Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] wee una lako jambo wallah. KhaaaahNapinga matumizi ya neno "yankiih" kwa jinsia ya KE.
Sawa. Tutaona.Muda ni hakimu let's wait and see..
Dunia imeishiwa wachezajiNgolo Kante hakuonekanwa uwanjani kabisa, Halafu ati ni best midfield in the world, my foot
Mipango yetu ni kuchukua kabisa. 😀Ni kweli tulifika fainali lakini tulifungwa, hiki ni kiporo lazima tukile hata bila kukipasha
Jitahidini angalau mfike nusu fainali, msiishie robo fainali. Sijui ilikuwaje mlipigwa kipigo cha mbwa coco na Wales kipindi kile
Ile ilikuwa aibu ya mwaka Mkuu. 😀Mie nipo na German tangu nipo yankiih, hakna siku nilipata tabu ya ushabiki ktk maisha yangu km ile world cup 2014, match kati ya [emoji629] na [emoji1054], maan ndo team zangu.
Na [emoji1054] alichapwa 7 kwa 1, yaan hata sikua naelewa niwe upande upi na nishike lipi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji629] akiwa out hapa, ntakuwa mtazamaji tyuuh. Ila naamin haiwezi kuwa hivyo.
Ngoja nione kama leo mtaungana na Italia kwa hatua inayofuata kama kweli mna nia thabitiMipango yetu ni kuchukua kabisa. [emoji3]
Kila la kheri kwenye iko kiporo chenu mdogo wangu lakini msisahau tupo wengi katika kulipambania hilo kombe.
Ngolo Kante hakuonekanwa uwanjani kabisa, Halafu ati ni best midfield in the world, my foot
Itakuwa washabiki wa Man city nyie 😀😀Dunia imeishiwa wachezaji
😀😀😀Mpwa nimejikuta nakumbuka ule uzi wako wa Verification. Lolnni kweli kabisa ndio tuangalie tunaliwekaje wekaje.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilihisi ile ni remix ya [emoji1054], sio yenyewe OG,Ile ilikuwa aibu ya mwaka Mkuu. [emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaah tuishi humo tyuuh.nni kweli kabisa ndio tuangalie tunaliwekaje wekaje.