Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa
jF chit chat and jokes
Kiongozi nawaona kama wataalamu wa IT ndymaana nimeomba ushauriKiongoz unatuonaje 🥴🥴🥴
Muombe angalau kidog msamaha huyu mwamba amejitoa sanaDuh. Ita vijana watundu wabypass
Mkuu wengine hatuigizi, hilo fridge Kwanza nataka niligawe maana nimelichokaHumu kila mtu ana kazi nzurii Tena permanent & pensionable bila kusahau GARI 😊 😅
Tuna safari ndefu sanaHongera sana mkuu,mimi hata fridge la kufungulia ufunguo sina,ubarikiwe sana
Naomba mawasiliano na hao vijana MkuuDuh. Ita vijana watundu wabypass
Damn.... Sasa si ntapata kipindupindu, mnawezaje kufanya hivyo, mimi hata kibuyu sijui kina rangi gani, au nyie ndy waganga wa kienyeji?Tunaokunywa maji kupitia kibuyu na jagi hili alituhusu.
HakikaUsihofu
Washamba wengi sana JF,
Mbona me nadunda tu...Msaada kwa anaye fahamu namna ya kufungua, tangu jana sijanywa maji kabisa ☹️
View attachment 3047199
Mimi bado nasota mkuuMbona me nadunda tu...
Mkuu usihadaike na hao matapeliKumbe jamaa mhuni tu,mimi nilidhani kweli jamaa kajipata kumbe mhuni fulani,mother fanta
Mkuu, mtu akijinyanyua usimshushe. Mweke huko huko alipojiweka atapambana na hali yake pakikucha akaamka.Muombe angalau kidog msamaha huyu mwamba amejitoa sana
Yeap! Na siku ukiyakoroga unaweza badili id lakini maumivu hayaishi moyoni...😂😂😂 Kuna wababa wa hovyo sana humu😂😂 ila napenda tunavyojipa Furaha