Microwave oven vs Airfryer ipi Bora kwa kuchoma nyama, kukaanga chips na kupasha chakula

Nikiongelea Chips:
Kukaanga inamaanisha mafuta, ingawa ni unhealthy ila ndio utamu wenyewe na hivyo vyote hapo hakuna ukaangaji..

Aina za mapishi yoyote yana -utofauti wake hata kwenye taste
 
Wengi hawana uelewa mkuu, huku wengine ikiwa ni masuala ya bajeti, wengine wanahofu ya kuwanunulia wezi, na wengine mambo ya electronics sio vipaumbele, wengine wana hofu na watoto waharibifu...
Umejibu kwa hekima sana....
 

Ikiwa kubwa weka kifaa cha bati chenye maji chini!! Mvuke unafanya isiwe kau kau.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…