Microwave oven vs Airfryer ipi Bora kwa kuchoma nyama, kukaanga chips na kupasha chakula

Sexer

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2014
Posts
8,440
Reaction score
8,149
Wakuu,

Ni kifaa kipi kati ya hivyo kinafaa kwa kuchoma nyama, kuchoma kuku mzima, kukaanga chips na kupasha chakula?

Nahitaji kifaa kimoja cha kufanya kazi hizo zote kwa ubora mzuri, nichukue kipi?
 
Wakuu,

Ni kifaa kipi kati ya hivyo kinafaa kwa kuchoma nyama, kuchoma kuku mzima, kukaanga chips na kupasha chakula?

Nahitaji kifaa kimoja cha kufanya kazi hizo zote kwa ubora mzuri, nichukue kipi?

Kuchoma nyama - Airfryer
Kuchoma kuku mzima - Airfryer
Kuoka chips (sio kukaanga) - Airfryer
Kupasha chakula - Microwave oven na hata Airfryer (ingawaje utakuwa unaichosha)

Kifaa cha kufanya kazi hizo zote unataka, nunua jiko lolote iwe la gesi, umeme, mkaa n.k...
 
Missy Gf
Njoo dear nami uniambie oven gani ni Bora kat ya Kenwood na ailyons

Nunua Kenwood original sio yale mafamba ya kichina...

Ukishaona kampuni moja inatengeneza utitiri wa vitu sijui redio, speaker, feni, TV, blender, friji, oven n.k, hiyo si kampuni ya kununua vitu vyake...ndio hao kina Aborder, Mo electronics, Ailyons n.k
 
Kwa io Toyota na utitiri wa magari haifai? Au ni kwa electronics?
 
asante kwa recommendation before nilifikiri Kodtec ndio wazuri.
 
kwa kuchoma nyama, kuchoma kuku mzima, kukaanga chips na kupasha chakula?
hmm, air frier haiwezi kava zote hizi
hata microwave haikavi zote hapo

ila kwa kuchoma kuku frier ndiyo kwake, kukaanga chips frier ndiyo kwake ila kuna namna inabidi uziandae, japo zinatoka kama kaukau vile

kupasha ni microwave as inapasha toka ndani kuja nje
 
Kodtec nao ni wachina tu, zamani walikuwa wakitengeneza speaker tu kwa ajili ya PC na laptops ila siku hizi naona wanatengeneza vitu kibao...
Original unaijuaje sasa, nimecheki kweli wana products nyingi sana, ila naona bei zao ni sawa na kina aborder hapo ndo nashindwa mtu usije ingia kichwa kichwa.
 
Wakuu,

Ni kifaa kipi kati ya hivyo kinafaa kwa kuchoma nyama, kuchoma kuku mzima, kukaanga chips na kupasha chakula?

Nahitaji kifaa kimoja cha kufanya kazi hizo zote kwa ubora mzuri, nichukue kipi?
air frier ni kama unataka kuchoma bila mafuta,ila zile microwave zenye option ya kuchoma pia zinachoma bila mafuta nyama yoyote ile.air frier inafaa sana kuchoma chipsi ila microwave haifai kuchomea chipsi
 
yaani mimi hizo aborder sijui ailyon hapana kabisaa....kitu kenwood
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…