Michezo ya kupotezana na kufichana ina mizizi mirefu

Michezo ya kupotezana na kufichana ina mizizi mirefu

Hii michezo ya kisiasa ya kupotezana ina mizizi mirefu toka kwa founder wa nchi.

Yeye mwenyewe marafiki, wanachama na wale waliojaribu kumpinga walikiona cha moto.

Watu kukimbia nchi hawajaanza leo, watu kuigopa CCM former TANU haijaanza leo.

Baba alijenga nyumba yenye msingi mbovu kabla ya kufa hakubomoa nyumba bali aliwarithisha nyumba hiyo hiyo watoto hivyo bado watoto wanaishi katika msingi mbovu.

Uzalendo uchwara wa kushughulikia watu una mizizi toka kwa baba.

Baba hakutaka kujaribiwa hata kidogo hivyo ndivyo hata watoto wake walivyo ukijaribu kuwahoji juu ya matendo yao uhai wako upo mashakani.

HAKUWA BABA BORA.
Tii bila shuruti....
 
Hii michezo ya kisiasa ya kupotezana ina mizizi mirefu toka kwa founder wa nchi.

Yeye mwenyewe marafiki, wanachama na wale waliojaribu kumpinga walikiona cha moto.

Watu kukimbia nchi hawajaanza leo, watu kuigopa CCM former TANU haijaanza leo.

Baba alijenga nyumba yenye msingi mbovu kabla ya kufa hakubomoa nyumba bali aliwarithisha nyumba hiyo hiyo watoto hivyo bado watoto wanaishi katika msingi mbovu.

Uzalendo uchwara wa kushughulikia watu una mizizi toka kwa baba.

Baba hakutaka kujaribiwa hata kidogo hivyo ndivyo hata watoto wake walivyo ukijaribu kuwahoji juu ya matendo yao uhai wako upo mashakani.

HAKUWA BABA BORA.
Nakumbuka mzalendo mwenye akili nyingi akiitwa Oscar kambona alikimbia nchi mwaka 1967

Hakika Tuliipoteza Hazina kubwa
 
Ni sawa, ila Baba hayupo tena.

Kama tutashindwa kuijenga vyema nyumba yetu ni sisi wenyewe sio Baba tena maana hayupo
Watoto wanaulinda urithi wa baba usipotee hivyo hawawezi acha wosia wa baba.

Baba alikuwa na nafasi kubwa ya kujenda msingi bora wa nyumba ange wasikiliza hata marafiki zake yale waliomshauri yeye aliwaona wabaya.
 
Ni kweli watu walijengwa kuwa waoga tangu wakati wa Mwalimu, japo kwa kauli yake Mwalimu, alisema anataka vijana jeuri, vijana wanaoweza kuhoji, na siyo wale wa, ndiyo mzee.

Lakini wakati wa Mwalimu kulikuwa na uafadhali mkubwa kwa sababu viongozi wengi walikuwa watu waadilifu. Hivyo hata ile haja ya kukosoa haikuonekana sana. Lakini hawa wa sasa, wengi wao ni mafisadi, wala rushwa waliojaa tamaa za kulimbikiza mali kwa njia chafu, halafu hawataki wakosolewe katika huo uovu wao. Laiti hawa viongozi mafisadi tulio nao, wangerithi pia uadilifu wa Mwalimu, watu wasingeona kama kuna haja kubwa ya kukosoa. Sasa jitu linaiba wazi kabisa, wote wanajua hili ni jizi, lakini linataka wakati linaiba kusiwepo wa kulinyoshea kidole na kuliombia kuwa wewe ni jizi, linataka wote mbebe maua kulishangilia kuwa linachapa kazi!!
Marafiki wa baba walikiona cha moto pale walipo yaona mambo tofauti na baba.

Usimchukulie baba poa alikuwa mkali haswa.
 
Nasikia kwa wagalatia Kawa mtakatatifu sijui mtume. Kwa wavaa kobazi wanamlalamikia kama msigwa
 
Kilichonikera kukuta historia chama kinapiganiwa kuliko nchi.

Hapa ndipo uharibifu ulipoanzia,
 
Ni kweli watu walijengwa kuwa waoga tangu wakati wa Mwalimu, japo kwa kauli yake Mwalimu, alisema anataka vijana jeuri, vijana wanaoweza kuhoji, na siyo wale wa, ndiyo mzee.

Lakini wakati wa Mwalimu kulikuwa na uafadhali mkubwa kwa sababu viongozi wengi walikuwa watu waadilifu. Hivyo hata ile haja ya kukosoa haikuonekana sana. Lakini hawa wa sasa, wengi wao ni mafisadi, wala rushwa waliojaa tamaa za kulimbikiza mali kwa njia chafu, halafu hawataki wakosolewe katika huo uovu wao. Laiti hawa viongozi mafisadi tulio nao, wangerithi pia uadilifu wa Mwalimu, watu wasingeona kama kuna haja kubwa ya kukosoa. Sasa jitu linaiba wazi kabisa, wote wanajua hili ni jizi, lakini linataka wakati linaiba kusiwepo wa kulinyoshea kidole na kuliombia kuwa wewe ni jizi, linataka wote mbebe maua kulishangilia kuwa linachapa kazi!!
Tatizo Mwalimu aliacha mfumo uliomfaa mtu kama yeye tu ingawa bado haikuwa sahihi kuzuia ukosoaji hata ukiwa “malaika”.

Na ubaya wa huo mfumo ni kama sumu. Una manufaa makubwa sana kwa warithi kiasi kwamba wamejizatiti kuhakikisha kuwa hauwezi kubadilishwa. Wako radhi hata kuua au kuanzisha machafuko nchini kuliko kuubadilisha mfumo.

Wanaodai Nyerere alifariki zamani hivyo tatizo ni letu tuliopo kutorekebisha mfumo wajue kwamba si kazi rahisi. Maafa yanayotokea kwenye chaguzi zetu ni kiashiria cha ugumu wa kubadili huo mfumo. Walioko madarakani hawako tayari kwa mabadiliko. Hiyo kazi haiwezekani bila kutokea maasi makubwa (bloody rebellion) ndani ya nchi.
 
Haja ya kukosoa haikuonekana wakati watu walikimbia nchi na vizazi vyao kupigwa muhuri wa laana!!...wangapi walipigwa vifungo vya nje?..vile viraka na dhiki ni kweli hapakua na dukuduku la kuhoji,au ndiyo mtakatifu wako unajitajidi kufanya sugar coating!?..maana akianza kujadiliwa huyo tu huwa mnajitoa ufahamu,man was a bad leader with no vision
Baba alisema wazi kuwa "serikali yake ilifanya mambo mengi mabaya (aliyaita ya kijinga)". Hapa ALITUBU na akasema wazi kuwa tatizo letu tunayaacha yale mema tunafuata ya kujinga (main point)

Lilikuwa ni jukumu la warithi kuyaacha hayo "ya kijinga"

Baba apumzike kwa amani.
 
Kina KAMBONA walikula kona bila kupenda, ukizingatia kipindi kile ni 50 kweusi, dunia bado taarifa mnazipata anazotaka yeye tu, bora siku hizi tunapata taarifa zote tunaweza kuchuja na kujua mbivu na mbichi, ingawa hatuna ujeuri wa kumfunga paka kengele wala dereva wetu kumfunga speed governor.
M

Mtoto wa 5 lazima atakuwa wa mama wa kambo sio kwa ile roho mbaya huyu mtoto wa 6 anapelekeshwa na upepo kama bendera
Wengi wenu mkisimuliwa matendo ya baba hamtaki kuamini kwa sababu mmekwisha muweka moyoni kuwa alikuwa mtakatifu.

Lakini mtoto wake wa tano aliwaonesha jinsi baba alivyokuwa kipindi ambacho bado dunia ilikuwa gizani.

Hata mtoto wake wa sita hawezi kuupuuza urithi wa baba ila ana uendeleza kwa mtindo wake.
Ni kweli watu walijengwa kuwa waoga tangu wakati wa Mwalimu, japo kwa kauli yake Mwalimu, alisema anataka vijana jeuri, vijana wanaoweza kuhoji, na siyo wale wa, ndiyo mzee.

Lakini wakati wa Mwalimu kulikuwa na uafadhali mkubwa kwa sababu viongozi wengi walikuwa watu waadilifu. Hivyo hata ile haja ya kukosoa haikuonekana sana. Lakini hawa wa sasa, wengi wao ni mafisadi, wala rushwa waliojaa tamaa za kulimbikiza mali kwa njia chafu, halafu hawataki wakosolewe katika huo uovu wao. Laiti hawa viongozi mafisadi tulio nao, wangerithi pia uadilifu wa Mwalimu, watu wasingeona kama kuna haja kubwa ya kukosoa. Sasa jitu linaiba wazi kabisa, wote wanajua hili ni jizi, lakini linataka wakati linaiba kusiwepo wa kulinyoshea kidole na kuliombia kuwa wewe ni jizi, linataka wote mbebe maua kulishangilia kuwa linachapa kazi!!
Baba alisema wazi kuwa "serikali yake ilifanya mambo mengi mabaya (aliyaita ya kijinga)". Hapa ALITUBU na akasema wazi kuwa tatizo letu tunayaacha yale mema tunafuata ya kujinga (main point)

Lilikuwa ni jukumu la warithi kuyaacha hayo "ya kijinga"

Baba apumzike kwa amani
 
Ni sawa, ila Baba hayupo tena.

Kama tutashindwa kuijenga vyema nyumba yetu ni sisi wenyewe sio Baba tena maana hayupo
Na pia inawezekana ilimbidi baba aendeshe nchi vile kutokana na wakati uliokuwepo. Kila siku waAfrica walikuwa wanapinduana. Huo ulikuwa ni kama mfumo kwa kipindi hicho.

Mwisho wa siku baba alikuja kukiri kuwa serikali yake ilifanya mengi mabaya (aliyaita "ya kijinga") kwa kuwa haikuwa inaongozwa na malaika.

Alilaumu sana kwa kusema kuwa tatizo ni kuwa yale mema yote ya awamu ya kwanza yanaachwa, yanachukuliwa "ya kijinga" (mfano ndio huo kwenye post). Baba alishatubu, apumzike kwa amani.

Sasa huyu mtoto wa 5 ambaye aliingia kwa demokrasia tena baada ya miaka 23 ya vyama vingi na sio kupindua nchi ndio tunashindwa kumwelewa kabisa
 
Baba alisema wazi kuwa "serikali yake ilifanya mambo mengi mabaya (aliyaita ya kijinga)". Hapa ALITUBU na akasema wazi kuwa tatizo letu tunayaacha yale mema tunafuata ya kujinga (main point)

Lilikuwa ni jukumu la warithi kuyaacha hayo "ya kijinga"

Baba apumzike kwa amani.
Aliposema hivyo watu walicheka,walicheka walikuaeya kijinga aliyoyazungumzia,palikua na utaratibu zamani kiongozi akiwa ziarani hupewa 'mtu' wa kuzungumza nae,hakumaanisha ujamaa au kuweka watu vizuizini ni ujinga
 
Back
Top Bottom