Midahalo ya Katiba Inayopendekezwa inaendelea saa hizi katika kumbi za makanisa kadhaa

wewe ukiwa mjinga usidhani wote ni wajinga kama wewe. Huna mawazo huru nyamaza au endelea kula mpunga unaolipwa
`

Mwakaboko nakuonea huruma inabidi uombewe nahisi una mapepo unawaza hela muda wote huna hata chembe ya uzalendo ndani yako inaelekea huko nyuma uliwahi kudhulumu au kuiba pesa ya mtu na kama sio kipindi cha nyuma unadaiwa maana akili yako imekaa kaa kupiga dili,wewe sio mtu wa kawaida kwenye jambo la msingi la maisha ya watu wewe unawaza hela ama kweli dunia inaelekea ukingoni!
 


Wewe mwenyewe na cheo chako cha bandia huna hata chembe ya uzalendo, haiwezekani uwaze kuligawa taifa na kwa taarifa yako nikufahamishe Tanzania ya sasa haina waoga mfumo wa vyama vingi umeshawaondoa waoga wewe kila mtu yuko huru anajua anachokifanya sasa wewe unapowahamasisha watu kukataa kupiga kura eti wasiwe waoga sikuelewi wewe ndio muoga unatafuta huruma wenzako hatuna chembe hata moja ya woga tunajielewa sisi tutaenda kupiga kura!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…