1998 aisee,wachezaji wengi sana walionyesha viwango, kina Davo Suka, Marcelo Salas, Nwanko Kanu, Zinedine Zadane "Zizu", Luis Figo, Dennis Bergkamp, Patrick Kluivert, n.k
Hii mechi kila mtu akipenda, Michael ballack alilia kwa uchunguKwangu ni 2006
Na match Bora kwangu ni Semi final
Kati ya wenyeji
German vs Italy
Hii worldcup nitaikumbuka sana maana ndio ilisababisha bi mkubwa kununua tv1998 niliikubali sana maana enzi hizo ndio tulikuwa na ushamba wa TV ,tambua kwamba miaka ya 90 TV zilikuwa chache sana na waliokuwa wanazo walikuwa watu wenye ukwasi.
Chrisian ziege duuh kama unamkumbuka
Kwangu ni 2006
Na match Bora kwangu ni Semi final
Kati ya wenyeji
German vs Italy
Mark Fish,Benny McCarthy na kuna yule mchezaji muda wote yeye kucheka cheka tu uwanjani akipiga chenga....1998 world cup.
This of 2002 was the best to meWorld Cup 2002 (Korea and Japan)
Nilikuwa nawapenda Spain kuliko Wakatalunya.
Fernando Hierro alikuwa ndiye shujaa wangu.
Ruben Baraja
Gaizka Mendietta
Frnando Morientes
Gonzalez Raul
Ivan Helguera.
Carles Puyol
Wanafungwa kwa mikwaju ya penalty dhidi ya Korea ya Kusini.
Yap kama CorinaAlikuwaa na style fulani ya kunyoa
Mkuu robo fainali France 98 kati ya Argentina na Uholanzi na nusu fainali Uholanzi na Brazil nilikuwa mdogo lkn kiukweli sijawahi ona mpira kama uleUlipigwa mpira mwingi sana
Lucas Radebe hakuwepo kweli?
Namkumbuka Diego Forlan world cup 2010.