Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda pale TCRA ulizia vijana watundu watundu wa field lazima utapata.Naomba mawasiliano na hao vijana Mkuu
Halafu kizungu cha la pili 😄Kumbe jamaa mhuni tu,mimi nilidhani kweli jamaa kajipata kumbe mhuni fulani,mother fanta
Na wewe umebadili id?Yeap! Na siku ukiyakoroga unaweza badili id lakini maumivu hayaishi moyoni...
Kweli Lazima watu wafurahi😂😂😂 Kuna wababa wa hovyo sana humu😂😂 ila napenda tunavyojipa Furaha
Amna na sina mpango... Nikikosea mtu mimi naomba msamaha...Na wewe umebadili id?
Kwamba hadi maji ya kupikia chai huwa unaweka kwenye Fridge ? Hio picha sijaona Bomba hapo au hata bomba nalo linatumia Block Chain ?Nakula mikate mikavu tu bila maji wala soda
Vijana wa field siwezi waleta kwangu, watadokoa vitu vyangu expensive.Nenda pale TCRA ulizia vijana watundu watundu wa field lazima utapata.
Yes sure . Lakini inategemea kama lengo ni mashauzi kweri kweri😂😂 lazma utoe kafara I'd, ila kama ni Chit chat. Tunaongeza siku tu😂 kama huyu babaYeap! Na siku ukiyakoroga unaweza badili id lakini maumivu hayaishi moyoni...
😆 😂 kwa kweli dunia ina mambo hii
Utateseka sana bila jokofu mkuu. Vitu utanunua vingine.Vijana wa field siwezi waleta kwangu, watadokoa vitu vyangu expensive.
Wewe na yeye wote mmebadili.😪Na wewe umebadili id?
Hili Jokofu afadhali nigawe kwenye Charity tu, nitanunua lingineUtateseka sana bila jokofu mkuu. Vitu utanunua vingine.
Ile nyingine ni ipi Mr Rayns.🫣
Hapana! Nilijiunga jf 2022 nikaingia nikaona sielewi haivutii nikaachana nayoWewe na yeye wote mmebadili.😪
Cha msingi ni kuweka unga kwenye mfuko chini ya uvungu... Sio kwenye fridge... Imagine unatumia sufuria zina Windows 11 hapo angeenda kuazima sufuria za kupikia...😆 😂 kwa kweli dunia ina mambo hii
Kwa hiyo ipo siku tutalala njaa kisa technology
Wapi 🔨 🛠