Chukua machine hiyo, inafanya vyote hivyo na chai pembeni kuna jagi
Kuna jamaa humu humu jf aliipost anauzaView attachment 2909003
AsanteKibongobongo brands nzuri ni Kenwood, Nikai, Silver Crest, West Point, nk hiyo Ailyons achana nayo pamoja na Aborder naona watu wengi wanaziponda sana
Sasa umeshasema magari hiyo ni bidhaa ya aina moja, electronics ni industry pana sana ambayo ndani yake ina bidhaa za aina nyingi, mfano feni na jiko ni bidhaa za aina mbili tofauti kabisaKwa io Toyota na utitiri wa magari haifai? Au ni kwa electronics?
Ukisoma box lake wameandika coffee maker, tea and milk. Kama unatengeneza kahawa, inashindwaje kupasha maziwa na maji kwa ajili ya chaiπ
Mzee baba unajua kupamba, hiyo jug pembeni ni coffee maker mzee...
Utagunduaje Kenwood original mkuu make bei yake sawa na hizo aborder.yaani mimi hizo aborder sijui ailyon hapana kabisaa....kitu kenwood
sijawahi ona bei ya kenwood ifanane na aborder mkuu..nunua maduka ya wahindi...mie ndo naendaga huko..Utagunduaje Kenwood original mkuu make bei yake sawa na hizo aborder.
Ukisoma box lake wameandika coffee maker, tea and milk. Kama unatengeneza kahawa, inashindwaje kupasha maziwa na maji kwa ajili ya chai
Mkuu coffee maker sio electric kettle...jinsi inafanya kazi tofauti na namna unavyodhani
Ikiandikwa microwave oven inapasha na kuchoma/kuokaAir fryer itafanya hayo ila naskia kuna microwave zinaweza kuchoma, japo nyingi kazi yake ni kupasha joto.
Unakuta mtu kajenga nyumba nzuri tu, ingia hapo sebuleni kwake sasa ππ tv ukutani aboder,sijui buffer aboder, king'amuzi continental aloohNunua Kenwood original sio yale mafamba ya kichina...
Ukishaona kampuni moja inatengeneza utitiri wa vitu sijui redio, speaker, feni, TV, blender, friji, oven n.k, hiyo si kampuni ya kununua vitu vyake...ndio hao kina Aborder, Mo electronics, Ailyons n.k
Unakuta mtu kajenga nyumba nzuri tu, ingia hapo sebuleni kwake sasa ππ tv ukutani aboder,sijui buffer aboder, king'amuzi continental alooh
kenwood ni boraMissy Gf
Njoo dear nami uniambie oven gani ni Bora kat ya Kenwood na ailyons
microwave oven zinachomaAir fryer itafanya hayo ila naskia kuna microwave zinaweza kuchoma, japo nyingi kazi yake ni kupasha joto.
Kwa hiyo vitu vya Samsung na LG sio vya kuviamini?Nunua Kenwood original sio yale mafamba ya kichina...
Ukishaona kampuni moja inatengeneza utitiri wa vitu sijui redio, speaker, feni, TV, blender, friji, oven n.k, hiyo si kampuni ya kununua vitu vyake...ndio hao kina Aborder, Mo electronics, Ailyons n.k
Shukranikenwood ni bora
Daddyβ¦Kuchoma nyama - Airfryer
Kuchoma kuku mzima - Airfryer
Kuoka chips (sio kukaanga) - Airfryer
Kupasha chakula - Microwave oven na hata Airfryer (ingawaje utakuwa unaichosha)
Kifaa cha kufanya kazi hizo zote unataka, nunua jiko lolote iwe la gesi, umeme, mkaa n.k...
Ukituwekea kapicha tutafurahizipo kibao..ukitaka.itambua kule ndani juu ina bati stainless..lina tundu tundu..zingine ambazo hazichomi juu kuko plain tu
sipo home..ukifungua juu kuna tundu tundu ile ambayo haichom ni plainUkituwekea kapicha tutafurahi
Ukipata furusa naomba unisaidie kapicha niione inawezakuwa msaadasipo home..ukifungua juu kuna tundu tundu ile ambayo haichom ni plain