Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
kichwa cha habari na habari yenyewe haviendani...
ni sawa useme mchezaji mpira ktk ligi ya La Liga afariki baada ya mechi...
kisha habari ndani iseme kuwa mchezaji wa ligi ya mpira wa miguu ya Marekani MLS amefariki baada ya mechi...
ni sawa useme mchezaji mpira ktk ligi ya La Liga afariki baada ya mechi...
kisha habari ndani iseme kuwa mchezaji wa ligi ya mpira wa miguu ya Marekani MLS amefariki baada ya mechi...