MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,843
- 5,476
Ulimboka alitekwa enzi za Magufuli?Huo upuuzi ulianza kipindi cha magufuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulimboka alitekwa enzi za Magufuli?Huo upuuzi ulianza kipindi cha magufuri
Wajukuu wakarithi na ujinga?Baba alisema wazi kuwa "serikali yake ilifanya mambo mengi mabaya (aliyaita ya kijinga)". Hapa ALITUBU na akasema wazi kuwa tatizo letu tunayaacha yale mema tunafuata ya kujinga (main point)
Lilikuwa ni jukumu la warithi kuyaacha hayo "ya kijinga"
Baba apumzike kwa amani
Jiwe kafa la dhambi na laaba za utekajiBaba alisema wazi kuwa "serikali yake ilifanya mambo mengi mabaya (aliyaita ya kijinga)". Hapa ALITUBU na akasema wazi kuwa tatizo letu tunayaacha yale mema tunafuata ya kujinga (main point)
Lilikuwa ni jukumu la warithi kuyaacha hayo "ya kijinga"
Baba apumzike kwa amani