Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Michezo niliyocheza utotoni;
1. Sarakasi(mkono uliteguka mara 2 na shingo mara 1),
2. Kuogelea mto ngerengere na ziwa Victoria,
3. Komborela,
4. Kula mbakshie Baba,
5. Kibaba baba,
6. Kiooo kiooo,
7. Ukuti ukuti,
8. Tobo,
9. Safa(kutafuta mpira)
10. Mpira(dana dana),
11. Kidalipo,
12. Mizani (See saw),
13. Bembea,
14. Karata (makwenzi & Stika),
15. Shabaha ya betrii,
16. Kutengeneza na kuendesha magari,
17. Simbi(kwenda mbinguni)kupitia maharagwe,
18. Kubashiri mkono alipoficha mwenzio jiwe au mbegu kwa jedwali la X.
19. Boksi lenye pembe 8 kwa kuoanisha mbegu 3 au visoda vi3 kwenye mstari mmoja,
20. Kuruka kamba,
21. Soro,
22. Kuvutana kwa kamba,
23. Kukimbia kwa kupokezana vijiti.
1. Sarakasi(mkono uliteguka mara 2 na shingo mara 1),
2. Kuogelea mto ngerengere na ziwa Victoria,
3. Komborela,
4. Kula mbakshie Baba,
5. Kibaba baba,
6. Kiooo kiooo,
7. Ukuti ukuti,
8. Tobo,
9. Safa(kutafuta mpira)
10. Mpira(dana dana),
11. Kidalipo,
12. Mizani (See saw),
13. Bembea,
14. Karata (makwenzi & Stika),
15. Shabaha ya betrii,
16. Kutengeneza na kuendesha magari,
17. Simbi(kwenda mbinguni)kupitia maharagwe,
18. Kubashiri mkono alipoficha mwenzio jiwe au mbegu kwa jedwali la X.
19. Boksi lenye pembe 8 kwa kuoanisha mbegu 3 au visoda vi3 kwenye mstari mmoja,
20. Kuruka kamba,
21. Soro,
22. Kuvutana kwa kamba,
23. Kukimbia kwa kupokezana vijiti.