Michuano ya Euro 2020: Ufaransa yaichapa Ujeruman 1-0

Ngolo Kante hakuonekanwa uwanjani kabisa, Halafu ati ni best midfield in the world, my foot
 
Ni kweli tulifika fainali lakini tulifungwa, hiki ni kiporo lazima tukile hata bila kukipasha

Jitahidini angalau mfike nusu fainali, msiishie robo fainali. Sijui ilikuwaje mlipigwa kipigo cha mbwa coco na Wales kipindi kile
Mipango yetu ni kuchukua kabisa. πŸ˜€

Kila la kheri kwenye iko kiporo chenu mdogo wangu lakini msisahau tupo wengi katika kulipambania hilo kombe.
 
Ile ilikuwa aibu ya mwaka Mkuu. πŸ˜€
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€Mpwa nimejikuta nakumbuka ule uzi wako wa Verification. Lol
Ha ha ha ha sasa nyie mmefunga Inbox tunawapataje?
Its beautiful to date a soccer girl.
 
Mechi za Jana was not easy.
Portugal hawawawezi France.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…