Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
Msaada kwa anaye fahamu namna ya kufungua, tangu jana sijanywa maji kabisa ☹️
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwangu bado mkuumbona hali imesharudi sawa?
Duh. Ita vijana watundu wabypassKwangu bado mkuu
Ndyo mkuu, hujawahi kuona?Fridge linatumia windows 11?!
Mkuu mbona picha ipo clear kabisaPiga picha vzr mkuu
Mkuu maisha ni hatua tu, siku na wewe utapata kama hiiHongera sana mkuu,mimi hata fridge la kufungulia ufunguo sina,ubarikiwe sana
Basi aiambie iombe radhi kwa umampaka ile ya nape imekataa kufunguka inasema ni utani
Nakula mikate mikavu tu bila maji wala sodaAdui mwombee njaa
Kwahiyo hakuna kula
HakikaHongera sana mkuu,mimi hata fridge la kufungulia ufunguo sina,ubarikiwe sana
UsihofujF chit chat and jokes
SawaMkuu mbona picha ipo clear kabisa