Mieleka: Mwanamieleka afariki Dunia katika pambano

Mieleka: Mwanamieleka afariki Dunia katika pambano

Kuna mbabe anaitwa Great Khalid huyu alikuwa anashika kichwa cha mpinzani wake anakiminya mpaka jamaa analainika na kuanguka chini. Triple H na wenzake iliwakuta.
The Great Khali, jitu kubwa sijui lipo waapi siku hizi.
 
Ni HHH huyo huyo ndo alimnyima mkataba eti amekwisha na haiingizii kampuni chochote zaidi ya hasara.

triple h alikuwa na maana great khali alikuwa ameachwa mda mrefu wwe kwa sababu ya popularity yake india tu hence for indian market,hakuwa na uwezo wa kuput gud match bcoz of his size,hawezi kutoa promo nzuri na alikuwa liability so wwe waliangalia wakaona hawawezi pata faida nae na anapeta hela ya bure na ndo maana wameachana nae
 
hawa hawana uhasama mkuu,ile ni storyline tu ambayo wwe wameitengeneza,storyline(kayfabe) ni matukio yapangwayo kwenye mieleka kama vile ni real wakati sio

Nafahamu mkuu kuwa matukio na matokeo ya mieleka hupangwa ili kufanya muendelezo na kuvutia zaidi watazamaji (ppv)...

...ukiangalia you tube podcast ya stone cold steve austin aliyomuhoji vince mcmahon(the man) in wwe,vince mcmahon alisema kwamba ni yeye ndie aliyeamua streak iishe,na undertaker bcoz anamuheshimu mno brock lesnar akakubali kupigwa nae.

Bila shaka unaizungumzia podcast ya Stone Cold na Vin waliyoifanya Tulsa OK baada ya Royal Rumble...
 
Nafahamu mkuu kuwa matukio na matokeo ya mieleka hupangwa ili kufanya muendelezo na kuvutia zaidi watazamaji (ppv)...



Bila shaka unaizungumzia podcast ya Stone Cold na Vin waliyoifanya Tulsa OK baada ya Royal Rumble...

hapana mkuu,hii ilikuwa mwaka jana disemba na ilifanyikia denver colorado
 
Hivi ndio kashuka daraja au kachagua tu kwenda huko?

hiyo ni independent promotion tofauti na wwe,ingawa haipo levo za wwe,so in terms of money and better opportunities tna ni kujishusha kwake
 
Kuna mbabe anaitwa Great Khalid huyu alikuwa anashika kichwa cha mpinzani wake anakiminya mpaka jamaa analainika na kuanguka chini. Triple H na wenzake iliwakuta.

Yul Punjabi, Batista,John Cena waliwahi toa lile pigo. Huyu dawa yake ilikuw punch ya big show kwisha kazi. He is big n stronger bt hawez kuvumilia sana, akibanwa vilivyo kidgo tu ana tap out
 
WWE kwangu imepoteza ladha kabisa maigizo mengi sana na ya wazi bora miaka ya WCW.
 
Mm nilikua najua wale majamaa huwa wanaigiza kumbe wanagongana live hadi wanauwana
 
Back
Top Bottom