Dragunov Sniper
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 2,795
- 9
`wewe ukiwa mjinga usidhani wote ni wajinga kama wewe. Huna mawazo huru nyamaza au endelea kula mpunga unaolipwa
Mwakaboko nakuonea huruma inabidi uombewe nahisi una mapepo unawaza hela muda wote huna hata chembe ya uzalendo ndani yako inaelekea huko nyuma uliwahi kudhulumu au kuiba pesa ya mtu na kama sio kipindi cha nyuma unadaiwa maana akili yako imekaa kaa kupiga dili,wewe sio mtu wa kawaida kwenye jambo la msingi la maisha ya watu wewe unawaza hela ama kweli dunia inaelekea ukingoni!