Baba alisema wazi kuwa "serikali yake ilifanya mambo mengi mabaya (aliyaita ya kijinga)". Hapa ALITUBU na akasema wazi kuwa tatizo letu tunayaacha yale mema tunafuata ya kujinga (main point)
Lilikuwa ni jukumu la warithi kuyaacha hayo "ya kijinga"
Baba apumzike kwa amani