1998, 2006, 2018 kwangu zilikuwa finali bora sana.2002 michuano ilikuwa easy.. timu zinashinda ndani ya dakika 90...
World cup ya ukweli niliyoiona ni germany 2006... games zilikuwa za kibabe sana.. yaani kuanzia nusu fainali games zilienda extra time mpaka fainali
Nigeria vs spain mwamba sunday oliseh anatupia kamba ya hatarii1998 niliumizwa sana na Denmark kuifunga Nigeria 4 - 1, though Taribo West alitoa show moja matata ya chenga ya kupanda juu ya mpira.
Mechi kali kwangu kwenye hayo mashindano: Nigeria 3 - Spain 2, Croatia 3 - German 0 na Brazil 1 - Holland 1 (Patrick Kluivert anarudisha goli la kichwa dakika mbovu Sana, Brazil anapita kwa matuta).
Nigeria vs spain mwamba sunday oliseh anatupia kamba ya hatarii
1998 niliikubali sana maana enzi hizo ndio tulikuwa na ushamba wa TV ,tambua kwamba miaka ya 90 TV zilikuwa chache sana na waliokuwa wanazo walikuwa watu wenye ukwasi.
2010 mimi ndio bora kwangu.
Wakiwa south Afrika
1994
Ilikuwa amshaVuvuzela ziliwakera wazungu
Mundial 1986 in Mexico
With Maradona at the peak of his career
Platini
Rummenigue
Socrates
Ziko....
1998 niliumizwa sana na Denmark kuifunga Nigeria 4 - 1, though Taribo West alitoa show moja matata ya chenga ya kupanda juu ya mpira.
Mechi kali kwangu kwenye hayo mashindano: Nigeria 3 - Spain 2, Croatia 3 - German 0 na Brazil 1 - Holland 1 (Patrick Kluivert anarudisha goli la kichwa dakika mbovu Sana, Brazil anapita kwa matuta).
Sema Denmark ilikuwa na umoto fulani hivi, unawakumbuka The Laudrap brothers?
Chrisian ziege duuh kama unamkumbuka1998 aisee,wachezaji wengi sana walionyesha viwango, kina Davo Suka, Marcelo Salas, Nwanko Kanu, Zinedine Zadane "Zizu", Luis Figo, Dennis Bergkamp, Patrick Kluivert, n.k