Miezi 30 ya Rais Samia madarakani: Pamoja na kujikwaa kwenye Bandari, bado ni Rais mwenye record bora ya kukuza uchumi wa Tanzania kwa kipindi kifupi

Kwanza karudisha majangili yote yapo kwenye system
 
Mambo makubwa kama haya hayajawahi onekana wakati wowote isipokuwa awamu ya Rais Samia.

Go Samia go

View: https://twitter.com/TanzaniaInvest/status/1682297809528139777?t=Y0Dq0KKeWX4J_pFWVg9SoQ&s=19
Na huu ni mwaka mwaka 2023

View: https://twitter.com/InvestTanzania/status/1692137595315397062?t=zqFEQqcBazmcwCPy1z7xsQ&s=19
 
Kwanza karudisha majangili yote yapo kwenye system
Nikichaa pekee anayeweza kusema Samia kakuza uchumi wa tanganyika,kila kitu anagawa eti anafungua nchi,kashindwa kimalizia SGR mpaka Morogoro tu hapo,eti kutengeneza marambo ya maji ndio kakuza uchumi,maji yenyewe hapa Dar yamemshinda nenda Goba hapo Wilaya ya kinondoni maji ni mgao mara mbili kwa mwezi,harafu watu wanadanga eti kawekeza mabilioni kwenye miradi ya maji kama Dar hali iko hivo je uko mikoani!hali ikoje?
 
Kwanza karudisha majangili yote yapo kwenye system
Nikichaa pekee anayeweza kusema Samia kakuza uchumi wa tanganyika,kila kitu anagawa eti anafungua nchi,kashindwa kimalizia SGR mpaka Morogoro tu hapo,eti kutengeneza marambo ya maji ndio kakuza uchumi,maji yenyewe hapa Dar yamemshinda nenda Goba hapo Wilaya ya kinondoni maji ni mgao mara mbili kwa mwezi,harafu watu wanadanga eti kawekeza mabilioni kwenye miradi ya maji kama Dar hali iko hivo je uko mikoani!hali ikoje?
 
Huyun jamaa angu anasifia sababu mke wake kapata ajira toka 2016
 
Vitu vingi Samia alivyofanya alikuwa anamalizia pale alipoishia hayati, kwahiyo hamna jipya atoke tu MADARAKANI.
aingie mamako we mbwa? Mambo hayo ameyafanya kwa jitihada na akili zake, yule mshamba hajafanya kitu ndio maana umeambiwa kipindi chake uchumi ulikuwa flat, au huelewi hata maana ya flat? Yaani mpumbavu ni mpumbavu tu haelimiki hata ungefundishwa na malaika
 
mwambie mamako ajenge hayo aliyoyashindwa, mna wivu na husda mpaka mmekuwa malofa
 
Ameukuzia wapi? unajua Dola inanunulika kwa shilingi ngapi?
 
kuweka rekodi sawa Magufuli km ni barabara kajenga ile ya kutoka Mwigumbi-Maswa-Bariadi, inayounganisha mikoa ya Shinyanga na simiyu. Barabara zingine zote za kuunganisha mikoa alizijenga Kikwete. Magufuli alijenga miradi kibaguzi sana, mikoa iliyopata miradi ya maana ni mitatu tu, Dar Es Salaam, Dodoma na kwao Geita tena wilayni kwake Chato. Yule mshenzi alikuwa mbaguzi sana na katili.
 
subiri 2025, asiyefaa labda mamako kwanza kuzaa mpumbavu km wewe
 
hayo maneno yako usimwekee mdomoni mwake
 
Wanakwambia Samia anamalizia wakati hakuna hata mradi mmja wa maana ulikuwa umefikia hata 40% ukiacha Sgr phase 1&2
 
Uko sawa mkuu. Sijui nani alimziba huyu mama ufahamu wake ktk hij issue ya bandari
Ufahamu wake ni mkubwa kuliko sisi wenye fikra nyingi za kijamaa vichwani mwetu.

Antwerp Belgium yupo DP World anapiga kazi.

London UK yupo DP World anapiga kazi.

Southampton UK yupo anapiga kazi, China anapiga kazi katika bandari sita na sijaongelea USA.

Mabaki ya akili nyingii za kijamaa ndiyo yanayotukwamisha tunashindwa kuwa na picha pana vichwani mwetu.
 
Mpaka CIA ana data zake ambazo hazifanani na IMF ambazo hazifanani na World Bank, mambo si marahisi hivyo kama Copy and paste unayoifikiria wewe. Hao jamaa ndio wanatumia Data za Ndani lakini na wao pia wana source zao ndio maana Report ya Serikali imatofautiana na World Bank, wangekua tu wanacopy na kupaste data zetu kwanini kuwe na utofauti?

Pia inflation rate ya asilimia 3 ama 5 ni kubwa mno kama ni average, hio ni mwezi mmoja tu.
 

Attachments

  • images (1).png
    9.3 KB · Views: 2
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…