Midahalo ya Katiba Inayopendekezwa inaendelea saa hizi katika kumbi za makanisa kadhaa

Midahalo ya Katiba Inayopendekezwa inaendelea saa hizi katika kumbi za makanisa kadhaa

nimeipenda avatar yako yenye bendera ya Tanganyika. Awali nilidhani tuko wachache, kumbe tunaotaka Tanganyika irudi katika enzi yake tuko wengi!!!


Mtu ambaye hajaisoma katiba pendekezwa utamjua tu, kazi kupenda Avator, monor things!!! wewe Tanganyika unaijua wewe???? au unaongea kwa ushabiki? usijifariji bado mko wachache tena wewe ni mchumiatumbo unayeitaka Tanganyika usiyoijua na hata nikikuambia unipe origin ya neno Tanganyika utabaki kulamba sharubu unashangaa!
 
Hivi wewe unayejiita Rais Mtarajiwa unataraji kuwaongoza watu gani na kwa katiba ipi. Pole kama na wewe uko kwenye mamilioni ambayo hayabahatika kuisoma Katiba inayopendekezwa njoo nikupatie nakala. Kwa nini unakuwa king'ang'anizi kwamba Katiba Ikataliwe. Kwa nini usiwe flexible na ukawaacha watu wasome kisha wafanye uamzi sahihi. Una shida wewe. Sijui nyumbani kwako au mtaani kwako unaishije na watu pale unapotoa wazo likakataliwa. Unatamani ujifiche mwezi mzima au ufanye kama ya wahehe akina Mtwa Mnyigumba Mkwawa. Lakini ninachokupendea una msimamo kama wa Adolph Hitler na Benito Mussolini. Sijui Mhe. Rais Mtarajiwa hao watu nilikutajia unawafahamu!!!
 
Mtu ambaye hajaisoma katiba pendekezwa utamjua tu, kazi kupenda Avator, monor things!!! wewe Tanganyika unaijua wewe???? au unaongea kwa ushabiki? usijifariji bado mko wachache tena wewe ni mchumiatumbo unayeitaka Tanganyika usiyoijua na hata nikikuambia unipe origin ya neno Tanganyika utabaki kulamba sharubu unashangaa!
wewe ukiwa mjinga usidhani wote ni wajinga kama wewe. Huna mawazo huru nyamaza au endelea kula mpunga unaolipwa
 
wewe hujitambui, ni vema ungeisoma ukaangalia kati ya hayo uloyataja hapo yamo? Yako sehemu gani? Acha kudanganya watu bhana, kuwa mzalendo.
Kumbe na wewe umo kwenye orodha ya waongo, niliyoyataja hayamo kabisa, Wenye nchi hawataki kabisa kuyaona maana yana.... ila wewe endelea kula mshahara wako
 
Source: BBC 23/03/2015
Katika Dira TV Usiku huu, rambi rambi pamoja na salamu za kumuenzi mwasisi wa taifa la Singapore Lee Kuan Yew aliyefariki dunia jana akiwa na umri wa miaka 91. Aliongoza mabadiliko katika Singapore kutoka nchi ndogo maskini hadi ikawa mojawapo ya mataifa tajiri duniani. Swali ni : Je kwa nini hilo halijawezekana katika mataifa ya bara la Afrika?
 
Kumbe na wewe umo kwenye orodha ya waongo, niliyoyataja hayamo kabisa, Wenye nchi hawataki kabisa kuyaona maana yana.... ila wewe endelea kula mshahara wako

Wewe punguani, hujitambuiu, umekalia uwongo, humdanganyi mtu hapa!! kojoa ulale.
 
source: Bbc 23/03/2015
katika dira tv usiku huu, rambi rambi pamoja na salamu za kumuenzi mwasisi wa taifa la singapore lee kuan yew aliyefariki dunia jana akiwa na umri wa miaka 91. Aliongoza mabadiliko katika singapore kutoka nchi ndogo maskini hadi ikawa mojawapo ya mataifa tajiri duniani. Swali ni : Je kwa nini hilo halijawezekana katika mataifa ya bara la afrika?

muulize huyo marehemu lee kuan yew huenda akakupa siri ya mabadiliko nchini singapore.
 
muulize huyo marehemu lee kuan yew huenda akakupa siri ya mabadiliko nchini singapore.
kweli wewe kiazi, umeshasahau mara hii. Mwalimu Nyerere alisema nini ili tuendelee tunahitaji nini? akajenga viwanda, leo tumeviua kwa elevi tu, akajenga banki tukaiua kwa ulevi tu. Leo kilio kila kona, Lee alikuwa hacheki na nyani shambani. I Like his leadership styles, kuwa dictator nchi isonge mbele
 

Wewe punguani, hujitambuiu, umekalia uwongo, humdanganyi mtu hapa!! kojoa ulale.
Wewe ni kiazi, tena ni mtumwa wa watu, hauko huru unahitji kukombolewa kifikra, Pole. endelea na upuuzi wako, kaburi lako likuja pigwa viboko na wanao kwa sababu ya kufanya maamuzi ya hovyo hovyo. If you are a woman, you are a bad mother and in case you are a man you are a bad father
 
wewe ni kiazi, tena ni mtumwa wa watu, hauko huru unahitji kukombolewa kifikra, pole. Endelea na upuuzi wako, kaburi lako likuja pigwa viboko na wanao kwa sababu ya kufanya maamuzi ya hovyo hovyo. If you are a woman, you are a bad mother and in case you are a man you are a bad father

and the vice versa is true to youuuuuu cockroach traitor!!!
 

and the vice versa is true to youuuuuu cockroach traitor!!!
Hata kule Rwanda wale wauaji walitumia lugha hiyo ya degrade watu mpaka katika level ya wadudu, ili wafanye ubazazi wao ambao nawe sasa unaujua. Who knows labda ndiyo mnafanya maandalizi!!! But that strategy won't work in our beautiful and glorious nation. The candle lit at Calvary is taking care this nation... no matter how long you sons of darkness struggle to ruin our glorious nation.. God is in charge, We will cross the river full of hungry crocodiles safely. You are a disgrace to the nation, you better shut up

Wewe sio mzalendo kwa nchi yetu
 
heri yako wewe umebahatika kuisoma, mamilioni ya watanzania hawajaiona wala hawaijui rangi yake, na hawataiona hiyo Katiba pendekezwa hadi siku ya kupiga kura ya maoni, tena si kwa bahati mbaya bali ni mkakati maalum wa watawala kutumia kanuni ya 'wajinga watawale'


Wew President Elect inaelekea ni kiongozi wa wajinga wewe haiwezekani huelewi copy ya katiba Pendekezwa unayo lakini hutaki kuisoma sasa utaelewa saa ngapi afu unapiga kelele mkakati maalum upi huo?kusoma husomi unakalia kubwata jiheshimu bhana.
 
Katiba itatusambaratisha WATZ panahitajika viongozi makini na wenye kujali nchi na watu wake.


Utasambaratika mwenyewe usiyejielewa!!! kikubwa isome uielewe kisha fanya maamuzi sahihi ya kuipigia kura ili msingi uliowekwa na waasisi wa taifa letu uendelee kulindwa.
 
Katiba pendekezwa is for corrupt leaders. Period



Mangola umefirisika brain yako tupishe huko huna jipya, acha dharau kwa watanzania corrupt mwenyewe na unajua wazi Katiba Pendekezwa itakushughulikia maana hutaki kujishughulisha umezoea shortcut!!!
 
Tutaona na kusikia mengi mwaka huu kuliko ya Gwajima na Pengo !
Tuvute muda mpaka wiki la Pasaka; lenye jumbe kwa taifa.
 
Hongera kwa kwenda kwenye nyumba ya ibada, Mchungaji ni binadamu anaweza kuipelekea nchi yetu na wananchi kupata elimu ya bure ambayo inawaelekeza kwenye mawazo yake. Wanzania tuwe watu wa kuwahoji hawa wanaoleta porojo zao. Watanzania tumeamua rasmi na kwa dhati kujenga katika nchi yetu jamii inayoheshimu na kuzingatia misingi ya utu na udugu, uhuru, kujitegemea, haki, usawa, amani na utulivu, umoja na mshikamano katika nyanja zote za maisha yetu. Tunaamini kuwa misingi hiyo inaweza tu kutekelezwa katika jamii yenye mfumo wa demokrasia na misingi ya utawala bora ambayo Serikali yake inasimamiwa na Bunge lenye Wabunge waliochaguliwa na wanaowakilisha wananchi. Ungana na Watanzania kutimiza azma ya kupa Katiba Mpya.

Small brain nyambafu i have wasted my time to read ur thread with the hope nitapata point kumbe kichwani mweupe ungetwambia what to do maana wengine hatujui nini kipo kwenye hiyo katiba bora maaskofu ambao wamebainisha mapungufu na kutuelekeza kondoo wao what to do...
 
  • Wee PResident elect acha uongo wako mkakati unaousema ni kwa ajili ya Nani? HivI unapowasemea watz huoni Kama unawadharirisha? Eti Hawajui hata rangi ya KAtiba inayopendekezwa acha uongo Kama hujasoma ni wewe acha kupotosha umma wewe.
 
simple arithmetics: nakala milioni mbili kwa watanzania wenye haki ya kupiga kura zaidi ya milioni 16? afisa mtendaji wa kata yenye wakazi wenye umri wa kupiga kura zaidi ya elfu nane anapewa nakala 200 tu, amgawie nani amwache nani?

wananchi tunaburuzwa kama wajinga limbukeni kwa maslahi ya nani?

na sasa natamka wazi, kila mzalendo mwenye uchungu na taifa letu asiwe muoga kusema HAPANA!!! IMETOSHA!! KWA MANENO NA VITENDO, KATIBA PENDEKEZWA = HAPANA... HAPANA...HAPANA!!!!!
 
Back
Top Bottom