Michuano ipi ya World Cup ilikuwa bora sana kuitazama?

Mkuu umenikumbusha mbali sana Mwaka 1994 Temeke Mikoroshini wenye TV walikuwa hawazidi watatu kitongoji kizima. World Cup tulikuwa tunatizama pale kwa Maganga kwa Mzee Omary Omary Baba wa Msanii wa Mchiriku na Singeli Omary Omary alieimba Kazi Yangu ya Dukani.
 
Huyo Mzee wa Kihaya yupo mpaka leo,kipindi hicho alikuwa Captain wa Jeshi.
 
Kama Kuna ya zaidi ya 98 na ile ya 2002 pinga hapa tafadhari......
Ninajiamini kwakuwa hakuna kizazi Cha dhahabu Kama kile na hakiji kutokea
Lonardo delima, Gaucho, rivardo, okocha, n.k wakali wa milele walicheza generation hii
France 1998 ndo kombe la dunia bora kabisa nililopata kuliangalia,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…