaji siku moja kabla ya mchezo wao wa jana.

Hata hivyo wachezaji hao walisema kuwa baada ya kukutana na uongozi wao waliamua kucheza mechi hiyo kwani ni moja ya maandalizi yao ya mashindano ya kimataifa yaliyopo mbele yao.

 
Mechi la Liverpool na Everton zaahirishwa Monday, 27 December 2010 09:32

MECHI mbili za Ligi Kuu ya England kati ya Blackpool na Liverpol na Everton dhidi ya Birmigham zimeahirishwa kwa sababu ya barafu kuwa nyingi na baridi kali iliyopo eneo la Kaskazini mwa England.

Mechi kati ya Liverpool dhidi ya Blackpool ilibidi iahirishwe mpaka Januari 12 kwa sababu uwanja wa Blackpool wa Bloomfield Road umejaa barafu.

Uwanja wa Bloomfield ni uwanja pekee unaotumiwa kwenye Ligi Kuu ya England ambao hauna vifaa vya kutoa hali ya joto kutoka chini ya ardhi.

Mechi ya Everton dhidi ya Birmigham iliahirishwa kwa sababu bomba za kutoa hali ya joto kwenye uwanja wa Goodison Park kupasuka juzi usiku.

Hata hivyo jana ilichezwa mechi ya Ligi Kuu England,ambapo West Ham iliichapa Fulham mabao 3-1.
 
AFC Leopards mteja tena

Imeandikwa na Evance Ng'ingo; Tarehe: 26th December 2010 @ 23:59 Imesomwa na watu: 390; Jumla ya maoni: 0


12_10_5annay.jpg

Mshambuliaji wa Yanga, Jerry Tegete (katikati) akiutuliza mpira huku John Shamala wa AFC Leopards ya Kenya akiuwania wakati wa mchezo wa kirafiki wa Kimataifa uliochezwa kwenye Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam jana. Yanga ilishinda bao 1-0. (Picha na Yusuf Badi).



PAMOJA na mgomo wa wachezaji ambao walikataa kufanya mazoezi mwishoni mwa wiki iliyopita, Yanga jana waliibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya timu ya Kenya, AFC Leopards katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki.

Alikuwa mchezaji Kigi Makasi aliyeibeba Yanga kwenye Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam baada ya kuandika bao dakika ya 46 na kutoa zawadi ya Boxing Day (Siku ya kufungua zawadi) kwa mashabiki.

Mchezaji huyo aliachia shuti kali ambalo lilimshinda kipa wa Leopards, Trema Barnabas na kujaa wavuni.

Timu zote zilionesha kiwango sawa ingawa Yanga ndio walipata nafasi nyingi zaidi za kufunga ambazo wachezaji wake walizipoteza.

Pengine ingeweza kutoka na ushindi wa zaidi ya bao moja iwapo mshambuliaji wake Jerryson Tegete angetumia vema nafasi aliyoipata dakika ya 19 ambapo shuti lake liliokolewa.

Pia Kigi alipiga shuti kali dakika ya 72, lakini hakufanikiwa kuongeza bao. Hata hivyo, AFC Leopards wangekuwa wa kwanza kuliona lango la Yanga dakika ya 13 lakini shuti la Emmanuel Tostau liligonga mwamba.

Akizungumzia mchezo wa Simba ambao timu yake ilicheza juzi na kulala kwa mabao 2-0 na wa jana wa Yanga, kocha wa AFC Leopard, Noah Manyama alisema kuwa timu yake imejifunza mengi kutokana na mechi hizo.

Kocha huyo alisifu uwezo wa timu ya Simba kuwa wachezaji wanashambulia kwa kasi na pia wanalinda vema lango.

Alisema kuwa timu ya Yanga haikuwatisha, lakini imeweza kuwafunga na hata hivyo, aliongeza kuwa Yanga ina uwezo wa kucheza vema zaidi katika michuano inayokuja ya Kombe la Shirikisho Afrika kwa sababu wachezaji wake wana uwezo wa kuonana na kucheza kama timu.

Naye kocha wa Yanga, Kostadin Papic alisema kuwa licha ya ushindi wa bao hilo moja bado anaona kuwa timu yake ina upungufu, lakini hata hivyo aliahidi kuyamaliza kadiri timu inavyozidi kukaa kambini.

Pia gazeti hili lilipotaka kupata maoni yake kuhusu mchezaji kutoka nchini Zambia, Davies Mwape, Papic alikataa kumzungumzia mchezaji huyo na kuongeza kuwa kwa sasa anaitazama kama timu na sio mchezaji mmoja mmoja.

Katika mchezo huo, Papic pia alionekana akiwa nje ya chumba cha wachezaji wakati wa mapumziko akivuta sigara ambapo alipoulizwa kuwa kama suala hilo lina uhusianao na mgomo wa timu hiyo, alifafanua kuwa mechi hiyo haikuwa ikimpa wasiwasi na hivyo aliamua kufanya hivyo.

Kulikuwa na maneno kuwa wachezaji wa timu hiyo huenda wasingeshuka dimbani jana kufuatia mgomo uliopo katika klabu hiyo ambapo wachezaji wanadai sehemu ya fedha zao za usajili karibu milioni 70 ambapo hatma yao inatarajiwa kujulikana leo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom