Michezo ya kupotezana na kufichana ina mizizi mirefu

Michezo ya kupotezana na kufichana ina mizizi mirefu

Mto Songwe

JF-Expert Member
Joined
Jul 17, 2023
Posts
6,683
Reaction score
14,060
Hii michezo ya kisiasa ya kupotezana ina mizizi mirefu toka kwa founder wa nchi.

Yeye mwenyewe marafiki, wanachama na wale waliojaribu kumpinga walikiona cha moto.

Watu kukimbia nchi hawajaanza leo, watu kuigopa CCM former TANU haijaanza leo.

Baba alijenga nyumba yenye msingi mbovu kabla ya kufa hakubomoa nyumba bali aliwarithisha nyumba hiyo hiyo watoto hivyo bado watoto wanaishi katika msingi mbovu.

Uzalendo uchwara wa kushughulikia watu una mizizi toka kwa baba.

Baba hakutaka kujaribiwa hata kidogo hivyo ndivyo hata watoto wake walivyo ukijaribu kuwahoji juu ya matendo yao uhai wako upo mashakani.

HAKUWA BABA BORA.
 
Wengi wenu mkisimuliwa matendo ya baba hamtaki kuamini kwa sababu mmekwisha muweka moyoni kuwa alikuwa mtakatifu.

Lakini mtoto wake wa tano aliwaonesha jinsi baba alivyokuwa kipindi ambacho bado dunia ilikuwa gizani.

Hata mtoto wake wa sita hawezi kuupuuza urithi wa baba ila ana uendeleza kwa mtindo wake.
 
Kina KAMBONA walikula kona bila kupenda, ukizingatia kipindi kile ni 50 kweusi, dunia bado taarifa mnazipata anazotaka yeye tu, bora siku hizi tunapata taarifa zote tunaweza kuchuja na kujua mbivu na mbichi, ingawa hatuna ujeuri wa kumfunga paka kengele wala dereva wetu kumfunga speed governor.
 
M
Wengi wenu mkisimuliwa matendo ya baba hamtaki kuamini kwa sababu mmekwisha muweka moyoni kuwa alikuwa mtakatifu.

Lakini mtoto wake wa tano aliwaonesha jinsi baba alivyokuwa kipindi ambacho bado dunia ilikuwa gizani.

Hata mtoto wake wa sita hawezi kuupuuza urithi wa baba ila ana uendeleza kwa mtindo wake.
Mtoto wa 5 lazima atakuwa wa mama wa kambo sio kwa ile roho mbaya huyu mtoto wa 6 anapelekeshwa na upepo kama bendera
 
Hii michezo ya kisiasa ya kupotezana ina mizizi mirefu toka kwa founder wa nchi.

Yeye mwenyewe marafiki, wanachama na wale waliojaribu kumpinga walikiona cha moto.

Watu kukimbia nchi hawajaanza leo, watu kuigopa CCM former TANU haijaanza leo.

Baba alijenga nyumba yenye msingi mbovu kabla ya kufa hakubomoa nyumba bali aliwarithisha nyumba hiyo hiyo watoto hivyo bado watoto wanaishi katika msingi mbovu.

Uzalendo uchwara wa kushughulikia watu una mizizi toka kwa baba.

Baba hakutaka kujaribiwa hata kidogo hivyo ndivyo hata watoto wake walivyo ukijaribu kuwahoji juu ya matendo yao uhai wako upo mashakani.

HAKUWA BABA BORA.
Ni sawa, ila Baba hayupo tena.

Kama tutashindwa kuijenga vyema nyumba yetu ni sisi wenyewe sio Baba tena maana hayupo
 
Hii michezo ya kisiasa ya kupotezana ina mizizi mirefu toka kwa founder wa nchi.

Yeye mwenyewe marafiki, wanachama na wale waliojaribu kumpinga walikiona cha moto.

Watu kukimbia nchi hawajaanza leo, watu kuigopa CCM former TANU haijaanza leo.

Baba alijenga nyumba yenye msingi mbovu kabla ya kufa hakubomoa nyumba bali aliwarithisha nyumba hiyo hiyo watoto hivyo bado watoto wanaishi katika msingi mbovu.

Uzalendo uchwara wa kushughulikia watu una mizizi toka kwa baba.

Baba hakutaka kujaribiwa hata kidogo hivyo ndivyo hata watoto wake walivyo ukijaribu kuwahoji juu ya matendo yao uhai wako upo mashakani.

HAKUWA BABA BORA.

Ni kweli watu walijengwa kuwa waoga tangu wakati wa Mwalimu, japo kwa kauli yake Mwalimu, alisema anataka vijana jeuri, vijana wanaoweza kuhoji, na siyo wale wa, ndiyo mzee.

Lakini wakati wa Mwalimu kulikuwa na uafadhali mkubwa kwa sababu viongozi wengi walikuwa watu waadilifu. Hivyo hata ile haja ya kukosoa haikuonekana sana. Lakini hawa wa sasa, wengi wao ni mafisadi, wala rushwa waliojaa tamaa za kulimbikiza mali kwa njia chafu, halafu hawataki wakosolewe katika huo uovu wao. Laiti hawa viongozi mafisadi tulio nao, wangerithi pia uadilifu wa Mwalimu, watu wasingeona kama kuna haja kubwa ya kukosoa. Sasa jitu linaiba wazi kabisa, wote wanajua hili ni jizi, lakini linataka wakati linaiba kusiwepo wa kulinyoshea kidole na kuliombia kuwa wewe ni jizi, linataka wote mbebe maua kulishangilia kuwa linachapa kazi!!
 
Hii michezo ya kisiasa ya kupotezana ina mizizi mirefu toka kwa founder wa nchi.

Yeye mwenyewe marafiki, wanachama na wale waliojaribu kumpinga walikiona cha moto.

Watu kukimbia nchi hawajaanza leo, watu kuigopa CCM former TANU haijaanza leo.

Baba alijenga nyumba yenye msingi mbovu kabla ya kufa hakubomoa nyumba bali aliwarithisha nyumba hiyo hiyo watoto hivyo bado watoto wanaishi katika msingi mbovu.

Uzalendo uchwara wa kushughulikia watu una mizizi toka kwa baba.

Baba hakutaka kujaribiwa hata kidogo hivyo ndivyo hata watoto wake walivyo ukijaribu kuwahoji juu ya matendo yao uhai wako upo mashakani.

HAKUWA BABA BORA.
Kwa Baba walikuwa wanafichwa tu huko mafia island ili watulize munkari 🙄😳
 
Ni kweli watu walijengwa kuwa waoga tangu wakati wa Mwalimu, japo kwa kauli yake Mwalimu, alisema anataka vijana jeuri, vijana wanaoweza kuhoji, na siyo wale wa, ndiyo mzee.

Lakini wakati wa Mwalimu kulikuwa na uafadhali mkubwa kwa sababu viongozi wengi walikuwa watu waadilifu. Hivyo hata ile haja ya kukosoa haikuonekana sana. Lakini hawa wa sasa, wengi wao ni mafisadi, wala rushwa waliojaa tamaa za kulimbikiza mali kwa njia chafu, halafu hawataki wakosolewe katika huo uovu wao. Laiti hawa viongozi mafisadi tulio nao, wangerithi pia uadilifu wa Mwalimu, watu wasingeona kama kuna haja kubwa ya kukosoa. Sasa jitu linaiba wazi kabisa, wote wanajua hili ni jizi, lakini linataka wakati linaiba kusiwepo wa kulinyoshea kidole na kuliombia kuwa wewe ni jizi, linataka wote mbebe maua kulishangilia kuwa linachapa kazi!!
Iko vile Mzee 🙄🤠
 
Ni kweli watu walijengwa kuwa waoga tangu wakati wa Mwalimu, japo kwa kauli yake Mwalimu, alisema anataka vijana jeuri, vijana wanaoweza kuhoji, na siyo wale wa, ndiyo mzee.

Lakini wakati wa Mwalimu kulikuwa na uafadhali mkubwa kwa sababu viongozi wengi walikuwa watu waadilifu. Hivyo hata ile haja ya kukosoa haikuonekana sana. Lakini hawa wa sasa, wengi wao ni mafisadi, wala rushwa waliojaa tamaa za kulimbikiza mali kwa njia chafu, halafu hawataki wakosolewe katika huo uovu wao. Laiti hawa viongozi mafisadi tulio nao, wangerithi pia uadilifu wa Mwalimu, watu wasingeona kama kuna haja kubwa ya kukosoa. Sasa jitu linaiba wazi kabisa, wote wanajua hili ni jizi, lakini linataka wakati linaiba kusiwepo wa kulinyoshea kidole na kuliombia kuwa wewe ni jizi, linataka wote mbebe maua kulishangilia kuwa linachapa kazi!!
Haja ya kukosoa haikuonekana wakati watu walikimbia nchi na vizazi vyao kupigwa muhuri wa laana!!...wangapi walipigwa vifungo vya nje?..vile viraka na dhiki ni kweli hapakua na dukuduku la kuhoji,au ndiyo mtakatifu wako unajitajidi kufanya sugar coating!?..maana akianza kujadiliwa huyo tu huwa mnajitoa ufahamu,man was a bad leader with no vision
 
Mambo ya task force kumbe? Naye baba huenda alirithi kutoka kwa akina mao ze great, fidel castration ,soviet et .al.
Hayo yapo kote duniani, Snowden kayanusuru maisha yake kwa kutimka toka US na kuomba hifadhi Russia. Hujasikia yaliyomkuta whistleblower wa kampuni ya Boeing?!
 
Nadhani ,mzee Mwinyi tu ndiyo hakuwafanyia watu kitu mbaya kwenye utawala wake.

1. Nyerere....waulize akina Kambona na Bibi Titi Mohammed.
2. Mkapa .....waulize akina Jenerali Ulimwengu, Maua Daftari na Nalaila Kiula.
3. Kikwete ...waulize akina Ulimboka, Kubenea, n.k.
4. Magufuli.. huyu ndiye alikuwa funga kazi.
5. Huyu wa Sasa bado namtathmini.
 
Hii michezo ya kisiasa ya kupotezana ina mizizi mirefu toka kwa founder wa nchi.

Yeye mwenyewe marafiki, wanachama na wale waliojaribu kumpinga walikiona cha moto.

Watu kukimbia nchi hawajaanza leo, watu kuigopa CCM former TANU haijaanza leo.

Baba alijenga nyumba yenye msingi mbovu kabla ya kufa hakubomoa nyumba bali aliwarithisha nyumba hiyo hiyo watoto hivyo bado watoto wanaishi katika msingi mbovu.

Uzalendo uchwara wa kushughulikia watu una mizizi toka kwa baba.

Baba hakutaka kujaribiwa hata kidogo hivyo ndivyo hata watoto wake walivyo ukijaribu kuwahoji juu ya matendo yao uhai wako upo mashakani.

HAKUWA BABA BORA.
Huo upuuzi ulianza kipindi cha magufuri
 
Kina KAMBONA walikula kona bila kupenda, ukizingatia kipindi kile ni 50 kweusi, dunia bado taarifa mnazipata anazotaka yeye tu, bora siku hizi tunapata taarifa zote tunaweza kuchuja na kujua mbivu na mbichi, ingawa hatuna ujeuri wa kumfunga paka kengele wala dereva wetu kumfunga speed governor.
Changamoto ni za muda sana sema sasa taarifa zinasambaa kwa kasi tofauti na nyuma
 
Back
Top Bottom