Mieleka: Mwanamieleka afariki Dunia katika pambano

Mieleka: Mwanamieleka afariki Dunia katika pambano

WWE Kuna watu wanajiita "the authority",hawa jamaaa wanafanya chochote wanacho kitaka, Randy alitolea nje ya mchezo Kama miezi minne hv.


kuna siku walimuita Randy ili wamsilimishe na awe kwenye chama lao...hah hah hah dah Randy akakinukisha palepale baada ya kumpiga seth rolins RKO...ebana HHH alimmaind ile mbaaya
 
Namzimikia mwanadada stefan macmahon ni mbabe kinoma,ahh vince macmahon ananikosha tu anavyorushaga miguu yake anapoingia ulingon hahaaaaa hao ndio the ausoritee


hah hah hah hah halafu ana bonge la sautiiii...
ila ni muoga hatari
 
Kuna watu ni wagumu kukubal kushndwa hata umbane vip hawezi ku tap out, Cena na Undertaker ni miongoni mwao, Cena anapendewa ujasiri, good heart kama hero vile, lakini hana mapigo makali.


na kiburi chake Cena alipokea Batista Bomb mwenyewe akaomba maji na kukubali kichapo.
wrestlemania ya mwaka juzi alichapana na the Rock, dah lile ndio pambano langu boora kabisa la mieleka likifuatiwa na pambano la semi final ya survival series iliofanyika novemba 23 mwaka 1998 kati ya the rock na Keny Shemrock
 
Yaa, siku hizi namuona kwenye uongozi, ila bado akiona upande wake aliotaka ushinde unalemewa, huwa anaingilia.
Nilikuwa nampenda Show stopper na uvumilivu wake, akitoa the heart break kick, hata uwe njemba kiasi gani, lazima ukae!


sweet chin music...
 
Mkuu huyu jamaa hakuwahi kumpiga Rancy Orton kwenye wrestlemania moja hivi. Nakumbuka ilikuwa ni baada ya kifo cha rafiki yake Eddy Guerrerro, Rey Akavaa kitambaa kimeandikwa I have Done This for Eddy [RIP].

kiboko ya RKO alikuwa ni Edge, alikuwa hachomoki

hakuna mwenye uwezo wa kuchukua mkanda kwa Lesner labda kwa mipango ya 'authority', Seth a cash-in

WWE sasa imekuwa maigizo sana
 
kuna siku walimuita Randy ili wamsilimishe na awe kwenye chama lao...hah hah hah dah Randy akakinukisha palepale baada ya kumpiga seth rolins RKO...ebana HHH alimmaind ile mbaaya

Ngoja WrestleMania ije, ya jumatatu, ndio ulikuwa kali, Seth alimtega Randy, ghafla sting aliingilia kati, wakaisoma number.
 
Mdau randy amerudishwa tyt,na wakatag team na seth against roman na mzee wa yes yes yes,waliibuka kidedea kina roman reigns ofcoz,nampenda sn roman reigns

Roman Reigns, fear the spear, believe that, jamaa Yuko fiti, ila hajui kuongea.
 
mimi huwa namkubali sana Roman Reins.. Ila hiyo mieleka ni usanii mtupu.
 
waliokua wanasema hii michezo ni fake nilikua nawashangaa sana. Mimi mfwatiliaji mzuri wa hii michezo hasa kwenye wwe network.
 
Bob Leshley naye yupo wapi siku hizi. Huyu ndiye angewezana na Lesner. Stone Cold Steve Austin namkumbuka sana enzi hizo wakipambana na the Rocky.

WWE Wrestlemenia 31 block Reasner lazima akae mbele ya mkali Roman Reigns mzee wa sphere na ngumi jiwe. I hate Setth Rollins, Kene, yule Mrusia Reserve, Brock HHH. Wapo vizuri sana D. Ambrose, Seagwer, kijana wa Shon mickael Yes! Yes! Yes! J. Cena,

Hivi hiimichezo ni ya kweli au kuna some editing inafanyika kabla ya kurushwa kwa tv?
 
Wadau, WWE miaka ya 1990-2000 kulikuwa na mbabe mmoja akiitwa Goldberg, alikuwa mfupi, nunda na mbisbi. Alikuwa anatema mate kama cobra. Yuko wapi huyo jamaa?

Vv
 
Vin sio pro wrestler ni promoter tu na zaidi ni CEO wa WWE...

Ukimuona au ulivyokuwa ukimuona jukwaani ilikuwa ni sehemu ya script tu za episodes za wakati huo kunogesha stori...

Kama enzi zile za Hulkmania, hata wakati wa Stone Cold, wakati wa uhasama ule wa Umaga vs Bob Lashley etc

umekosea mkuu,vince mcmahon ni chairman of the board of wwe na pia ni mmiliki kamili wa wwe,ceo wa wwe ni mkewe linda mcmahon
 
Bob Leshley naye yupo wapi siku hizi. Huyu ndiye angewezana na Lesner. Stone Cold Steve Austin namkumbuka sana enzi hizo wakipambana na the Rocky.

bobby lashley anapigana tna wrestling lakini pia ni mixed martial artist ambaye yupo kwenye mkataba na mma
 
WWE Wrestlemenia 31 block Reasner lazima akae mbele ya mkali Roman Reigns mzee wa sphere na ngumi jiwe. I hate Setth Rollins, Kene, yule Mrusia Reserve, Brock HHH. Wapo vizuri sana D. Ambrose, Seagwer, kijana wa Shon mickael Yes! Yes! Yes! J. Cena,

na ndio plan iliyopo unless jamaa asaini mkataba mpya,wretlemania na raw after wrestlemania ndoa ataappear because mkataba wake unaisha tarehe hiyo
 
WWE Kuna watu wanajiita "the authority",hawa jamaaa wanafanya chochote wanacho kitaka, Randy alitolea nje ya mchezo Kama miezi minne hv.

randy alikuwa ameumia kistoryline tu but in reality alikuwa amepewa time off to shoot a movie the condemned.
 
Back
Top Bottom