Michuano ya Euro 2020: Ufaransa yaichapa Ujeruman 1-0

Michuano ya Euro 2020: Ufaransa yaichapa Ujeruman 1-0

kiwatengu

Platinum Member
Joined
Apr 6, 2012
Posts
18,585
Reaction score
16,780
Usiku mzuri huu, Saa chache zijazo kitapigwa kipute cha haja.

France Line Up!

IMG_20210615_211255.jpg


IMG_20210615_211158.jpg


IMG_20210616_070729.jpg
 
Chanel ipi inaonyeshwa hii game. Naona AZAM wanazingua mara waonyeshe mawa wasioo yeshe. Tupeni machimbo asee
Si uende kibanda umiza kama azam hawaoneshi. Mbona matangazo yanatoka kila siku kwa visimbuzi vitakavoonesha haya mashindano?
 
Hili ni pambano la wanaume wawili linahitaji thread yake yenyewe special.
 
Game ndio inaanza hapa Sasa n Germany ndio wa
 
Dakika ya 17 Mbape anapiga moja ya moto inapanguliwa vyema na kipa wa Germany
 
Hummels anajifunga hapa.
German 0 France 1
 
Pogba anamchezea Muller Rafu, Kroos anpiga fauli inapaa juu hapa.
 
Back
Top Bottom