Mieleka: Mwanamieleka afariki Dunia katika pambano

Mieleka: Mwanamieleka afariki Dunia katika pambano

mkuu umenikumbusha Chris Benoit na Umaga

huyu Lesner ana nguvu sana.

hivi Vince Mcmahon huwa anacheza au huwa analeta tu burdani ulingoni? Nakumbuka zamani alikuwa mchezaji lakini akavunjika miguu kama sikosei na ndiye mmiliki wa WWE.

Lesner baada ya kutoka wwe way back alienda kupigana UFC na anabonda si polepole
 
Content ya habari na tetesi ulizopost ni tofauti.
 
na kiburi chake Cena alipokea Batista Bomb mwenyewe akaomba maji na kukubali kichapo.
wrestlemania ya mwaka juzi alichapana na the Rock, dah lile ndio pambano langu boora kabisa la mieleka likifuatiwa na pambano la semi final ya survival series iliofanyika novemba 23 mwaka 1998 kati ya the rock na Keny Shemrock

The animal ni mtu hatar sana haifai kumuuzi huyu mtu kabisa. Kun kipi Rey alimess up with him, wakachez I QUIT MATCH, REY alitegeliw mguu alipigw viti hatari.
Match nzuri akutane BATISTA na DEAD MAN the Undertaker
 
"You can't see me" sio pigo kali, Umenikumbusha pigo moja hatari sana linaitwa "SPEAR" la Goldberg, alikuwa akikupa hii game over, na Kurt Angle akishika mguu wako una-tap out, Benoit (R.I.P) akikushika kichwa una-tap out!
Rey Mysteria ana pigo lake linaitwa 619, yawezekana ndo limemmaliza huyu aliyefariki.

U cnt see ipo predictable sana, may be ile ya kumfany mtu a tap out, n ile kaichukua kwa Benoit.
Goldbeg aliwah wekewa chuma tumbona na HHH ile anapig spear akakutan nayo, 619 Pigo linaonekan kama mchezo bt linaefect kubwa aisee, Kurt Angle mzee wa Olimpic anakutegua ankle yule na yupi strong ila mwili mdgo....Nime mkumbuka UMAGA kinomaaa
 
Yaa, siku hizi namuona kwenye uongozi, ila bado akiona upande wake aliotaka ushinde unalemewa, huwa anaingilia.
Nilikuwa nampenda Show stopper na uvumilivu wake, akitoa the heart break kick, hata uwe njemba kiasi gani, lazima ukae!

Shawn Michael ni mgumu kukubal Defeat just like Hogan, HBK ni piga moja huamki lile
 
Haha mm nataka wakutane kwenye Cage

hiyo ni kweli mkuu,brock lesnar ni legitimate tough guy ukitoa na wwe kumportray hivyo,alipigana ufc ambao ni mchezo wa kweli ukilinganisha na mieleka ambao ni sports entertainment na akawa bingwa wao wa uzito wa juu,kama isingekuwa ugonjwa wa diverticulitis asingerudi wwe.ingawa batista naye ni tough guy sema alipigana mechi moja tu mma so hakuprove kuwa ni tough sana
 
Lesnar ni pro wrestler na alikuwepo WWE akiwa mdogo akiwa na miaka ishirini na kadhaa...

Baada ya hapo akaachaba na mieleka akahamia upande wa mchezo wa ngumi na mateke UFC...

Then akatoka huko na kurudi WWE lakini kwa contract ya kutokea nyakati maalumu tu...

Ana uhasama mkubwa mno na The Undertaker na ulianza zamani kabla hata hajaondoka WWE kwenda UFC...

Alivyorudi ndio wakamalizana na 'The Deadman walking' kwa mtanange wa Wrestlemania 30 na akaivunja ile rekodi ya kutopigwa kwa The Undertaker

hawa hawana uhasama mkuu,ile ni storyline tu ambayo wwe wameitengeneza,storyline(kayfabe) ni matukio yapangwayo kwenye mieleka kama vile ni real wakati sio,na ile confrontation ya ufc pia ilikuwa ni part of the storyline,ukiangalia you tube podcast ya stone cold steve austin aliyomuhoji vince mcmahon(the man) in wwe,vince mcmahon alisema kwamba ni yeye ndie aliyeamua streak iishe,na undertaker bcoz anamuheshimu mno brock lesnar akakubali kupigwa nae.
 
Wadau, WWE miaka ya 1990-2000 kulikuwa na mbabe mmoja akiitwa Goldberg, alikuwa mfupi, nunda na mbisbi. Alikuwa anatema mate kama cobra. Yuko wapi huyo jamaa?

Vv

sasa hivi amestaafu mieleka,ila profession yake kwa sasa ni muigizaji
 
Tripple H alikuwa anakaza sana kipindi kile cha DX pemben akiwa na mzee Heart break kick show stoper Shawn Michael, ila sasa kapewa uongozi kawa laini

huyu jamaa triple h amepewa shavu sasa hivi ndo executive vice president of talent/live events/creative,yeye ndo anaisimamia nxt,sasa hivi amekuwa mtu wa mechi moja moja za kuwaput over mastaa kama vile sting na daniel bryan.
 
Mkuu mimi ni mpenzi sana wa mieleka na nimekuwa nikiangalia kuanzia WWF, WWE na TNA. Lakini huwa kusema kweli nashindwa kuelwa hiyo falsafa ya action is fake but the pain is real. Hivi kwa mfano wakati Rey anawaweka kwenye kamba wale wapinzani wake na kuwapiga double kick, huwa ni fake?
Kitu kingine ambacho huwa kinanishangaza ni kwamba kila mchezaji ana namana yake ya kumaliza pambano.

mkuu,wwe au tna au any other professional wrestling organization ni sports entertainment,maana ya sports entertainment kiufupi ni kuwa action(mechi) inayochezwa inatayari imeshapangwa jinsi itakavyokuwa kuanzia moves za kwenye mchezo huo mpaka matokeo,na mojawapo ya majukumu ya refa ni kupata oda kutaka creative team,kwa wwe baadhi ya watu wa creative team ni triple h,vince mcmahon,stephanie mcmahon na pat patterson(jamaa ni shoga huyu),action zifanyikazo kwenye mechi huwa ni real lakini kuna kitu kinaitwa selling of moves by wrestlers maana ya kwamba wachezaji mieleka kuwapa imani mashabiki kama zile moves zinaumiza sana,seller mzuri wa moves wwe ni dolph ziggler,lakini kila action ifanyikayo ulingoni tayari kimeshapangwa,samahani nilisahau na hii hadi promo za wrestlers ni planned,mtu anapokosea kuexecute hizi planned moves anakuwa amebotch,na mtu anavyozidisha kuonyesha effect ya moves kwake anakuwa ameoversell mfano ingia youtube andika batista overselling against mark henry utaona maana yake,so the action is not fake,but wrestlers tend to do them safely na mtu ambaye au kitendo cha kukosea hizi moves au events then huleta madhara makubwa sana owen hart alifariki kutokana na makosa haya,stone cold alibidi astaafu mieleka baada ya miaka michache na pia kunusurika kupararize kutokana na makosa ya kuexecute vizuri hizi moves,droz mwanamieleka wa zamani hawezi kutembea kutokana na kukosewa kwa moves,na hata sosi ya hii mada huyu aguayo amekufa kutokana na kukosewa kwa moves.so wwe wametoa baadhi ya moves kwa kuwa ni za hatari mno mfano kwa sasa hairuhusiwi kumpiga mtu kwenye kichwa na kiti,hairuhusiwi isipokuwa kwa kane na undertaker kutumia style ya piledriver.
 
huyu jamaa triple h amepewa shavu sasa hivi ndo executive vice president of talent/live events/creative,yeye ndo anaisimamia nxt,sasa hivi amekuwa mtu wa mechi moja moja za kuwaput over mastaa kama vile sting na daniel bryan.
Dany Brian Mr. Yes yeeeees, yeeeeees, yeeeeeees
 
U cnt see ipo predictable sana, may be ile ya kumfany mtu a tap out, n ile kaichukua kwa Benoit.
Goldbeg aliwah wekewa chuma tumbona na HHH ile anapig spear akakutan nayo, 619 Pigo linaonekan kama mchezo bt linaefect kubwa aisee, Kurt Angle mzee wa Olimpic anakutegua ankle yule na yupi strong ila mwili mdgo....Nime mkumbuka UMAGA kinomaaa
Kuna mbabe anaitwa Great Khalid huyu alikuwa anashika kichwa cha mpinzani wake anakiminya mpaka jamaa analainika na kuanguka chini. Triple H na wenzake iliwakuta.
 
Back
Top Bottom