President Elect
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 693
- 212
Midahalo ya Katiba Inayopendekezwa inaendelea saa hizi katika kumbi za makanisa kadhaa! Taarifa zilizonifikia kutoka sharika mbalimbali, vijana wameitisha makongamano kujadili katiba pendekezwa na wamealika wanasheria wasomi kutoa somo na kuwaelewesha yaliyomo!
Kwa uchache wa nakala za katiba pendekezwa zilizombazwa na serikali, hii ni fursa nzuri kwa washarika kuifahamu katiba inayopendekezwa, kabla ya upigaji wa kura ya maoni.
Wito kwa ndugu zetu waislam nao wapate midahalo ya aina hii kama ilivyo kwa wenzao wakirsto!
Kwa uchache wa nakala za katiba pendekezwa zilizombazwa na serikali, hii ni fursa nzuri kwa washarika kuifahamu katiba inayopendekezwa, kabla ya upigaji wa kura ya maoni.
Wito kwa ndugu zetu waislam nao wapate midahalo ya aina hii kama ilivyo kwa wenzao wakirsto!