Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
WWE Kuna watu wanajiita "the authority",hawa jamaaa wanafanya chochote wanacho kitaka, Randy alitolea nje ya mchezo Kama miezi minne hv.
kuna siku walimuita Randy ili wamsilimishe na awe kwenye chama lao...hah hah hah dah Randy akakinukisha palepale baada ya kumpiga seth rolins RKO...ebana HHH alimmaind ile mbaaya