Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,158
- 7,787
- Thread starter
- #81
Mkuu sahihi kabisa, hizi smart items wakati mwingine huleta changamotoKuna wakati walisema ipo siku kila kitu kitakuwa ni computerized sasa imagine traffic light zizime zote
Ila kwa kweli haya mambo ya mara smart fridge naona hata kama jamani
Yaani bora masufuria yetu tu