Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 73,773
- 102,126
Daddy…
Nimependa hitimisho lako
By the way i miss you!
Miss you more douta, habari za miaka mingi mipya na kokote kule ulipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daddy…
Nimependa hitimisho lako
By the way i miss you!
Niko poa kabisa, namshukuru Mwenyezi Mungu bado naenjoy hewa yake…Miss you more douta, habari za miaka mingi mipya na kokote kule ulipo?
Umejibu kwa hekima sana....Wengi hawana uelewa mkuu, huku wengine ikiwa ni masuala ya bajeti, wengine wanahofu ya kuwanunulia wezi, na wengine mambo ya electronics sio vipaumbele, wengine wana hofu na watoto waharibifu...
hmm, air frier haiwezi kava zote hizi
hata microwave haikavi zote hapo
ila kwa kuchoma kuku frier ndiyo kwake, kukaanga chips frier ndiyo kwake ila kuna namna inabidi uziandae, japo zinatoka kama kaukau vile
kupasha ni microwave as inapasha toka ndani kuja nje