Michezo ya utotoni, ni hatari katika ukuaji wa mtoto.

Michezo niliyocheza utotoni;

1. Sarakasi(mkono uliteguka mara 2 na shingo mara 1),

2. Kuogelea mto ngerengere na ziwa Victoria,

3. Komborela,

4. Kula mbakshie Baba,

5. Kibaba baba,

6. Kiooo kiooo,

7. Ukuti ukuti,

8. Tobo,

9. Safa(kutafuta mpira)

10. Mpira(dana dana),

11. Kidalipo,

12. Mizani (See saw),

13. Bembea,

14. Karata (makwenzi & Stika),

15. Shabaha ya betrii,

16. Kutengeneza na kuendesha magari,

17. Simbi(kwenda mbinguni)kupitia maharagwe,

18. Kubashiri mkono alipoficha mwenzio jiwe au mbegu kwa jedwali la X.

19. Boksi lenye pembe 8 kwa kuoanisha mbegu 3 au visoda vi3 kwenye mstari mmoja,

20. Kuruka kamba,

21. Soro,

22. Kuvutana kwa kamba,

23. Kukimbia kwa kupokezana vijiti.
 
Nimewahi lala chini ya tairi ya gari najifanya fundi nikapitiwa na usingzi ndinga ikawashwa.. ...akaja kuniona maza flani akapga kelele mnauuua mtoto ndio dereva kusikia akazima ndinga ilikuwa nusu nifanywe gogo siku ile.
 
Aiseee,Pole na hongera
 

[emoji23][emoji23][emoji23] nacheka km mazuri ila pole mkuu sipati picha iyo hekaheka ya kutoa iyo punje
 

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…