Uyo aliyevaa jezi namba 11 ndio Ronaldinho.2002 ronaldinho hakuepo acha chai
2002 ronaldinho hakuepo acha chai
1998 aisee,wachezaji wengi sana walionyesha viwango, kina Davo Suka, Marcelo Salas, Nwanko Kanu, Zinedine Zadane "Zizu", Luis Figo, Dennis Bergkamp, Patrick Kluivert, n.k
Hiki kizazi kilikuwa balaa 1998France 1998 ndo kombe la dunia bora kabisa nililopata kuliangalia,
Alifunga goli 13 katika mechi 186. Msimu wa pili timu ilishuka daraja.Alifanya nn????
Yule mwamba alijua kuwatoa wafaranasa mchezoni asee, maana baada tu ya kadi ile watu wakapoteana.Kama sio kadi nyekundu ya Zidane
habari ingekuwa nyingine
Alifanya nini mkuu94' bebeto sitakusahau kamwe
Mkuu pole nadhani kumbukumbu huna2002 ronaldinho hakuepo acha chai