Microsoft Ina tatzo gani, tangu jana siwezi fungua mlango wa fridge yangu

Microsoft Ina tatzo gani, tangu jana siwezi fungua mlango wa fridge yangu

Kuna wakati walisema ipo siku kila kitu kitakuwa ni computerized sasa imagine traffic light zizime zote

Ila kwa kweli haya mambo ya mara smart fridge naona hata kama jamani
Yaani bora masufuria yetu tu
Mkuu sahihi kabisa, hizi smart items wakati mwingine huleta changamoto
 
Sawa ndoo ya maji huna .lakin hata 500 ya kununua maji ya uhai nusu Lita imekushinda mpk ujanywa maji siku nzima ..inshort hapo c kwako
Siwezi kunywa maji ya 500 nisije nikapata kichocho
 
Kuna Kilimanjaro pia ...afu kumbe uko gheto moja na netanyau maana sio fridge tuh mpk kitchen cabinets znafanana
Netanyahu alikuja jana kwangu, sasa sijui kama alipiga picha jikoni kwangu maana yule jamaa ni mmbea sana
 
Huyu wa jamii forum atakuwa mke wake huyo mwamba ..........kira mtu kaamua kulalamikia kwenye forum yake
Don't take things too seriously........ JF chit chats and jokes
 
Back
Top Bottom