Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
Ilikuwa extra time mkuuHaikuwa extra tym, bali dakika za mwisho mwisho. Nadhani ilikuwa 86 kabla ya del piero kuwamalizia.
Wachezaji wote wa german walilala chini. Maana hawakujua ni jinsi gani wangeweza kuchomoa goli mbili ndani ya dk 2