cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Sawa tusubiri tuone.Kwa France hapo sawa ila kwa German. Mmmh.
Ila wacha tusubiri tuone Mkuu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa tusubiri tuone.Kwa France hapo sawa ila kwa German. Mmmh.
Ila wacha tusubiri tuone Mkuu.
Siku ya mechi nitag na si ajabu ndio ikawa mechi yenu ya kuaga mashindano. 🤣Kwa match zijazo hakna ugumu wowote hapa, German anashinda zote bila ubishi.
Yah!! Jumamosi sio mbali.Sawa tusubiri tuone.
Jaman jaman hebu acha utani bas, usijar mie ntakutag hapa hapa.Siku ya mechi nitag na si ajabu ndio ikawa mechi yenu ya kuaga mashindano. [emoji1787]
Mbili zinawahusu. [emoji6][emoji6][emoji6]
Najua hiyo ndo itakuwa siku ya kutafuta timu ingine ya kushangilia. 🤣🤣🤣 (jokes)Jaman jaman hebu acha utani bas, usijar mie ntakutag hapa hapa.
Mimi ni timu ushindi kabisa.France ndo timu yako pendwa nini mdogo wangu? [emoji1787][emoji1787]
Hahahahaaaa. Hutaki kujiweka roho juu. LolMimi ni timu ushindi kabisa.
Mambo ya utopolo nawaachia wewe na wifi yako. Hahahaaa
Hapo sawa ili pawepo na ushindani/ubishani na kuleta ladha ya kufuatilia kila kinachojiri.Hahahahaaaa. Hutaki kujiweka roho juu. Lol
Saafi!! Na vile tumekunywa maji ya kijani [emoji3] hamna wa kutubadilisha.
🤣🤣 umejuaje eti mana mie ni team Belgium na naamini tuna nafasi ya kufanya jambo this time eti.Hapo sawa ili pawepo na ushindani/ubishani na kuleta ladha ya kufuatilia kila kinachojiri.
Tulibeba WC, huo msako upo pale pale. Ninyi bakini na akina Lukaku tu
Ni kweli tulifika fainali lakini tulifungwa, hiki ni kiporo lazima tukile hata bila kukipasha[emoji1787][emoji1787] umejuaje eti mana mie ni team Belgium na naamini tuna nafasi ya kufanya jambo this time eti.
Nakumbuka France huwa mna juhudi mbaya na hata Euro ilopita nyie mlifika final pia japo kama sikosei mlifungwa.
Mie nipo na German tangu nipo yankiih, hakna siku nilipata tabu ya ushabiki ktk maisha yangu km ile world cup 2014, match kati ya [emoji629] na [emoji1054], maan ndo team zangu.Najua hiyo ndo itakuwa siku ya kutafuta timu ingine ya kushangilia. [emoji1787][emoji1787][emoji1787] (jokes)
#Hainashida.
Kuna haja Real Madrid iwasajili Paul Pogba na Ngolo Kante wote kwa pamoja Kama inataka irudi kwenye ushindaniKante and Pogba when they start together for France:
[emoji3502] 22 wins
[emoji3502] 6 draws
[emoji3502] 0 defeats
[emoji36] View attachment 1820227
Tatizo kapangwa na wagumu zaidi yake ,, German ipo vizuri but Haina ubavu wa kumpiga mreno...huku Huku Jota kule Ronaldo kule Tena Hernandez kule Tena benaldo Silva anapitia wap bossUsiwadharau Wajerumani.
Muda ni hakimu let's wait and see..Thubutuuh hawa hawa [emoji632] na [emoji629]ndo watakaobaki ktk kundi lao.