Midahalo ajabu mtu mwingine utasikia Ohhh ifanyike kingereza kwa Nini isiwe kwa kifaransa? Lugha kuu zinazoongoza duniani Ni kingereza na kifaransa kwa Nini wengi wakomae kutaka kingereza tu?
CCM tungekuwa hoja hatuna tusingekuwa tunashinda chaguzi!!!Sababu hasa ya ccm kukimbia midahalo ni uwezo duni wa viongozi wao kwenye kujieleza kwa hoja.
1995 ulikuwa uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi tukiiga mataifa ya nje kila kitu Mkapa hakuwa na uzoefu
Vyama vingine mkitaka fanyeni Ruksa CCM hatutashiriki
Mdahalo si lazima kila chama kishiriki kiwe CCM au chochote
Binafsi natoa ruksa vyama vyote vinavyotaka mdahalo ruksa nendeni mkafanye ila CCM hatutashiriki . Mdahalo Ni kitu Cha hiari sio amri kuwa utake usitake lazima ushiriki!!
Vyama vingine endeleleeni kuitisha huo mdahalo ila CCM mtutoe nyie ruksa endeleeni as long as mna pesa za kulipia media
Ukweli mchunguHuo mdahalo utakua kwa lugha gani?maana hata kiswahili hatujui ..tunaongea kama tunakimbia moto
CCM tungekuwa hoja hatuna tusingekuwa tunashinda chaguzi!!!
CCM huwa hatutaki midahalo ya wagombea Uraisi sababu wapiga kura wengi asilimia 80 wanaishi vijijini na wengi hawana TV Wala Radio Wala mitandao ya kijamii tofauti na ulaya na Marekani hata hao wa mjini Ni wachache Wana TV na Radio na huingia mitandao ya kijamii
Na Ni useless sababu wengi wenye TV na waingia mitandao ya kijamii huwa hawaendi kupiga kura huwa wako tu majumbani wanafuatilia uchaguzi wakiwa kwenye sofa set zao!!
CCM tunaenda waliko wapiga kura ndio maana ofisi za CCM ziko kila Kijiji na kila mtaa na ziko active tofauti na vyama vingine
Magufuli ataburuza mkia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], na hatakuja ng'ooo Kwenye mdahaloNyani Ngabu,
Hii hoja yako Ina mashiko.
Mie nashauri mdahalo uwe wa Kiingereza ili kuwapa viewers wote including foreigners kujua Tanzania inaweza kuongoza na mtu mwenye uelewa wa maswala kwa kiwango gani....!!!
1995 nilishuhudia mdahalo huo na kiukweli Marehemu Mkapa was the right candidate.
Mwaka huu wa 2020 nategemea kuona list ifuatayo kwenye Mdahalo huo:
Angalizo kwa waandaji :LUGHA NI UNG'ENG'E.
- John Pombe Magufuli...CCM.
- Bernad Callius Membe....ACT.
- Tundu Antipas Lissu-CHADEMA.
- Ibrahim Haruna Lipumba- CUF.
Umemaliza kila kitu mkuu, Magufuli Hana ushawishi na hawezi mdahaloSababu hasa ya ccm kukimbia midahalo ni uwezo duni wa viongozi wao kwenye kujieleza kwa hoja. Kama kweli ccm inamini watu wengi wa vijijini hawapati taarifa kwa njia hizi, ni kwanini Magufuli kila kitu anafanya mubashara kwenye Media zote? Ukijaribu kuangalia kuhusu kuwepo Mubashara, Magufuli ndio kiongozi aliyekuwa mubashara kuliko kiongozi yoyote aliyewahi kuwa rais wa nchi hii. Na iwapo hatatokea kwenye mdahalo wa safari hii, ni kwa sababu hana uwezo wa mijadala, bali anaweza sehemu za kuhubiri na kuamrisha fullstop.
Huo mdahalo utakua kwa lugha gani?maana hata kiswahili hatujui ..tunaongea kama tunakimbia moto
Kabisa!1995 nilishuhudia mdahalo huo na kiukweli Marehemu Mkapa was the right candidate.
Hakika nakwambia kamwe jiwe hawezi na wala hatakubali kusimama kwenye mdahalo na mtu yeyote yule, unataka aumbuke mchana kweupe?Mwishoni mwa juma lililopita nilileta mada hapa jukwaani kuhusu Rais wa zamani wa Afrika Kusini, Bw. Thabo Mbeki, alivyomkumbuka hayati Rais mstaafu Benjamin Mkapa.
Kwenye bandiko hilo, nami nikatoa maneno mawili matatu kumhusu Rais huyo mstaafu Mkapa, kwa jinsi nilivyomjua mimi, kiumbali.
Moja ya mambo niliyoyakumbuka ni ule mdahalo wa wagombea urais wa mwaka 1995 ambapo ndo ulikuwa uchaguzi wa kwanza katika kurudi kwenye mfumo wa vyama vingi.
Nilisema hivi kuhusu ushiriki wa Rais Mkapa kwenye huo mdahalo:
View attachment 1522615
Hilo bandiko linapatikana hapa.
Siku chache baadaye, mwenzetu Bw. Pascal Mayalla akaleta makala ya January Makamba, ya kumkumbuka marehemu rais huyo mstaafu.
Moja ya mambo ambayo Bw. Makamba aliyazungumzia, ulikuwa ni ule mdahalo wa wagombea urais wa mwaka 1995, mdahalo ambao nadhani ndiyo uliomtambulisha vizuri Rais Mkapa kwa umma wa Watanzania.
Katika kumbukumbu yangu, mimi nilisema Rais Mkapa alifanya vizuri sana kwenye huo mdahalo. Licha ya kwamba hakuna kipimo sahihi cha kupima na kuona yupi alishinda, kwa maoni yangu, Rais Mkapa alishinda mdahalo ule.
Na kwa maoni pia ya January Makamba, nadhani ni sahihi pia nikisema hata yeye January aliona kuwa Mkapa alishinda.
Yeye Bw. Makamba alisema hivi:
View attachment 1522626
Kusoma zaidi alichokiandika Bw. Makamba, bofya hapa.
Tokea mwaka huo wa ‘95, nadhani hatujawahi tena kuwa na mdahalo wa kitaifa wa wagombea urais.
Ningependa sana mwaka huu wa uchaguzi tuwe na mdahalo wa wagombea hiyo nafasi. Ila, sitashikilia pumzi yangu kusubiri hilo kutokea.
Lakini pia, nimeona si vibaya kuleta ombi/ wazo hili hapa.
Ombi ama wazo lenyewe ni kuipata video ya mdahalo wa ‘95.
Nimezunguka sana mtandaoni na huko YouTube, lakini nimeambulia patupu.
Pascal Mayalla wewe ni mwandishi wa habari wa muda mrefu. Naamini bado una uhusiano na watu waliomo kwenye vyumba vya habari vya vyombo vya habari hapa.
Sikumbuki vizuri ni stesheni zipi za runinga ambazo zilirusha matangazo ya ule mdahalo. CTN? ITV? DTV? Radio One labda?
Sasa Bw. Mayalla, unaweza kutumia uzoefu na nyenzo zako ulizonazo kututafutia video [au hata audio] ya huo mdahalo?
Mimi si muangaliaji sana wala si mfuatiliaji sana wa stesheni za runinga za hapa Tanzania. Ila kama kuna stesheni ambazo labda zina chaneli huko kwenye YouTube, zinaweza kuipandisha video ya huo mdahalo kwa faida ya umma.
Kama inawezekana, tusaidie Bw. Mayalla...
Shukran jazilan na ahlan wa sahlan.
Kwahiyo huo umeme wa REA huko vijijini mnapeleka wa kazi gani??CCM huwa hatutaki midahalo ya wagombea Uraisi sababu wapiga kura wengi asilimia 80 wanaishi vijijini na wengi hawana TV Wala Radio Wala mitandao ya kijamii tofauti na ulaya na Marekani hata hao wa mjini Ni wachache Wana TV na Radio na huingia mitandao ya kijamii
Na Ni useless sababu wengi wenye TV na waingia mitandao ya kijamii huwa hawaendi kupiga kura huwa wako tu majumbani wanafuatilia uchaguzi wakiwa kwenye sofa set zao!!
CCM tunaenda waliko wapiga kura ndio maana ofisi za CCM ziko kila Kijiji na kila mtaa na ziko active tofauti na vyama vingine
Kwahiyo huko vijijini kuna na Viwanda ila radio au TV hawana??Sio kwa ajili ya computer na laptop nk Ni kwa ajili ya taa na mashine za kusaga na viwanda
Aumbuliwe kivipi sasa?Nadhan we Nyani unataka bwana yule aumbuliwe haitokuja tokea hilo kamwe
Kabla ya hapo watu wengi walikuwa wanadhani Mkapa ni ‘lightweight’ kwa sababu bungeni hakuwa mchangiaji machachari wa hoja.Naukumbuka mdahalo wa 1995
Mwamba Benjamin Mkapa na Lipumba walitisha
Mrema hakuwa na sera wakati Mzee Cheyo aliingia kautwika