Midume kunapiga picture na kuanza kuiedit na kuweka madoido, huu ni ushamba au ulimbukeni?

chavalla

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2017
Posts
451
Reaction score
354
Natiririka na hii Mada kidogo

Unakuta midume kabisa unapiga picture na kuanza kuiediti na kuweka madoido. huu ni ushamba au ulimbukeni mnatafuta uziri au? mingine unakuta inatumia kabisa switie selfie kuilemba hiyo pc hivi ukisimamishwa na wanaume ukatongozwa utalaumu? hasa Ninyi wanaume wa dar ndo kazi yenu kushinda saloon na kufanya sijui wanaita nini ile! mwili uso unakuwa kama mrembo.

Acheni ulimbukeni. kuwaridhisha wake zenu mmeshindwa kazi iliyobaki ni kujilemba tu. elimikeni basi mnachekwa na mademu zenu. povo ruksa mi naoshia hapo. nawakilisha hoja.
 
 
"Kila mtu anafanya roho ile kitu napenda" Nadhani ndio mambo ya mjini hayo vitaulo havizuiliki
 
Ujumbe mzuri ila umeuharibu kufanya generalization kwa wanaume wa dar!
wa dar ndo wanaongoza mara nyingi nikitembelea huko nikijaribu kwenda saloon zao mpaka naonaga kichefu utasikia masag mara uso sijui kufanya nini pumbavu sipendagi ujinga huo[emoji23][emoji23]
 
Mbona mimi hayo mambo sifanyi chief na nipo DSM? Ni kweli kuna watu wanafanya ila sio wote. Lakin pia huduma za kusafisha uso(FACIAL SCRUB) na MASSAGE ni maamuzi ya mtu.
 
wa dar ndo wanaongoza mara nyingi nikitembelea huko nikijaribu kwenda saloon zao mpaka naonaga kichefu utasikia masag mara uso sijui kufanya nini pumbavu sipendagi ujinga huo[emoji23][emoji23]
.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…